Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,011
- 9,879
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia, Dkt. Faustine Ndugulile amesema ukiangalia simu zinazopigwa kwenda nje au kuingia kutoka nje zimepungua.
Amesema watu huzungumza na watu wa nje kupitia mitandao kama whatsapp, skype nk hivyo ni lazima serikali ichukue hatua kurekebisha hilo.
Waziri Ndugulile amesema pia wanaangalia mfumo wa kuwawezesha kujua yanayozungumzwa katika mtandao ili kubaini matusi kejeli na utapeli unaoendelea kwa njia ya simu na meseji.
Aidha mifumo mingine ni ya kuchuja ili mtu akiweka neno tofauti inaweza kulizuia ili kama ni sms isimfikie mlengwa.
Amesema watu huzungumza na watu wa nje kupitia mitandao kama whatsapp, skype nk hivyo ni lazima serikali ichukue hatua kurekebisha hilo.
Waziri Ndugulile amesema pia wanaangalia mfumo wa kuwawezesha kujua yanayozungumzwa katika mtandao ili kubaini matusi kejeli na utapeli unaoendelea kwa njia ya simu na meseji.
Aidha mifumo mingine ni ya kuchuja ili mtu akiweka neno tofauti inaweza kulizuia ili kama ni sms isimfikie mlengwa.