nyani utoto utaacha liniHivi videmu vya CBE bana...sijui huwa vinadhani kila mtu alipataga divisheni 4 na 5!
Sijawahi kuona videmu vipumbavu kama hivyo vya CBE na pale Magogoni.
Okay, sawa...tuliundamana. Hilo sikatai. Lakini ilikuwa ni mara moja tu.
Ingawa tulitumia kinga lakini ukweli wa mambo hizi kinga za mipira si jadidi kivile.
Nadhani wengi wenu mtakuwa mnalijua hilo. Nyakati zingine huwa zinapasuka na kuleta madhara ambayo hayakukusudiwa.
Hivi kweli mimba inaweza kuonekana baada ya siku 5? Mimba gani hiyo....ya bikira Maria?
Mtu hata haya hana anakuja anakuangalia machoni huku akijiliza eti 'Ngabu nina mimba yako'!
Ebo! Hivi mtu kama huyo unamweka kwenye kundi gani sasa?
Manake hiyo ni dharau kubwa sana ya upeo wangu. Ni kwamba umenipima ukaniona mimi ni zuzu wa kuweza kudanganyika kirahisi namna hiyo?
Nyambaaf kabisa..wajinga wajinga kama hao ni wa kuwatimua.
Unaniambia una mimba yangu halafu baada ya siku mbili tatu nakuona Wantashi unakunywa pombe! Mimba gani hiyo?
Eti mimba baada ya siku 5 halafu unaniletea na kicheti cha kufoji foji eti umeenda kwa daktari ukapima ukaonekana una mimba.
FOH!
DNA ya nini? Hiyo mimba ni yako na inawezekana kabisa minba kuonekana kwa siku hizo kama unabisha kanunue kipimo 1000 tu upime, ulipokuwa unapata utamu hukujua kama hana akili umempa mimba ndo umejua, ila hongera baba kijachoHapo DNA testing inahusu kabisa.
Na wewe unacheka nini?
Hahaha naona anamchagulia mtoto baba sasaMimba gani hiyo inaonekana baada ya siku 5?
Huyu huenda alikuwa nayo tayari ila anataka kunibambikia tu.
DNA ya nini? Hiyo mimba ni yako na inawezekana kabisa minba kuonekana kwa siku hizo kama unabisha kanunue kipimo 1000 tu upime, ulipokuwa unapata utamu hukujua kama hana akili umempa mimba ndo umejua, ila hongera baba kijacho
Si unaona bidada hana ushahidi. lol. tena risiti iwe ya EFD.
Lazima utafte wa kumshikisha maskio tu hapo na u force kulala naye ili umsingiziemimba ya mama tu baba anazawadiwa
kuna mademu wakipata mimba wanachagua mtu mwenye uhakika wa maisha kisha unasukumiziwa zigo
nakutabiria kibebi gelo, umwite mwajuma eeeh.Naah...DNA bado inahusu.
mnatupanga bado mnatupa watoto wasio wetu huku mkizurumu wengineLazima utafte wa kumshikisha maskio tu hapo na u force kulala naye ili umsingizie
nakutabiria kibebi gelo, umwite mwajuma eeeh.
Ha,haaaaaaa....Ngabu banaeee, hyo ni mimba yako we lea tu,ila dah nimecheka sana jmn
pole ngabu!looooh mekuhurumia
Mkuu R. MUGIZI unazuga na vibinti vya chuo!
Nshomile.Heheee yeah...my real name is Richard Mugizi!
Just Google me.