Ndoa yangu ipo ICU !dah

Ndoa yangu ipo ICU !dah

Ushauri wangu ni hivi, kwakuwa analilia talaka wewe nenda mahakamani kafungue ombi la utengano. Sio talaka. Likikubaliwa wewe potea rudi Dar kaendelee na maisha mengine.

Nadhani kosa ulilolifanya ni kuhamia Morogoro ili kumtimizia anachokitska. Haikupaswa wewe kuhamia huko tena kwa kazi yenye mshahara mdogo kuliko uliyokuwa unaifanya awali.

Sio muda wa kulaumiana, ila kama ukiishindwa option A, basi fanya hii option B. Ondoka rudi Dar na umwambie wazi. Pia uwaambie na hao wenye mahusiano naye kuwa wawe makini na mke wako (hawataendelea naye). Atafanya uhuni kwa miaka miwili tu ila hataweza kutoboa watatu
Unajibu leo umesoma tarehe hii habari ni ya lini?
Umekurupuka!
 
Mkuu achana na hilo pepo litaku ua kwa presha achana nalo
 
Hapo kukaribisha mtoto wa danga la ex wife wako ndipo uliponiangusha,wa kazi gani huyo?yaani visa vyote hivyo pamoja na kut*mb£wa na baba yake wewe ndiyo kwanza umemvuta kuwa karibu na wewe?

Wa nini huyo?
Brother ..unajua kuna maisha ukiishi kiroho inasaidia kuwa na busara kwenye maisha ya kimwili.....
No matter what huyo mtoto mdogo anakama 6 hivi kama sikosei...kampani yake sana ni hawa kaka zake (wakwangu)
kwa miaka mitatu mfululizo hawa wakijaga likizo ye huwa anabaki na wala sikuwa napenda engagement sana nae..japo nikiongea na wanangu pia yeye naye anakuwa lazma niongee nae( unajua lifestyle ya watoto na mikumbo) ,,
mwaka jana xmas alikaza kila nikiwa naongea nao swala la kuja pia...
inshort mimi bwana kuna vita na vita nachaguaga kupigana..ila kama mtu hana hatia hata iweje sisumbuki..huyu mtoto sio wangu na simuhudumii..the issue yupo stage ya kuwaganda kaka zake kuna vitu simple reasoning inastaili kuliko kumtenga..na najitahidi kujenga upendo kwasababu yule ni ndugu wa wanangu sio mimi,,,na pia hawa ni malaika wa Mungu kuwafundisha matabaka wakati wazaz ni wasomi simple reasoning ikinisinda kuchakachua nakuwa kama mzaz mwenzangu....
nisamehe kwa kukuangusha..kuna baraka simple sana duniani kuzikosa ni kujitakia mpwa...


alafu umri huu mim ni gamer sana...nina set up ya my games home..(chumba kimoja nimepiga set up matata) yani weekend nikiwa sina hamu na mitungi wala kuzurula najifungiaga huko,...wakijaga madogo ndo huwaambi kitu..sasa naona wamemvuruga adi mdogo wao...
 
Brother ..unajua kuna maisha ukiishi kiroho inasaidia kuwa na busara kwenye maisha ya kimwili.....
No matter what huyo mtoto mdogo anakama 6 hivi kama sikosei...kampani yake sana ni hawa kaka zake (wakwangu)
kwa miaka mitatu mfululizo hawa wakijaga likizo ye huwa anabaki na wala sikuwa napenda engagement sana nae..japo nikiongea na wanangu pia yeye naye anakuwa lazma niongee nae( unajua lifestyle ya watoto na mikumbo) ,,
mwaka jana xmas alikaza kila nikiwa naongea nao swala la kuja pia...
inshort mimi bwana kuna vita na vita nachaguaga kupigana..ila kama mtu hana hatia hata iweje sisumbuki..huyu mtoto sio wangu na simuhudumii..the issue yupo stage ya kuwaganda kaka zake kuna vitu simple reasoning inastaili kuliko kumtenga..na najitahidi kujenga upendo kwasababu yule ni ndugu wa wanangu sio mimi,,,na pia hawa ni malaika wa Mungu kuwafundisha matabaka wakati wazaz ni wasomi simple reasoning ikinisinda kuchakachua nakuwa kama mzaz mwenzangu....
nisamehe kwa kukuangusha..kuna baraka simple sana duniani kuzikosa ni kujitakia mpwa...


