Mkuu upo nitakucheki aisee najua long time mkuu
KwakweliTupo wengi....
Aaah chair....ongoza watu wako
ha haaa, rafiki, dada mkubwa hawezi kuwa junior kwa yeyote..... Kaunga ni mdogo wangu sana tuNimedandia hoja hapo Fixed Point, hivi wewe na Kaunga nani senior kwa mwenziye.....
ha haaa, hapa sina cha kuongeza my dearUkubwa dawa best,na kimfaacho mtu chake!!!!!
Ukianza kujiuliza ile pair mbona hai match,jiulize kimya kimya maana wakikusikia wakakupa list ya wanavyo match utakimbia!!!!
Kila mtu na mtuweeeeeee
Nyani angeona ----- lake ... angejifunza ku-compromise.Tangu lini nyani kaacha kuwacheka wenzie??
Ila nadhani kungekuwa na jinsi ya kutengeneza 3D pictures ili nyani ajione in real time basi angejirestisha in peace!!
Hahaha mimi sio chairman bana
hapa nilimaanisha kitendo cha yeye kuwa binadamu kinamtoa kwenye kundi la vitu vinavyoweza kuwa perfect, timilifu. hakuna binadamu aliye mkamilifu. lakini kuna binadamu ambao sijui tuwaitaje maana unaweza kuchanganya kuwa ni wakamilifu, yaani wanatisha sanaNiweke sawa zaidi aise.
That's why you are my friend.......Hahahah, sauti yako inaongea zaidi ya silabu unazizitamka. LOL
Careful next time when u talk to Kau, l can penetrate right thru ur masikio mpaka ubongoni. LOL
Kubrag about perfection ya mwenzako ni mbaya, na hata kutegemea uperfect for ur own standard ni mbaya pia. But you can translate kila kitu chake as perfect. Yaani you make them in ur brain as perfect.
Hakuna Perfect guy bana........Siku hazigandi, weee vipi?Hahahhahaha
Haya rudini kwenye mada, lunch break imekwisha. Sasa Kaizer the whole point is not to love a perfect guy rather to love the imperfect one perfectly
mwenyekiti wa wenyeviti....
Hakuna Perfect guy bana........Siku hazigandi, weee vipi?
1) Perfect mtandaoni, mkionana KIMEO
2) Perfect six pack....kwenye wallet very IMPERFECT
1)Perfect shape....Kichwani sawa na boga
2) Perfect colour....Makalio ..UUUwwiiiiiii!!!!!!!
..........