Ndugulile: WhatsApp call zimeathiri simu za nje

Ndugulile: WhatsApp call zimeathiri simu za nje

Whts wrong best? HhaH kinge cha kisukuma lazima ucheke best ntakuja kukutembelea mtumishi tujue tunasaidianaje mie najua tukiwa watu wazima ndo tunarudi kanisani wenye kuokoka wanaokoka sasa ww unataka ukasali alikokua baba jeska?
Haha, imebidi nicheke aisee. Nitasubiri mwaliko wa kanisani.. huenda nikapata kibali. Hivi mbona unapenda kunipiga dislike kila siku, ujuwe sikupendi shemasi!
 
Mkuu kipindi maamuzi fulani yakitaka kufanywa pale ambapo wapinzani walilalamika kuna kundi la watu lilijua haita wahusu hivyo walipiga debe kweli kweli jambo hilo kupita ila muda kidogo wakaja kugundua kumbe na wao wapo linawahusu pia sasa wako kimya .
 
Hakumbukwi kwamba angekuwepo haya yasingetokea ila anakumbukwa kuyaanzisha yeye haya yanayotokea,wanna nia ovu kusikiliza simu za watu wanapozungumza na watu wao either walio nje au hapa nchini.

Siku zote ccm ni kama gunia la misumari,kulibeba huwezi kulitua huwezi.
 
katika hili la kupandishwa kwa gharama za vifurushi wa kilaumiwa ni mwendazake na matamko yake.

mwendazake alikuwa hapendi kukosolewa, alionyesha chuki kwa watu waliokuwa wanamkosoa kupitia mitandao ya kijamii. akafika hatua ya kutamani malaika washuke wazime mitandao yote.

washauri wake kwa kutambua chuki ya boss wao kwa mitandao, wakaona bora wamfurahishe, wakaja na idea za kutumia vpn kwa upande wa twitter (japo haijasaidia) na kuongeza gharama za vifurushi.

matokea ya idea hizo ndio hii bei mpya ya kikatili ya vifurushi ambayo imekuwa gumzo siku ya leo.

ndungulile na team yake walisukumwa zaidi na utashi wa kisiasa kuliko utu ili wamfurahishe boss wao(mwendazake).

nina imani kubwa na mama samia. najua atafikishiwa malalamiko ya hii bei mpya ya vifurushi ambayo sio rafiki kwa mwananchi mwenye kipato cha chini. hapana shaka mama
atatoa amri ya kufutilia mbali.
 
katika hili la kupandishwa kwa gharama za vifurushi wa kilaumiwa ni mwendazake na matamko yake.

mwendazake alikuwa hapendi kukosolewa, alionyesha chuki kwa watu waliokuwa wanamkosoa kupitia mitandao ya kijamii. akafika hatua ya kutamani malaika washuke wazime mitandao yote.

washauri wake kwa kutambua chuki ya boss wao kwa mitandao, wakaona bora wamfurahishe, wakaja na idea za kutumia vpn kwa upande wa twitter (japo haijasaidia) na kuongeza gharama za vifurushi.

matokea ya idea hizo ndio hii bei mpya ya kikatili ya vifurushi ambayo imekuwa gumzo siku ya leo.

ndungulile na team yake walisukumwa zaidi na utashi wa kisiasa kuliko utu ili wamfurahishe boss wao(mwendazake).

nina imani kubwa na mama samia. najua atafikishiwa malalamiko ya hii bei mpya ya vifurushi ambayo sio rafiki kwa mwananchi mwenye kipato cha chini. hapana shaka mama
atatoa amri ya kufutilia mbali.
Mh Rais Hassan kishaambiwa na TBC avae viatu vya MAGU, MATAGA wanataka atekeleze ya MAGU, mama kachanganyikiwa, ila naamini jumanne atakuwa kishamtumbua Lindugu-lilee, na team yake
 
katika hili la kupandishwa kwa gharama za vifurushi wa kilaumiwa ni mwendazake na matamko yake.

mwendazake alikuwa hapendi kukosolewa, alionyesha chuki kwa watu waliokuwa wanamkosoa kupitia mitandao ya kijamii. akafika hatua ya kutamani malaika washuke wazime mitandao yote.

washauri wake kwa kutambua chuki ya boss wao kwa mitandao, wakaona bora wamfurahishe, wakaja na idea za kutumia vpn kwa upande wa twitter (japo haijasaidia) na kuongeza gharama za vifurushi.

matokea ya idea hizo ndio hii bei mpya ya kikatili ya vifurushi ambayo imekuwa gumzo siku ya leo.

ndungulile na team yake walisukumwa zaidi na utashi wa kisiasa kuliko utu ili wamfurahishe boss wao(mwendazake).

nina imani kubwa na mama samia. najua atafikishiwa malalamiko ya hii bei mpya ya vifurushi ambayo sio rafiki kwa mwananchi mwenye kipato cha chini. hapana shaka mama
atatoa amri ya kufutilia mbali.
Obama alipo ona watu wa chini nchini Marekani hawamudu gharama za matibabu kwa sababu ya ughali wake akaja na Obama care ambayo ni msaada mkubwa sana kwa watu wenye kipato cha chini ila Tanzania kiongozi yako bize kupandisha gharama za maisha.
 
Obama alipo ona watu wa chini nchini Marekani hawamudu gharama za matibabu kwa sababu ya ughali wake akaja na Obama care ambayo ni msaada mkubwa sana kwa watu wenye kipato cha chini ila Tanzania kiongozi yako bize kupandisha gharama za maisha.
mwendazake likuwa anaongea kinyume, kumbe alikuwa hataki wanyonge wapate habari, noma sana.
Wao viongozi wanawekewa bando na serikali, wanyonge hawana namna.
 
You can’t fight technology and win VPN itarahisisha mambo as Chinese do.Hiyo ikifail tunahamia mitandao mingiine inayoruhusu call.Zoom nayo mtazuia na platform zinazo host online meetings?Shame on you.
 
Watu wenye akili hawafanyagi kazi za kupigana na uma kama njia ya kutengeneza mapato. Ni kupoteza muda, utakusanya kwa muda kisha hutabakiwa na yoyote wa kukupa kodi. Shirikiana nao kwa akili kutengeneza pato la nchi.
 
VPN itahusika.

Nchi za kiarabu nyingi pia hawawezi piga video wala voice mpaka wawe na VPN.

Lkn siku zote binadamu huwa anatafuta tundu la kutokea tuu.

Chezea hii mijamaa wewe, hata vpn inaweza ikablock tukose yote 😂😂😂 tatizo liko kwa mh waziri, so hawa wananzengo wanafanya wanavyotaka kutufanya hakuna wa kuwapangia.
 
Chezea hii mijamaa wewe, hata vpn inaweza ikablock tukose yote [emoji23][emoji23][emoji23] tatizo liko kwa mh waziri, so hawa wananzengo wanafanya wanavyotaka kutufanya hakuna wa kuwapangia.
wata-block vpn ngapi?. kila siku zinabuniwa app mpya zinazotoa huduma za vpn.
 
Hahahaa nimekumbuka uliwahi niambia hupend dislike .hahaa nakupaga dislike jukwaa letu la siasa .naitoa mtumishi..karibu sana kanisani
Haha, mtumishi huko siasani mwendazake kaenda, yeye nilikuwa namu admire tu, sidhani kama itatokea tena.
 
Back
Top Bottom