alafu umri huu mim ni gamer sana...nina set up ya my games home..(chumba kimoja nimepiga set up matata) yani weekend nikiwa sina hamu na mitungi wala kuzurula najifungiaga huko,...wakijaga madogo ndo huwaambi kitu..sasa naona wamemvuruga adi mdogo wao...
All the best chief.

Sikupingi ila kwangu inakataa kabisa ilibidi hizo mambo akafanyie kwa baba yake siyo kwangu.
 
Amua kiume wewe na uwe serious , mwache na mwachie watoto, mtumie matumizi ya watoto kila mwezi na uwe unawatembelea wanao, na usilale kwake, then anza kutafuta mwanamke mwingine, next time usiache kazi kuhamia kwa mwanamke kwa mshahara nusu
 
Brother ..unajua kuna maisha ukiishi kiroho inasaidia kuwa na busara kwenye maisha ya kimwili.....
No matter what huyo mtoto mdogo anakama 6 hivi kama sikosei...kampani yake sana ni hawa kaka zake (wakwangu)
kwa miaka mitatu mfululizo hawa wakijaga likizo ye huwa anabaki na wala sikuwa napenda engagement sana nae..japo nikiongea na wanangu pia yeye naye anakuwa lazma niongee nae( unajua lifestyle ya watoto na mikumbo) ,,
mwaka jana xmas alikaza kila nikiwa naongea nao swala la kuja pia...
inshort mimi bwana kuna vita na vita nachaguaga kupigana..ila kama mtu hana hatia hata iweje sisumbuki..huyu mtoto sio wangu na simuhudumii..the issue yupo stage ya kuwaganda kaka zake kuna vitu simple reasoning inastaili kuliko kumtenga..na najitahidi kujenga upendo kwasababu yule ni ndugu wa wanangu sio mimi,,,na pia hawa ni malaika wa Mungu kuwafundisha matabaka wakati wazaz ni wasomi simple reasoning ikinisinda kuchakachua nakuwa kama mzaz mwenzangu....
nisamehe kwa kukuangusha..kuna baraka simple sana duniani kuzikosa ni kujitakia mpwa...


alafu umri huu mim ni gamer sana...nina set up ya my games home..(chumba kimoja nimepiga set up matata) yani weekend nikiwa sina hamu na mitungi wala kuzurula najifungiaga huko,...wakijaga madogo ndo huwaambi kitu..sasa naona wamemvuruga adi mdogo wao...
Mkuu ulishaachana na huyo mama watoto wako au bado unakomaa na mateso hadi leo?
 
Binafsi nipo kwenye ndoa takribani miaka mine na tumebarikiwa watoto wawili. Changamoto zilianza mke alipohamishwa kikazi mwaka juzi kutoka Dar kwenda Morogoro.

Kutokana na ukaribu nikawa najituma sana kutwa kwenda halafu isitoshe huyu mtoto wa pili alikua mwaka mmoja. Umbali ukasababisha mimi niwe mnywaji kidogo kuondoa upweke kuliko niwe nachepuka. Nikawa napunguza safari za kwenda weekend na yeye akazidisha mahusiano ya simu na mfanyakazi mwenzie(sijui kama walitembea ila nilijua wana uhusiano baada ya kunasa chat maana ilifika kipindi anajua weekend nalala ndo anakua busy kwa simu wakiongea na huyo mpaka nilivyombana na chats aka admit wanamahusiano via simu na huyo mtu yupo Dar).

