Neno la leo: The Perfect Guy

Neno la leo: The Perfect Guy

Hakuna Perfect guy bana........Siku hazigandi, weee vipi?

1) Perfect mtandaoni, mkionana KIMEO
2) Perfect six pack....kwenye wallet very IMPERFECT


1)Perfect shape....Kichwani sawa na boga
2) Perfect colour....Makalio ..UUUwwiiiiiii!!!!!!!
..........

Taratabu mkuu...watu wasije kutoa 24hrs notice na kuachia ngazi kwa sababu yako!!
 
Hahahhahaha


Haya rudini kwenye mada, lunch break imekwisha. Sasa Kaizer the whole point is not to love a perfect guy rather to love the imperfect one perfectly

.....hapo tupo pamoja,
Sio eti kwakuwa najali mapafu, mafigo na maini yangu.... Na "sionji onji" bhaaaaas CV ina maana hatu Exist....

......imperfections na incorpabilities nyingine zipo, mtu na mtu tu anavyojikubalisha nayo hayo mapungufu ya kibinadamu.
 
Last edited by a moderator:
Hakuna Perfect guy bana........Siku hazigandi, weee vipi?

1) Perfect mtandaoni, mkionana KIMEO
2) Perfect six pack....kwenye wallet very IMPERFECT


1)Perfect shape....Kichwani sawa na boga
2) Perfect colour....Makalio ..UUUwwiiiiiii!!!!!!!
..........

Post of the day!!!

Platinum!!!!
 
Kweli kabisa. Hivi unaanzia wapi kumfundisha mbwa kikongwe stadi za uwindaji wa kisasa?

zamu yetu ilishaisha bwana!

Si ndo hapo sasa, ataka wakumbusha watu shuka wakati kushakucha huyu Kaizer ana lake huyu hata si bure. Babu mie natia pamba masikioni akha! na uzee huu spare ntapata wapi
 
Last edited by a moderator:
Hahahhah dah..................... nakumiss Babu yangu. Hunitendei haki kabisa najiandaa kuomba ulinzi wa kuandamana
Nipo, si unajua mimi dereva wa hedikopta?.....Nipo kwenye OPD.
Nikirudi mlinzi mtiifu nitakutafuta Tu-discuss perfection in detail.
 
sorry; you do not know of all other guys, so you speak of yourself!
 
Nipo, si unajua mimi dereva wa hedikopta?.....Nipo kwenye OPD.
Nikirudi mlinzi mtiifu nitakutafuta Tu-discuss perfection in detail.

Hahahah sawa kamanda............... Hedicopta hiyo angalia isijetunguliwa maana haters wameongezeka si unajua?
 
Mr Rocky siamini hadi wewe una wasiwasi na u-perfect wangu. Actually kuanzia asubuhi hadi sasa mimi ni very perfect guy:

Sijanywa
Sijavuta
Sija cheat...PERFECT AND I EXIST.

again, neno DOESN'T haimaanishi HAS NEVER

Angalia hapa: Mentor doesn't drink alcoholic beverages - Mentor hanywi vilevi (kwa muda gani..haijatamkwa)

Tuseme mara ya mwisho nimecheza mechi ya ugenini ni tarehe 25 baada ya kutoka Escape 1 (msiulize na nani). Ila tangu hiyo sijacheza mechi ya ugenini. Tukikutana nikakuambia Mimi huwa si-cheat sitakuwa nimekosea kwani tangu tarehe 26 nilianza chapter mpya (ya kale yalipita, tazama yamekuwa mapya).

Hence therefore, as of today, 30 January 2014 (sijui kuhusu kesho):
Mentor doesn't drink
Mentor doesn't smoke
Mentor doesn't cheat...A Perfect guy!


Halafu shem watu8 nasikia unakesi ya kumkana mwana kisa katiwa mimba na Kaizer. Mumewe Nicas Mtei akamkasirikia akamfukuza home ndipo alipokuja nawe ukamfukuza.

Taarifa hizi zimfikie pia: Asprin - hawara wake.



PM Moderator,
Mentor.
 
Last edited by a moderator:
ankal acha uongo, mbona mkwe niliekutaftia hafanyi hayo?????????? lol
 
Yaani perfect kama timed bomb.....
Yaani muda ukiisha tu...kaboooom!!!!



Hence therefore, as of today, 30 January 2014 (sijui kuhusu kesho):
Mentor doesn't drink
Mentor doesn't smoke
Mentor doesn't cheat...A Perfect guy!
 
Mentor maelezo mareeeefu kujustfy kitu kimoja tuu CHEATING
Iwapo hujui kesho na wala hujiamini kuwa unaweza kusema Am perfect today and I will be the same tomorrow and the day after tomorrow why are you taking so long to defend yourself.
Kuwa baridi Mentor au uamue kuwa moto usiwe uvuguvugu au popo kwa wanyama upo na kwa ndege upo iwapo wewe ni Mentor kuwa Mentor today and tomorrow and the day after tomorrow and as long as you have that life of yours
Bado speed yako ni 220km/hr na unasema kuwa bado engine iko mahali pake na bado hujavaa miwani yaani kila kipitacho unakiona na watamani kuwa nacho by hooks and crooks then stop pretending and justify something unjustifiable
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom