Ndoa zina matukio jamani

Ndoa zina matukio jamani

Tatizo ni watu kutokua tayari kuachana na ma x zao, pili ni watu kukosa upendo wa kweli zaidi ya tamaa za sura nzuri na tako. Uzuri huisha lakini pia ndoa ni sacrifice kwa maana lazima uachane na anasa,starehe za kidunia ili ndoa idumu.
Matatizo ni mengi ndugu.kikubwa busara na uvumilivu
Ndoa ni mapatano ya watu wawili,na mkubaliano.tmekubaliana tutamove on na kuachana na maex we inawasiliana nao unatarajia nini

Hapo kwa kupemda muonekano sio tabia nako ni kipengele kingine
 
Wanawake wanapoambiwa swala la ndo wanaweka matarajio mkubwa mno Kuna Ile kuolewa umri umeenda na kuolewa kuleta heshima home na kuolewa sababu ya love ila wanachokikuta ni vitu kinyume na matarajio ndo maana majuto ni meng sana
 
Haswa za kizazi hiki.

Usaliti umekuwa kitu cha kawaida, magomvi kama yote, wengi wanafeki furaha ila ndani kunafurukuta. Matukio ya kutisha, najiuliza walewale waliokuwa wanacheza romantic songs sijui blues kwa hisia na upendo ndo hawahawa leo wanakimbizana na mapanga?

Wamechafukwa hawatamani kuonana tena, ndo hawa kila mmoja kamchoka mwenzake? Wanapigana wengine wanauana.

Ndoa imekuwa kifungo cha maumivu, nimeshuhudia wengi wakiteseka kihisia, kimwili, kiroho nk

Ndoa sio salama tena imekuwa njia ya kujipatia magonjwa ya kila aina, ukitaka magonjwa yote ingia kwenye ndoa na malaya asiejua kuridhika wala kutulia. Ndoa zimegeuka tanzi na mtego.

Hata ukiweka vigezo 100 lakini ukweli watu hubadilika kutokana ma situations zinazotokea maishani. Mpaka baba mchungaji anachepuka. Ukiyumba kiuchumi kidogo tu mwenzio kakukimbia. Ukipata hata ajali ukilala tu kitandani mwenzio anaomba talaka ama anahamia kwa mwingine.

UKITAKA KUINGIA KWENYE NDOA JIPANGE NA UWE NA ROHO NGUMU!
Ndoa ni kati ya matendo ya ajabu kuwahi kuwepo hapa ulimwenguni
 
Back
Top Bottom