Siku moja nikaenda Moro ghafla nikakuta anachat nae bado na isitoshe kuna mwingine wa Moro; nilimdunda hatari. Tukasuluhishwa na familia baada ya hapo kila tukikwaruzana kidogo anakimbilia kusisitiza tuachane yaani ndo ukawa wimbo.

Sasa nikaona kuondoa usumbufu na yeye kuhamia Dar aligoma kwa kusema maisha nafuu Moro nikatafuta kazi Moro nikahamia(nilipata kazi half the pay ya Dar) ila nilimweleza la msingi tuwe pamoja tuweze nusuru ndoa.

Sasa tangu tumeamua kukaa pamoja mambo hayajawa mepesi. Mimi na-cover basic needs kama kawaida yangu na napambana na biashara ila mwenzangu amekuwa amepotea kabisa kimapenzi. Tangu mwaka huu tunaweza kuwa tumesex si zaida ya mara 15 am sure maana mwenzangu hayupo kabisa anaona nimembana sana.

Kila kitu anatupia lawama nivomdundaga na matatizo ya nyuma. Nimejitahid kumpa space sana ila naona kitu kidogo anakimbilia kutaka talaka.

Sasa kilichonipelekea kuandika uzi huu ni majuzi nilimwambia naenda Dar maana alikua yupo moody sikujua ni sababu yangu au lah. Nikamwambia tu nina safari ya Dar week nzima; aisee alifurahii sana.

Safari ilikuwa ya siku mbili nikarejea jioni nikamtafuta kwenye simu akawa hapokei alivyotoka kibaruani. Jirani yetu ni mfanyakaz mwenzie akarudi tukapishana nikamuuliza vipi shoga yako akasema tumeachana amesema anapita sokoni mara moja (nikaona very rare kutorudi na shoga yake).

Wife akanitumia meseji akasema ametoka outing na shoga zake. Nikasema fine mimi nikanyuti nje mtaa wa pili kuona nani angerudi nae.

Kuna gari ikaja ikapaki kwa jirani ikakaa dakika kama 15 akashuka halafu gari ikaondoka. Alivyoingia ndani nami nikamfwata kwa nyuma
akashtuka sana. Nikamuuliza nani akasema rafiki yake tu walienda pata wine.

Nikamwambia naomba uwe makini tu kuna maradhi. Kama tumefikia huko naomba basi uwe na amani ufanye yako na si hapa kwangu na isitoshe tuna watoto wadogo usilete jazba kwenye haya mambo(maana tulivoingia ndani akaanza kuwaka kama simuamini alivyosema yupo outing nikamweleza outing sio issue ishu umetoka huko mkaweka kambi kwenye gari mie nawaona tu mnapiga story hamkumaliza huko outing)

Nimegundua hana mapenz kwa sasa na nimevumilia sana vituko vyake ila nawaza niwashirikishe wazazi wake na wadhamini wetu nataka niwachukue wanangu nirudi Dar nimpe nafasi tu.

Mkewangu ananiuma sana kila nikikumbuka nilivyompata, mahusiano yetu nk. Yeye ndo alikuwa kipaumbele kunitia sana moyo pale nilipokwama au kusita jambo(hii naandika kwa majonzi sana)

Umri wake haujazidi 30 bado na kuna muda naamini alingia ndoani akiwa mdogo sijui kuna mambo hajafanya? Ila mimi ni mtu wa kuwa huru sana namwambiaga nishirikishe nikupe kibali sina hiyana wala nini cha msingi ni imani tu kwamba hatavuka mipaka.

Suala la uwezo sijalitilia uzito maana yeye binafsi ana kazi na mshahara wake kwakweli huwa simgusiagi hata kidogo anafanya atakavyo. Mimi nina nyumba Dar ndo nimepangisha kuja kuishi naye huku. In short majukumu yangu nayajua na nayamudu.

Suala la kitandani lilikuwa zuri tu sote tunafurahi nk. Mwaka huu lilianza kususasua penzi la kubembeleza yeye ata enjoy ila mpaka nimemuandaa nimemconvince mbona shughuli.

