Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,209
- 27,026
Jamaa Ni mchimbachumvi tu .Binafsi namuona huyu Waziri kama mshamba, kiherehere na Mwenye kujipendekeza tu. Hana msaada wowote wa kitaalam ktk Wizara.
Yy ni kudhibiti tu. Haongelei Kasi ya Internet, connection ya Mkonga wa Taifa wa mawasiliano ktk familia (kama Kenya), nk.
Isitoshe kupiga au kupokea Whatsapp Call/Video lazima uwe na Bando. Kwa akili yake fupi sijui bando ni bure? "Eti mapato yameshuka" Yaani kwake mapato ni bora kuliko Tanzanians Welbeing. Nchi zote zina pambana kushusha gharama za maisha kwa raia wake.
Issue kubwa hapa ni mitandao zina mu expose Mkubwa! Ni namna tu ya kuzidi kudhibiti watu.
Anadhani huko WhatsApp tunapiga bure wakati tunanuna bando
Au anadhani bando Ni kuchat na kubrauzi
Anaongea bila reasoning Wala logic .