Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,252
- 11,648
good boy.......
He he he heeeeeeeeeeeeeeee......
Hivyo hata mie naweza kuitwa hivyo kweli...???
Hujanitendea haki mkubwa mwenzangu....halafu leo mie mchovu sana!!
good boy.......
Neno la leo linasema hivi, to all MMUs looking for the perfect guy....
"The perfect guy
Doesn't DRINK
Doesn't SMOKE
Doesn't CHEAT
And Doesn't EXIST"
Waione AshaDii gfsonwin DEMBA Asprin Teamo Dark City Nyamayao The Finest carmel Zion Daughter The Boss Mtambuzi Bujibuji Madame B KakaKiiza snowhite cacico Kaunga neggirl miss neddy Ladymasa TIMING Money Stunna Heaven on Earth RR Bigirita King'asti mwaJ Fidel80 MwanajamiiOne Maty LD Mr Rocky Erickb52 Arushaone Preta Filipo marejesho Nivea vivian badiebaby Eiyer Mentor charminglady Katavi ram amu atug grafani11 OLESAIDIMU mwekundu Malafyale Rogie
Karibuni kwa mjadala huru....
ha haaaa, you should smile mkubwa mwenzangu..........He he he heeeeeeeeeeeeeeee......
Hivyo hata mie naweza kuitwa hivyo kweli...???
Hujanitendea haki mkubwa mwenzangu....halafu leo mie mchovu sana!!
Mr Rocky siamini hadi wewe una wasiwasi na u-perfect wangu. Actually kuanzia asubuhi hadi sasa mimi ni very perfect guy:
Sijanywa
Sijavuta
Sija cheat...PERFECT AND I EXIST.
again, neno DOESN'T haimaanishi HAS NEVER
Angalia hapa: Mentor doesn't drink alcoholic beverages - Mentor hanywi vilevi (kwa muda gani..haijatamkwa)
Tuseme mara ya mwisho nimecheza mechi ya ugenini ni tarehe 25 baada ya kutoka Escape 1 (msiulize na nani). Ila tangu hiyo sijacheza mechi ya ugenini. Tukikutana nikakuambia Mimi huwa si-cheat sitakuwa nimekosea kwani tangu tarehe 26 nilianza chapter mpya (ya kale yalipita, tazama yamekuwa mapya).
Hence therefore, as of today, 30 January 2014 (sijui kuhusu kesho):
Mentor doesn't drink
Mentor doesn't smoke
Mentor doesn't cheat...A Perfect guy!
Halafu shem watu8 nasikia unakesi ya kumkana mwana kisa katiwa mimba na Kaizer. Mumewe Nicas Mtei akamkasirikia akamfukuza home ndipo alipokuja nawe ukamfukuza.
Taarifa hizi zimfikie pia: Asprin - hawara wake.
PM Moderator,
Mentor.
Hahaahaha kila mtu atautwaa mzigo wake. Ule mzigo wa jana ni wa kwako for sure
Unajua nilikuwa sijasoma vizuri......
Eti doesn't drink.....hahahahahah.
Yani hapo sasa kwa wengine kama hunywi wewe sii perfect...hufai kabisa...tupa kuleeeee!
Cc Asprin, @RR, MwanajamiiOne, Maty, Teamo, Eliza wa Tegeta
#kimya #kimya mbe.... jana mimi na wewe tulikuwa wapi kama si uongo.
Muulize miss neddy atakuambia nilikuwa naye...:mod:
Hahaahaha kila mtu atautwaa mzigo wake. Ule mzigo wa jana ni wa kwako for sure
We Bazaz ina maana ushaanza uharibifu kwa binti miss neddy
Hebu nyamaza ustiriweAcha kusema uongo wewe
Mi sijakuDIPU bana . . . !!
Mmeanza mabazazi hahaha
Ila mabazazi mnajuana kama waarabu wa pemba
cc Rogie
Nyie.mnataka kufikishana wapi?
Kaizer nona umeniita hapaHommie leo utakunywa bia gani (ooops wewe sio perfect so you drink) maana hii ni flasafa ya hali ya juu sana
CC mwallu, Heaven on Earth