...kiukweli simon umenitoa machozi ndugu yangu. Nimesoma ulichoandika mara tatu tatu, nikaanza kuhisi pengine labda mimi ndio niliandika huu uzi jana usiku, ila kutokana na mawenge ya strees pamoja na usingizi,, nimejikuta nimesahau. Maana kiukweli ulichokiandika chote, kama kilivyo...ndio hali halisi niliyonayo mwenzako hivi sasa, mpaka nimeisi pengine umeniibia story.
Kiukweli haya maisha ya mahusiano, tuyaache tu kama yalivyo...."mtu mwema ukutana na bedui na bedui ukutana na mwema" sio fair hata kidogo.
Nikupe tu pole ndugu yangu, maana natamani niandike zaidi ya pole lakini nawaza...nitaandika nini, wakati me na wewe tupo kwenye boti moja.
Ila Mungu yupo....tumuachie yeye.