Ndoa yangu; mguu nje, mguu ndani

Ndoa yangu; mguu nje, mguu ndani

Comments nyingi za wadau humu zinaonesha namna gani ndoa zao zilivyo taabani kwasababu mleta mada amesema wazi kuwa mke wake hamshirikishi kwa mambo muhimu ya mustakabali wa maisha yao lakini wadau wanasema hawaoni kosa.

Hii ni tafsiri kwamba wanaume wengi humu wanapitia hali hii ya mke kujiamulia mambo na mwanaume anabaki kama zwazwa tu.

Ukiona mwanamke hakushirikishi mambo ya msingi probably amepata mwingine anayemuamini na kumshirikisha mambo yake.
 
Comments nyingi za wadau humu zinaonesha namna gani ndoa zao zilivyo taabani kwasababu mleta mada amesema wazi kuwa mke wake hamshirikishi kwa mambo muhimu ya mustakabali wa maisha yao lakini wadau wanasema hawaoni kosa.

Hii ni tafsiri kwamba wanaume wengi humu wanapitia hali hii ya mke kujiamulia mambo na mwanaume anabaki kama zwazwa tu.

Ukiona mwanamke hakushirikishi mambo ya msingi probably amepata mwingine anayemuamini na kumshirikisha mambo yake.
Sio kweli huyo mwanamke amemchunguza huyu mwanaume na kumuona hana vision.
Fikiria mwanamke anajiongeza ili kujiongezea kipato halali mwanaume anakasirika hapo kuna mtu kweli.
Wakati wanaume wengine wake zao ni wavivu wanatamani wapate mwanamke mpambanaji kama huyo kwa kifupi huyo mwanamke ndio mwenye maono ya mbali na huyo mwanaume ndio mzigo.
Mwanaume unapoteza muda kuchunguza facebook ya mkeo imeandikwa nini badala ya kubuni miradi ya kuingiza pesa
 
Habari wakuu
Mimi na mke wangu tunafanya kazi mikoa tofauti ila siyo mbali ni masaa matano anatumia njiani akiwa anakuja kwangu mara nyingi huwa anakuja ijumaa na jumatatu anaondoka.Mimi nina ishi na mtoto na mfanyakazi na huyo mfanyakazi anamlipa yeye.Kusudi la kukaa na mtoto na beki tatu huko anakofanya kazi mazingira hayako poa so tukaona wabaki na mimi.Changamoto inayojitokeza sasa mke wangu amekua akifanya mambo bila kunishirikisha kwa mfano wiki tatu zilizopita aliniambia anaenda kwenye semina kanisani alivyorud hakusema chochote ghafla nikaona mwenzangu ana harakati za biashara ya mtandaoni biashara yenyewe ni ile ambayo kampuni wanakuuzia madawa halafu ww utafute wateja uwauzie ndiyo urudishe hela zako ulizonunulia.Sasa kinachonitatiza zaidi kafungua akaunti mitandao ya kijamii kaweka no yake ya simu,email na location kabisa yeye anapoishi.Mara nyingi nikimkataza jambo fulani hanielewi kuna kipindi kuna tatizo lilijitokeza nikafikisha taarifa kwa mama ake lkn naona bado mwenzangu mambo ni vile vile sasa nawauliza nyie ambao mmewaacha wake zenu na kuoa wengine vipi hali ikoje huko nataka nimuache huyu mi dharau sipendi
Ndoa ni kuvumiliana pls tulia na weka maombi mbele mumlee mtoto wenu na mwisho wa yote muwe na familia bora.
 
  • Thanks
Reactions: ---
wala so mtaji ...... Roho mbaya

Mola so mpaji......... Roho mbaya

wala so mtaji......... Roho mbaya

Wala haumzibi kwa kuendeleza umimi .....
 
Kama unataka mke mpambanaji oa ambae umemkuta anapambana ili usiwe suprised. Mwanamke akianza kupambana wakati wewe ulimuoa wakati yupo idle unaweza ukalia kama ngoma.
 
Habari wakuu
Mimi na mke wangu tunafanya kazi mikoa tofauti ila siyo mbali ni masaa matano anatumia njiani akiwa anakuja kwangu mara nyingi huwa anakuja ijumaa na jumatatu anaondoka.Mimi nina ishi na mtoto na mfanyakazi na huyo mfanyakazi anamlipa yeye.Kusudi la kukaa na mtoto na beki tatu huko anakofanya kazi mazingira hayako poa so tukaona wabaki na mimi.Changamoto inayojitokeza sasa mke wangu amekua akifanya mambo bila kunishirikisha kwa mfano wiki tatu zilizopita aliniambia anaenda kwenye semina kanisani alivyorud hakusema chochote ghafla nikaona mwenzangu ana harakati za biashara ya mtandaoni biashara yenyewe ni ile ambayo kampuni wanakuuzia madawa halafu ww utafute wateja uwauzie ndiyo urudishe hela zako ulizonunulia.Sasa kinachonitatiza zaidi kafungua akaunti mitandao ya kijamii kaweka no yake ya simu,email na location kabisa yeye anapoishi.Mara nyingi nikimkataza jambo fulani hanielewi kuna kipindi kuna tatizo lilijitokeza nikafikisha taarifa kwa mama ake lkn naona bado mwenzangu mambo ni vile vile sasa nawauliza nyie ambao mmewaacha wake zenu na kuoa wengine vipi hali ikoje huko nataka nimuache huyu mi dharau sipendi
Mjomba wewe kuwa tu mjinga. Hata sisi huku wenzako hali ni hiyo hiyo. Tunavumilia tu mjomba ili watoto wasije kuteseka kwa kukosa malezi ya pande zote mbili. Hawa watu kwa sasa hawashikiki mjomba. Ukishindwa kabisa kuvumilia, ingia kwenye chama cha watu wa kataa ndoa. Huko walau utapumua mjomba.
 
