Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,146
- 190,618
Kwakweli yani hio inakuwa sehemu ya umma
Album na remix zake, Kuna watu wana sehemu za uma sio sehemu za siri.
Album na remix zake, Kuna watu wana sehemu za uma sio sehemu za siri.
Bora kungekuwa na ndoa za MKATABA. Ni wanaume wachache sana ambao wange-renew mikataba ya wake zao.Kivipi mkuu
100% nakubaliana na wewe, kati ya wale wasingetaka ku renew ningekuwepoBora kungekuwa na ndoa za MKATABA. Ni wanaume wachache sana ambao wange-renew mikataba ya wake zao.
Haya majike yanasumbua sana we acha tu mkuu; ni shida100% nakubaliana na wewe, kati ya wale wasingetaka ku renew ningekuwepo
Kubali Ndoa, Tumia Kibunda Chako.KATAA NDOA
OKOA KIBUNDA, KATAA UMASIKINI
UKIOA UTAPIGWA TU
![]()
Kumbe kuoa ni kugumu hivi? Aisee mniombee niko hoi bin taabani
Hivi nyie wana mliokaa kwenye ndoa zaidi ya miaka kumi mmefanyeje aisee? Yaani sio poa wakuu yaani niko hoi bin taabani ndiyo kwanza ndoa yangu ina wiki mbili tu aisee najihisi kuchoka na kukata tamaa wakuu. Majukumu yamenizidi, nakosa uhuru wa kuamua mambo yangu eti lazima mshirikishane wote...www.jamiiforums.com
Kijana mada hapo sio ugali wala dagaa ,jifunze kuelewa the main topic kabla ya kutoa jibu tukuone mjingaHv unaongea nini kumbe Kula Ugal & Dagaa Mwaka mzima ni Mtihani.
Kwetu Sisi wengine hayo ni Maisha yetu ya Kila Siku
Sasa kaka ukiniona mjinga unadhani Mimi nawaza Bhasi yote ni Kheri tu .Kijana mada hapo sio ugali wala dagaa ,jifunze kuelewa the main topic kabla ya kutoa jibu tukuone mjinga
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app