tatizo tunaumia wote, jamani sisi wanyonge mtuonee huruma, Mwendazake hata nguo hazijaliwa na mchwa mmeanza kutuumiza sisi wanyoonge?CCM ni ile ile oooh ni ile ile
kuna mtu hapa anasema ndugulile azamishwe pale ferry akiwa anakwenda kwake Kibada.Yan ilitakiwa ndungulile atimuliwe na wizara yake ifutwe.
Dah😶 ila atakua ashatumbukatatizo tunaumia wote, jamani sisi wanyonge mtuonee huruma, Mwendazake hata nguo hazijaliwa na mchwa mmeanza kutuumiza sisi wanyoonge?
Hahahahahaa usiyempenda kajaaaa🤣🤣Tutamkumbuka kwa lipi? Wakati yeye ndio alie asisi haya mabadiliko ya Mitandao Ya Simu kabla ya kufa kwake.
kupasuka tumbo?Dah😶 ila atakua ashatumbuka
Ila ilianzishwa mchakato kipindi yupo haiBaada ya leo taerhe 2-4-2021 Makampuni ya Simu yakiwa na nia ovu kupandisha bei za vifurushi na kufuta ofa zote.
Insemekana watu wanahamia kupiga simu kwa watsup, nako huko waziri anafanya mchakato watusp voice call ifungiwe hapa Tanganyika.
Magu alisema tutamkumbuka, nafikiri kuanzia leo tumeanza kumkumbuka.
MATAGA wameloa , maana hawaamini, walijua wapinzani pekee ndio wataadhirika na kupanda kwa bei.
BPN ni nidhaa muhimu kua nayo kama bile chumvi jikoniVPN itahusika.
Nchi za kiarabu nyingi pia hawawezi piga video wala voice mpaka wawe na VPN.
Lkn siku zote binadamu huwa anatafuta tundu la kutokea tuu.
Si naskia wanapasuka kabla ya 10dyskupasuka tumbo?
Ipo ministerial level, ndio tutajua hatujui.Ila ilianzishwa mchakato kipindi yupo hai
😂 😂tatizo tunaumia wote, jamani sisi wanyonge mtuonee huruma, Mwendazake hata nguo hazijaliwa na mchwa mmeanza kutuumiza sisi wanyoonge?
yani umbea utapungua sana insta, na hata maarusi sasa hivi zawad itakuwa ni bando la simu.
Una mchumba?[emoji39]Uwiii mchumba si atanuna jaman...tutaachika jamani, serikali lifirikilieni hili zaidi ..
We jamaa, kuna uzi umeweka humu ukiisifia serikali na Faustine.Mataga wanataka kuturudisha kwenye zama za ujima, sijawahi kuona daktari wa ajabu kama ndungulile, huyu alitakiwa awe mganga wa kienyeji
🤣🤣🤣 shemasi nimechumbiwa upyaa ...! Nataka kupiga tiktak🤣Una mchumba?[emoji39]
Kua mpole mkuu ni jambo la muda tuu watarekebishayani umbea utapungua sana insta, na hata maarusi sasa hivi zawad itakuwa ni bando la simu.
Nimeumia mtumishi, Ila sio kesi...nitasimamia ndoa kanisani kama shemasi mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] shemasi nimechumbiwa upyaa ...! Nataka kupiga tiktak[emoji1787]