Tatizo kubwa hapa si biashara pekee, bali kutokushirikishana na kukosekana kwa mawasiliano kwenye ndoa. Usikimbilie kumuacha kwa hasira. Zungumza naye kwa utulivu, eleza kinachokuumiza, msikilizane na muweke mipaka ya maamuzi mnayopaswa kufanya pamoja.

Kuachana kuwe chaguo la mwisho baada ya kuona hakuna mabadiliko licha ya mazungumzo ya dhati.
 
Wachangia wanauliza kosa nini?
Ni kwamba wametafuta kosa kupitia maelezo na matendo aliyofanya hakuna kosa.

Shida ipo kwako,
Wewe bado hujakua una waza kitoto sana,inaonekana ni mwathirika pia wa story za vijiweni.
Ndugu kwa sasa ww ni mtoto wa kiume sio mwanaume.
Siku ukifikia umri wa kuwa mwanaume uje ukumbuke thread yako hii.
Utajishangaa.
Mwanamke anavumilia ujinga wako mwingi sana ni vile hawezi kukuambia yote ,
Kwenye ndoa mwanamke pia anaweza akawa na upeo mkubwa kuzidi mwanaume,Ndio ilivyo ndoa yako.
Tatizo biashara aliyoamua kuifanya na kufanya mambo bila kunishirikisha
 
Acha ujinga wewe....kuachana kutakucost sana yaani mtaachana,mtagawana mlichopata lakini ajabu pesa ya matunzo ya mtoto KUBWA KULIKO ataolewa au kuchepuka rasmi huku ukibaki na sonona.
Jaribu uone.
 
Comments nyingi za wadau humu zinaonesha namna gani ndoa zao zilivyo taabani kwasababu mleta mada amesema wazi kuwa mke wake hamshirikishi kwa mambo muhimu ya mustakabali wa maisha yao lakini wadau wanasema hawaoni kosa.

Hii ni tafsiri kwamba wanaume wengi humu wanapitia hali hii ya mke kujiamulia mambo na mwanaume anabaki kama zwazwa tu.

Ukiona mwanamke hakushirikishi mambo ya msingi probably amepata mwingine anayemuamini na kumshirikisha mambo yake.
Mkuu ww umenipata vizuri sana nashangaa navyoulizwa kosa lake liko wp
 
  • Thanks
Reactions: ---
Tatizo kubwa hapa si biashara pekee, bali kutokushirikishana na kukosekana kwa mawasiliano kwenye ndoa. Usikimbilie kumuacha kwa hasira. Zungumza naye kwa utulivu, eleza kinachokuumiza, msikilizane na muweke mipaka ya maamuzi mnayopaswa kufanya pamoja.

Kuachana kuwe chaguo la mwisho baada ya kuona hakuna mabadiliko licha ya mazungumzo ya dhati.
Nashukuru sana
 
Hicho ndyo kinaniwazisha kwa sababu kaajiliwa sawa waajiriwa kipato hakitoshi lkn kaingia kwenye hiyo biashara mi naona haina tofauti na qnet

Kwanza tuliza Mihemuko na jazba.
Yaan umuache Mke kisa ameanzisha biashara na kuweka namba yake public mitandaoni?.

Hapana sio sawa.

Hapa kuna mawili.
Moja, Unajua hizo Biashara za pyramid scheme huwa kuna wataalamu kweli kweli wa kuongea na kuconviece watu . Wenyewe wanawaita Coach.
Ni kama vile Wale Apostle wa Makanisa ya Kiroho.
Kwahiyo kwa sababu waauwezo mkubwa wa ushawishi , Wakimpata mtu na kumuimbisha wanaamsha Ari ya mtu huyo kwa kiwango cha juu.

kwahiyo wamemkamata mke wako..
Na tena watakuwa wamemuambia kama unaona mume wako ukimwambia atakataa. Ww anzisha alafu ukiwa Millionea Mume wako ataona umefanya jambo la maana.

Na ndio sababu hajakuambia.
Kwasababu alishakusoma na kuona ungekataa. Sasa kwasababu Ari iko juu anafanya kila linalowezekana ili afanikiwe kwenye hiyo biashara. Na ndio maana amefungua akaunti mitandaoni.

Mke wako amelewa na kutamani mafanikio kama ilivyo kwa mwanamke mlokole na wokovu.

Ila uzuri kwa upande wako ni kuwa. Haitadumu hata mwaka mmoja. Atachoka na kuacha.

Pili, kwasababu sasa ushajua kwanini hajakuambia, ww muache. 95% ya watu niliokuwa nawajua kufanya hizo biashara wamefeli, ila kuna kitu wamejifunza. Kuwa biashara sio lelemama.
Kwahiyo ni Shule anapitia.
Muache na wala usionyeshe kuchukia, ili siku akichoka na kufeli asiseme ww umemkwamisha.
 
Back
Top Bottom