Kwa upande wangu sio mnywaji sana na anajua. Nikinywa tu wine nikiwa nae ntajitahid kumueleza kiu yangu juu ya mambo ambayo hanitimizii hapo nae atarukia "si uniache"bas mkibishana atasema mlevi tatizo.

Weekend ndo tunakaa na kujadili mambo ila mara chache sana maana katikati ya wiki akirudi home yeye kachoka ni kula kulala tu.

Mimi ni mwanadamu pia naweza kuwa na mapungufuyangu ila all i know kuachilia mbali kila jambo nimekuwa nikijitahid kuomba msamaha ninapokosea nk.

Ndugu zangu ndo wanaona nimekamatwa kwelikweli ila nakuwa najitahid niishi ki maadili maana mke mwenyewe mmoja.

Nimesali sana mpaka nimeona kama ni watoto hata nikisema nimpotezee nitahitaji kuwaona wanangu ambapo itapelekea nimwone labda na yeye kitu ambacho mda mwingi kinaniwia ngumu kuvunja familia. Ila nikisema nibebe watoto(namjua kwa sasa majibu yake atasema nenda nao tu la msingi tuachaneee nk) nitabeba ila nataka niombe nisingependa kusikia pua yake na wakwe ndo watakua gia ya kuwaona. Ninataka full right ya wanangu nina uwezo wa kuwalea vizuri. Yani naumia sana ila naona ndo best option kwa sasa.

Naomba ushauri wenu wakuu
Pole mkuu. Mwanamke wa 30 years wala usiogope. Mvumilie afike 35 . Ujana wote utamuisha na atakuona dhahabu ndipo sasa na ww umnyooshe
 
Unajibu leo umesoma tarehe hii habari ni ya lini?
Umekurupuka!
Haina tatizo Mkuu, isipomfaa mleta uzi itamfaa msoma uzi. Naamini na wewe ulikuwa haujui kuwa talaka na utengano ni vitu viwili tofauti kwenye kesi za ndoa.

Siku nyingine kuwa open minded kiongozi.
 
Soma stori vzr vitu vingi uloviongelea jamaa kashaviongelea vyote
Sikuwa nimeiona update yake ya leo Mkuu, ndio maana mimi nilibaki kwenye main thread juu. Ila jambo jema nadhani jamaa alishauriwa na ama wakili au mtu anayeijua vizuri sheria ya ndoa ilivyo
 
Binafsi nipo kwenye ndoa takribani miaka mine na tumebarikiwa watoto wawili. Changamoto zilianza mke alipohamishwa kikazi mwaka juzi kutoka Dar kwenda Morogoro.

Kutokana na ukaribu nikawa najituma sana kutwa kwenda halafu isitoshe huyu mtoto wa pili alikua mwaka mmoja. Umbali ukasababisha mimi niwe mnywaji kidogo kuondoa upweke kuliko niwe nachepuka. Nikawa napunguza safari za kwenda weekend na yeye akazidisha mahusiano ya simu na mfanyakazi mwenzie(sijui kama walitembea ila nilijua wana uhusiano baada ya kunasa chat maana ilifika kipindi anajua weekend nalala ndo anakua busy kwa simu wakiongea na huyo mpaka nilivyombana na chats aka admit wanamahusiano via simu na huyo mtu yupo Dar).

Siku moja nikaenda Moro ghafla nikakuta anachat nae bado na isitoshe kuna mwingine wa Moro; nilimdunda hatari. Tukasuluhishwa na familia baada ya hapo kila tukikwaruzana kidogo anakimbilia kusisitiza tuachane yaani ndo ukawa wimbo.

Sasa nikaona kuondoa usumbufu na yeye kuhamia Dar aligoma kwa kusema maisha nafuu Moro nikatafuta kazi Moro nikahamia(nilipata kazi half the pay ya Dar) ila nilimweleza la msingi tuwe pamoja tuweze nusuru ndoa.

