Ndoa zina matukio jamani

Ndoa zina matukio jamani

Kwakweli !
Though mi Nina mtizamo chanyq.
Nimegundua wengi waliokosea kwenye hili eneo wanataka kuaminisha watu kuwa ndoa ni mbaya,kitu ambacho sio sawa
Kuna watu hawajui shida kwenye ndoa zao!
Lkn pia changamoto kawaida watu mmelelewa ,mmezaliwa tofauti unategemea nn?
Mungu kwanza,upendo, uvumilivu...basi
Umesema kweli, wengi wanaingia kwenye hio taasisi bila mwanzilishi ambaye ni Mungu. Maandalizi mengi ni ya kimwili tu, kiroho ni zero maana wengi hawajui kuwa ndoa ni spiritual na ni mpango kamili wa Mungu kwa kila mwanadamu. Mapambano mengi kwenye hizo taasisi ni kazi za giza lengo ni kujaribu kung'oa mipango mizuri Mungu aliyowapangia sasa watu bila kutafuta chanzo wanabwaga manyanga too early. Mungu ndiye mwenye majibu ya kila changamoto za wanadamu.
 
Kwa wanaume ,....Usioe km hujakomaa kiuchumi, kimwili na kiroho....
Ndoa sio agano la wavulana
Ndoa ni agano ambalo wanafanya wanaume kamili waliopevuka...
Ndoa haiendeshwi na mwanamke....mwanaume ndio dereva wa ndoa, ukishindwa kuiendesha jilaumu mwenyewe, usihamishe lawama.

Tatizo wavulana wengi wanaparamia kuingia kwenye hii taasisi bila kujipanga na ndio wanaokuja humu majukwaani na slogan "kataa ndoa" ... kisa yeye imemshinda.

Ushauri,
Oa/olewa na anayekupenda na mwenye hofu ya Mungu.
Km wewe mwenyewe huna hofu ya Mungu usioe au usiolewe, yatakushinda...hiyo ni taasisi ya ki-Mungu, soul mbili zilizopata malezi tofauti haziunganishwi kienyeji.
Ushauri wa Aina hii umewaponza Maburungutu ya Vijana
 
Kwa wanaume ,....Usioe km hujakomaa kiuchumi, kimwili na kiroho....
Ndoa sio agano la wavulana
Ndoa ni agano ambalo wanafanya wanaume kamili waliopevuka...
Ndoa haiendeshwi na mwanamke....mwanaume ndio dereva wa ndoa, ukishindwa kuiendesha jilaumu mwenyewe, usihamishe lawama.

Tatizo wavulana wengi wanaparamia kuingia kwenye hii taasisi bila kujipanga na ndio wanaokuja humu majukwaani na slogan "kataa ndoa" ... kisa yeye imemshinda.

Ushauri,
Oa/olewa na anayekupenda na mwenye hofu ya Mungu.
Km wewe mwenyewe huna hofu ya Mungu usioe au usiolewe, yatakushinda...hiyo ni taasisi ya ki-Mungu, soul mbili zilizopata malezi tofauti haziunganishwi kienyeji.
Exactly.
 
Kiukweli tu unachoshaa jamani ugali na dagaa januari to December😄😄Ndoa ni taasisi ya kinafiki sanaaa yaan basi tuu...halafu binadamu tumeumbwaa kuchoka na kukinai...vinachoshaaaa
Inakuwa inachosha kwa sababu ya kukosa ubunifu mkuu, kama kweli unataka kuifurahia ndoa kuna namna nyingi za kufanya. Pesa iwepo ili ndoa isiwe karaha, mazingira yabadilishwe ili kuleta ladha mpya nk.

Japo kweli kuna kila haja ya kula wali nyama, then pilau na kuna wakati makande ni matamu kwa hamu.🤣🤣
 
Back
Top Bottom