MrJobless
JF-Expert Member
- Jan 20, 2023
- 1,102
- 1,360
Ipo hivyoaah au sio
Ipo hivyoaah au sio
Kwakweli hakuna usiri hapo🙌Sasa boss, mtu anatembea na watu 10+ huyo sehemu zake zina usiri gani?
Labda wewe ndio hujui logic ya kataa ndoa Nenda kajifunze!
Sasa kama unafunga ndoa mamilion na inavunjika lengo la ndoa ni nini ?
Yani unakubali ndoa siku hizi zinavunjika ila huoni logic ya watu kukataa ndoa. Una kichaa
NDOA NI LAANAKubali Ndoa, tumia kibunda chako
Huna akiliTatizo hufikiri unajibu tu.
Kama mmeanzisha kampeni ya KATAA NDOA nia yenu ni ndoa zisifungwe.
Kama ndoa zinafungwa kampeni yenu inafeli. Hii haijalishi hizo ndoa zitavunjika ama la.
Au kampeni yenu ni TOA TALAKA VUNJA NDOA?
Ndoa ni jela ya kujitakia tuliyoiunda sisi wenyewe.Kiukweli tu unachoshaa jamani ugali na dagaa januari to December😄😄Ndoa ni taasisi ya kinafiki sanaaa yaan basi tuu...halafu binadamu tumeumbwaa kuchoka na kukinai...vinachoshaaaa
Hufikiri unajibu tu mradi umejibu.Huna akili
Hata wenye pesa zao na wanatoka out kila siku wanayo matatizo mengi ya kutosha.Inakuwa inachosha kwa sababu ya kukosa ubunifu mkuu, kama kweli unataka kuifurahia ndoa kuna namna nyingi za kufanya. Pesa iwepo ili ndoa isiwe karaha, mazingira yabadilishwe ili kuleta ladha mpya nk.
Japo kweli kuna kila haja ya kula wali nyama, then pilau na kuna wakati makande ni matamu kwa hamu.🤣🤣
NDOA ZITAENDELEA KUFUNGWANDOA NI LAANA
NDOA NI GEREZA KWA ME
NDOA NI UJAMBAZI
WAJINGA NDIYO WANAOPIGWA
KATAA NDOA
NDOA NI LAANA, NDOA NI UTAPELINDOA ZITAENDELEA KUFUNGWA
NDOA ZITAENDELEA KUVUNJIKA
NDOA ZITAENDELEA KUDUMU
HII NI KAMPENI YA WALIOKOSA KAZI.
acha fujo demi, hujampata anaekufaaNdoa ni jela ya kujitakia tuliyoiunda sisi wenyewe.
Ndoa ni USHINDINDOA NI LAANA
NDOA NI GEREZA KWA ME
NDOA NI UJAMBAZI
WAJINGA NDIYO WANAOPIGWA
KATAA NDOA
Mkuu ndoa zenye furaha zipo ila ikitokea umeingia kwenye ndoa ikawa haifai unatoka tu hakuna la ajabu, watu wanaachana kila siku. Wengine wanaacha hapa na wanaoa pale na ndoa inadumu vizuri tu.Hata wenye pesa zao na wanatoka out kila siku wanayo matatizo mengi ya kutosha.
Yaani watu mkishaoana tu mnaanza kuwa maadui sijui tatizo nini.
KATAA NDOANdoa ni USHINDI
Ndoa ni FURAHA
Ndoa ni AMANI
Kubali Ndoa tumia kibunda Chako.😀😀😀
watu wawe marafiki tu, wakulane lkn ndoa mmh hapana🙌acha fujo demi, hujampata anaekufaa
Ndoa nzuri na zenye amani zipo.Mkuu ndoa zenye furaha zipo ila ikitokea umeingia kwenye ndoa ikawa haifai unatoka tu hakuna la ajabu, watu wanaachana kila siku. Wengine wanaacha hapa na wanaoa pale na ndoa inadumu vizuri tu.
JAMBO LA AJABU NI KUTAKA TUFANANE. UMEOA UNATAKA WENGINE WAOE, HUJAOA UNATAKA WENGINE WASIOE, NDOA YAKO IMEVUNJIKA UNATAKA ZA WENGINE ZIVUNJIKE. UJINGA UJINGA TU
ndoa ni taasisi muhimu kwenye jamiiwatu wawe marafiki tu, wakulane lkn ndoa mmh hapana🙌
UPUMBAVU.NDOA NI LAANA, NDOA NI UTAPELI
NDIYO MAANA WANATALIKIANA
ME ANACHUNWA NDOANI
MWANAMKE ANAFAIDIKA
ME ISHI MAISHA MAREFU SASA
KATAA WIZI WA NDOA
unaandika kwa hisia😂UPUMBAVU.
Ndoa inaweza kuwa laana kwako na si kwa mwingine.
Ukioa mwizi si lazima na mwenzako akioa basi kaoa mwizi.
Wapo watu wapo kitandani wanahudumiwa na wake zao na hakuna ndugu wala rafiki anayehangaika.
Kabisa boss. Umeingia kwenye ndoa haijawork toka endelea na maisha sio uanzishe kampeni za kijinga jinga.Ndoa nzuri na zenye amani zipo.
Mimi sipingi ndoa kama mtu anataka, na hata akiachana na ndoa siwezi nikamjudge.
Yote maisha.