Sasa tangu tumeamua kukaa pamoja mambo hayajawa mepesi. Mimi na-cover basic needs kama kawaida yangu na napambana na biashara ila mwenzangu amekuwa amepotea kabisa kimapenzi. Tangu mwaka huu tunaweza kuwa tumesex si zaida ya mara 15 am sure maana mwenzangu hayupo kabisa anaona nimembana sana.

Kila kitu anatupia lawama nivomdundaga na matatizo ya nyuma. Nimejitahid kumpa space sana ila naona kitu kidogo anakimbilia kutaka talaka.

Sasa kilichonipelekea kuandika uzi huu ni majuzi nilimwambia naenda Dar maana alikua yupo moody sikujua ni sababu yangu au lah. Nikamwambia tu nina safari ya Dar week nzima; aisee alifurahii sana.

Safari ilikuwa ya siku mbili nikarejea jioni nikamtafuta kwenye simu akawa hapokei alivyotoka kibaruani. Jirani yetu ni mfanyakaz mwenzie akarudi tukapishana nikamuuliza vipi shoga yako akasema tumeachana amesema anapita sokoni mara moja (nikaona very rare kutorudi na shoga yake).

Wife akanitumia meseji akasema ametoka outing na shoga zake. Nikasema fine mimi nikanyuti nje mtaa wa pili kuona nani angerudi nae.

Kuna gari ikaja ikapaki kwa jirani ikakaa dakika kama 15 akashuka halafu gari ikaondoka. Alivyoingia ndani nami nikamfwata kwa nyuma
akashtuka sana. Nikamuuliza nani akasema rafiki yake tu walienda pata wine.

Nikamwambia naomba uwe makini tu kuna maradhi. Kama tumefikia huko naomba basi uwe na amani ufanye yako na si hapa kwangu na isitoshe tuna watoto wadogo usilete jazba kwenye haya mambo(maana tulivoingia ndani akaanza kuwaka kama simuamini alivyosema yupo outing nikamweleza outing sio issue ishu umetoka huko mkaweka kambi kwenye gari mie nawaona tu mnapiga story hamkumaliza huko outing)

Nimegundua hana mapenz kwa sasa na nimevumilia sana vituko vyake ila nawaza niwashirikishe wazazi wake na wadhamini wetu nataka niwachukue wanangu nirudi Dar nimpe nafasi tu.

Mkewangu ananiuma sana kila nikikumbuka nilivyompata, mahusiano yetu nk. Yeye ndo alikuwa kipaumbele kunitia sana moyo pale nilipokwama au kusita jambo(hii naandika kwa majonzi sana)

Umri wake haujazidi 30 bado na kuna muda naamini alingia ndoani akiwa mdogo sijui kuna mambo hajafanya? Ila mimi ni mtu wa kuwa huru sana namwambiaga nishirikishe nikupe kibali sina hiyana wala nini cha msingi ni imani tu kwamba hatavuka mipaka.

Suala la uwezo sijalitilia uzito maana yeye binafsi ana kazi na mshahara wake kwakweli huwa simgusiagi hata kidogo anafanya atakavyo. Mimi nina nyumba Dar ndo nimepangisha kuja kuishi naye huku. In short majukumu yangu nayajua na nayamudu.

Suala la kitandani lilikuwa zuri tu sote tunafurahi nk. Mwaka huu lilianza kususasua penzi la kubembeleza yeye ata enjoy ila mpaka nimemuandaa nimemconvince mbona shughuli.

Kwa upande wangu sio mnywaji sana na anajua. Nikinywa tu wine nikiwa nae ntajitahid kumueleza kiu yangu juu ya mambo ambayo hanitimizii hapo nae atarukia "si uniache"bas mkibishana atasema mlevi tatizo.

Weekend ndo tunakaa na kujadili mambo ila mara chache sana maana katikati ya wiki akirudi home yeye kachoka ni kula kulala tu.

Mimi ni mwanadamu pia naweza kuwa na mapungufuyangu ila all i know kuachilia mbali kila jambo nimekuwa nikijitahid kuomba msamaha ninapokosea nk.

