Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 21,727
- 46,629
Kweli mkuuNdoa sio kwa ajili ya kila mtu
Kweli mkuuNdoa sio kwa ajili ya kila mtu
SawaKijana acha ujinga... Achana na huyo mwanamke... Huyo beki3 ndiyo mkeo halali... Mtie mimba ishi naye vzuri... Huyo mwingine mwambie asirudi tena kwako...
Mwanamke hatakiwi hata kidogo kukuendesha
Nimeliona hilo sirudii tenaShikilia hii📌View attachment 3653992
Yah nakaa nae mm coz tuna mtoto so napoenda kazin housegirl anabaki na mtoto tuliamua iwe hivi kwa sababu mazingira ya kule anakofanya kazi mwenzangu siyo mazuriHouse girl unakaa nae wewe? Mke wako hajitambui. Unampa fisi akuuzie bucha?
Sijamkataza kufanya biashara hiyo biashara anayofanya we unailewa vizuri biashara ya wale watu ambao wana kuuzia madawa then ww utafute wateja uwauzie sasa hiyo nayo biashara ya kutamba nayoWomen are very clever, Mwanamke ameshamuona Mwanaume anamcheleweaha kwenye maendeleo.
Na kawaida wanawake hawakai na Wanaume maboya, wakulia lia
Sawa tuSi mlisema nyie hamtaki kuoa golikipa? Hizo ndio changamoto zake.
Muda si mrefu anaenda kuwa single Maza and she is ready for that, ndio Maana anajiandaa kabisa kukutema.
Someni maelezo yote siyo mnakurupuka kucomment nimesema ni muajiriwaAkikaa nyumbani bila kufanya kazi yoyote unaweza kumudu majukumu yote ya kifamilia??