Imwase
JF-Expert Member
- Jun 14, 2017
- 500
- 506
Mkuu pole sana,hilo ni tatizo kubwa sana kwani huwezi fikiria chochote cha maendeleo kwa sasa.Kama kichwa cha habari hapo juu...
Binafsi nipo kwenye ndoa takribani miaka mine na tumebarikiwa watoto wawili...
Changamoto zilianza mke alipohamishwa kikaz mwaka juzi moro...kutokana na ukaribu nikawa najituma sana kutwa kwenda afu isitoshe huyu mtoto wa pili alikua mwaka mmoja...umbali ukasababisha mimi niwe mnywaji kidogo kuondoa upweke kuliko niwe nachepuka...nikawa napunguza safar za kwenda weeknd..yeye akazidisha mahusiano ya simu na mfanyakaz mwenzio(sijui kama walitembea ila nilijua wanauhusiano baada ya kunasa chat maana ilifika kipind anajua weekend nalala ndo anakua busy kwa simu wakiongea na huyo mpaka nivo mbana na chats aka admit wanamahusianp via simu na huyo mtu yupo dar)
Najitahid kusummarise maana iliendelea mpaka siku moja nikaenda moro gafla nikakuta anachat nae bado na isitoshe kuna mwingine wa moro..nilimdunda hatari..tukasuluhishwa na familia baada ya hapo kila tukikwaruzana kidogo anakimbilia kusisitiza tuachane bwana ndo ukawa wimbo..
Sasa nikaona kuondoa usumbufu na yeye kuhamia dar aligoma kwakusema maisha nafuu moro..nikatafuta kaz moro nikahamia na mimi moro(nilipata kaz half the pay ya dar) ila nilimweleza la msingi tuwe pamoja tuweze nusuru ndoa
(Haya yote miezi miwili tu nilikuja na kupata kaz mwanzon wa mwaka huu )...
Sasa tangu tumeamua kukaa pamoja mambo hayajawa mepes mimi na cover basic needs kama kawaida yangu na napambana na biashara ila mwenzangu amekuwa amepotea kabisa kimapenz..tangu mwaka huu tunaweza kuwa tumesex si zaida ya mara 15 am sure..maana mwenzangu hayupo kabisa anaona nimembana sana kila kitu anatupia lawama nivomdundaga na matatizo ya nyuma..nimejitahid kumpa space sana ila naona kitu kidogo anakimbilia nataka talaka nk..
Sasa ilichonipelekea kuandika uzi huu..majuzi nilimwambia naenda dar maana alikua yupo moody sikujua mayb ni mimi au lah nikamwambia tu nasafar ya dar week nzima
Ase alifurahii sana ..safar ilikua ya siku mbili nikarejea jion namtafuta kwenye simu akawa hapokei alivyotoka kibaruani..jiran yetu ni mfanyakaz mwenzie akarud tukapishana nikamuiza vp shoga yako akasema tumeachana amesema anapita sokoni mara moja (nikaona very rare kutorud na shoga yake) wife akanitumia mesej akasema ametoka outing na shoga zake
Nikasema fine )
Mimi nikanyuti nje mtaa wa pili kuona nani angerudi nae (kuna gar ikaja ikapak kwa jirani ikakaa dak kama 15 akashuka afu gar ikaondoka )
Alivyoingia ndan nami nikamfwata kwa nyuma
Akashtuka sana..nikamuuliza nani akasema rafiki yake tu walienda pata wine)
Tukaingia nikamwambia naomba uwe makini tu kuna maradhi nk. Ila kama tumefikia huko naomba basi uwe na amani ufanye yako na si mbelen hapa kwangu..afu isitoshe tuna watoto wadogo usilete jazba kwenye haya mambo(maana tulivoingia ndani akaanza kuwaka kama simuamini alivyosema yupo outing nikamweleza outing sio issue ishu umetoka huko mkaweka kambi kwenye gar mie nawaona tu mnapiga story hamkumaliza huko outing)
To mypoint: nimegundua hana mapenz kwa sAsa ma amini nawaambia nimevumilia sana vituko vyake ila nawaza niwashirishe wazazi wake na wadhamini wetu nataka niwachukue wanangu nirudi dar nimpe nafasi tu
(Samahanini naandika kwa kuruka ila hadi naumia yani)
Note
-jaman mkewangu ananiuma sana kila nikikumbuka nilivyompata!mahusiano yetu nk...yeye ndo alikuwa kipaumbele kunitia sana moyo pale nilipokwama au kusita jambo..(hii naandika kwa majonz sana)
-umri wake haujazi 30 bado kuna mda naamin alingia ndoani akiwa mdogo sijui kuna mambo hajafanya nk..ila mimi ni mtu wa kuwa huru sana namwambiaga nishirikishe nikupe kibali sina hiyana wala nini..cha msingi ni imani tu kwamba hatavuka mipaka
-swala la uwezo sijalitilia uzito maana yeye binafsi anakaz na mshahara wake kwakwel huwa simgusiagi hata kidog anafanya atakavyo
Mimi nina nyumba dar ndo nimepangisha kuja kuishi naye huku
Inshort majukumu yangu nayajua na nayamudu
-swala la kitandani lilikuwa zuri tu sote tunafurahi nk. Mwaka huu lilianza kususa sua penz la kubembeleza yeye ata enjoy ila mpaka nimemuanda nimemkomvins mbona shuhuli
-kwa upande wangu sio mnywaji sana na anajua..nikinywa tu wine nikiwa nae ntajitahid kumueleza kiu yangu juu ya mambo ambayo hanitimizii hapo nae atarukia si uniache nk bas mkibishana atasema mlevi tatizo nk...
-unakuta weekend ndo tunakaa na kujadili mambo ila mara chache sana maana katkat ya week akirud home ye kachoka ni kula kulala tu
-mimi ni mwanadamu pia naweza kuwa namapunguf yangu ila all i know kuachilia mbali kila jambo nimekua nikijitahid kuomba msamaha napokosea nk. Ndugu zangu ndo wanaona nimekamatwa kwel kwel ila nakua najitahid niishi ki maadili mana mke mwenyew mmoja
Anapendeza namuhudumia nk ila kwa sasaa nimesali sana mpaka nimeona kama ni watoto hata nikisema nimpotezee nitahitaj kuwaona wanangu ambapo itapelekea nimwone labda na yeye nk kitu ambacho mda mwingi kinaniwia ngumu kuvunja familia
Ila nikisema nibebe watoto(namjua kwa sasa majibu yake atasema nenda nao tu la msingi tuachaneee nk) ntabeba ila nataka niombe nisinge penda kusikia pua yake na wakwe ndo watakua gia ya kuwaona nina taka full right ya wanangu nina uwezo wakulea vizur )
Yani naumia sana ila naona ndo best option kwa sasa
-kama hujaoa olewa na hujanielewa naomba nisikukwaze maana ntakusababishia povu
Huyo binti hana mapenzi nawe kwa sasa,ikiwezekana chukua watoto urudi nao dar yeye muache peke yake kwa muda hata wa miaka mitatu ili huenda labda ataona udhaifu na mapungufu yake na kuamua kubadilika.wakati uko nae mbali wala usifanye nae mawasiliano ya aina yoyote,we piga kimya tu.
Kama ndani ya hiyo miaka mitatu hajakufuata na kuomba muanze tena upya kwa kurudisha mapenzi yenu basi fanya maamuzi magumu.
PIGA CHINI Huyo manzi/mke.
jitahidi sana uache pombe na uzidishe sana kwenye kutafuta mafanikio na nguvu ya kiuchumi