Ndugu zangu ndo wanaona nimekamatwa kwelikweli ila nakuwa najitahid niishi ki maadili maana mke mwenyewe mmoja.

Nimesali sana mpaka nimeona kama ni watoto hata nikisema nimpotezee nitahitaji kuwaona wanangu ambapo itapelekea nimwone labda na yeye kitu ambacho mda mwingi kinaniwia ngumu kuvunja familia. Ila nikisema nibebe watoto(namjua kwa sasa majibu yake atasema nenda nao tu la msingi tuachaneee nk) nitabeba ila nataka niombe nisingependa kusikia pua yake na wakwe ndo watakua gia ya kuwaona. Ninataka full right ya wanangu nina uwezo wa kuwalea vizuri. Yani naumia sana ila naona ndo best option kwa sasa.

Naomba ushauri wenu wakuu
Let it fuckeb day utakuja junishukuru
 
Binafsi nipo kwenye ndoa takribani miaka mine na tumebarikiwa watoto wawili. Changamoto zilianza mke alipohamishwa kikazi mwaka juzi kutoka Dar kwenda Morogoro.

Kutokana na ukaribu nikawa najituma sana kutwa kwenda halafu isitoshe huyu mtoto wa pili alikua mwaka mmoja. Umbali ukasababisha mimi niwe mnywaji kidogo kuondoa upweke kuliko niwe nachepuka. Nikawa napunguza safari za kwenda weekend na yeye akazidisha mahusiano ya simu na mfanyakazi mwenzie(sijui kama walitembea ila nilijua wana uhusiano baada ya kunasa chat maana ilifika kipindi anajua weekend nalala ndo anakua busy kwa simu wakiongea na huyo mpaka nilivyombana na chats aka admit wanamahusiano via simu na huyo mtu yupo Dar).

Siku moja nikaenda Moro ghafla nikakuta anachat nae bado na isitoshe kuna mwingine wa Moro; nilimdunda hatari. Tukasuluhishwa na familia baada ya hapo kila tukikwaruzana kidogo anakimbilia kusisitiza tuachane yaani ndo ukawa wimbo.

Sasa nikaona kuondoa usumbufu na yeye kuhamia Dar aligoma kwa kusema maisha nafuu Moro nikatafuta kazi Moro nikahamia(nilipata kazi half the pay ya Dar) ila nilimweleza la msingi tuwe pamoja tuweze nusuru ndoa.

Sasa tangu tumeamua kukaa pamoja mambo hayajawa mepesi. Mimi na-cover basic needs kama kawaida yangu na napambana na biashara ila mwenzangu amekuwa amepotea kabisa kimapenzi. Tangu mwaka huu tunaweza kuwa tumesex si zaida ya mara 15 am sure maana mwenzangu hayupo kabisa anaona nimembana sana.

Kila kitu anatupia lawama nivomdundaga na matatizo ya nyuma. Nimejitahid kumpa space sana ila naona kitu kidogo anakimbilia kutaka talaka.

Sasa kilichonipelekea kuandika uzi huu ni majuzi nilimwambia naenda Dar maana alikua yupo moody sikujua ni sababu yangu au lah. Nikamwambia tu nina safari ya Dar week nzima; aisee alifurahii sana.

Safari ilikuwa ya siku mbili nikarejea jioni nikamtafuta kwenye simu akawa hapokei alivyotoka kibaruani. Jirani yetu ni mfanyakaz mwenzie akarudi tukapishana nikamuuliza vipi shoga yako akasema tumeachana amesema anapita sokoni mara moja (nikaona very rare kutorudi na shoga yake).

Wife akanitumia meseji akasema ametoka outing na shoga zake. Nikasema fine mimi nikanyuti nje mtaa wa pili kuona nani angerudi nae.

Kuna gari ikaja ikapaki kwa jirani ikakaa dakika kama 15 akashuka halafu gari ikaondoka. Alivyoingia ndani nami nikamfwata kwa nyuma
akashtuka sana. Nikamuuliza nani akasema rafiki yake tu walienda pata wine.

Nikamwambia naomba uwe makini tu kuna maradhi. Kama tumefikia huko naomba basi uwe na amani ufanye yako na si hapa kwangu na isitoshe tuna watoto wadogo usilete jazba kwenye haya mambo(maana tulivoingia ndani akaanza kuwaka kama simuamini alivyosema yupo outing nikamweleza outing sio issue ishu umetoka huko mkaweka kambi kwenye gari mie nawaona tu mnapiga story hamkumaliza huko outing)

Nimegundua hana mapenz kwa sasa na nimevumilia sana vituko vyake ila nawaza niwashirikishe wazazi wake na wadhamini wetu nataka niwachukue wanangu nirudi Dar nimpe nafasi tu.

Mkewangu ananiuma sana kila nikikumbuka nilivyompata, mahusiano yetu nk. Yeye ndo alikuwa kipaumbele kunitia sana moyo pale nilipokwama au kusita jambo(hii naandika kwa majonzi sana)

Umri wake haujazidi 30 bado na kuna muda naamini alingia ndoani akiwa mdogo sijui kuna mambo hajafanya? Ila mimi ni mtu wa kuwa huru sana namwambiaga nishirikishe nikupe kibali sina hiyana wala nini cha msingi ni imani tu kwamba hatavuka mipaka.

Suala la uwezo sijalitilia uzito maana yeye binafsi ana kazi na mshahara wake kwakweli huwa simgusiagi hata kidogo anafanya atakavyo. Mimi nina nyumba Dar ndo nimepangisha kuja kuishi naye huku. In short majukumu yangu nayajua na nayamudu.

Suala la kitandani lilikuwa zuri tu sote tunafurahi nk. Mwaka huu lilianza kususasua penzi la kubembeleza yeye ata enjoy ila mpaka nimemuandaa nimemconvince mbona shughuli.

Kwa upande wangu sio mnywaji sana na anajua. Nikinywa tu wine nikiwa nae ntajitahid kumueleza kiu yangu juu ya mambo ambayo hanitimizii hapo nae atarukia "si uniache"bas mkibishana atasema mlevi tatizo.

Weekend ndo tunakaa na kujadili mambo ila mara chache sana maana katikati ya wiki akirudi home yeye kachoka ni kula kulala tu.

Mimi ni mwanadamu pia naweza kuwa na mapungufuyangu ila all i know kuachilia mbali kila jambo nimekuwa nikijitahid kuomba msamaha ninapokosea nk.

Ndugu zangu ndo wanaona nimekamatwa kwelikweli ila nakuwa najitahid niishi ki maadili maana mke mwenyewe mmoja.

Nimesali sana mpaka nimeona kama ni watoto hata nikisema nimpotezee nitahitaji kuwaona wanangu ambapo itapelekea nimwone labda na yeye kitu ambacho mda mwingi kinaniwia ngumu kuvunja familia. Ila nikisema nibebe watoto(namjua kwa sasa majibu yake atasema nenda nao tu la msingi tuachaneee nk) nitabeba ila nataka niombe nisingependa kusikia pua yake na wakwe ndo watakua gia ya kuwaona. Ninataka full right ya wanangu nina uwezo wa kuwalea vizuri. Yani naumia sana ila naona ndo best option kwa sasa.

Naomba ushauri wenu wakuu
Rudi Dar. Mpotezee akikuhitaji atakuja.

Ila kwa kifupi kwa sasa unachapiwa.

Huu ndio ungekua ushauri wangu miaka hiyo.

Ila kwa kuwa ushamove big up.

Usijaribu kumgusa vizazi vipo karibu hao.
 
All the best chief.

Sikupingi ila kwangu inakataa kabisa ilibidi hizo mambo akafanyie kwa baba yake siyo kwangu.
nakuelewa sana mpwa...
cha msingi tuzidi kutafuta hela...
yani mimi nikiangalia nilipo ..kuna vitu petty siwezi engage kwakwel...
Mungu akikubariki...bariki wengine
 
Back
Top Bottom