Ndoa yangu ipo ICU !dah

Ndoa yangu ipo ICU !dah

Kama kichwa cha habari hapo juu...
Binafsi nipo kwenye ndoa takribani miaka mine na tumebarikiwa watoto wawili...
Changamoto zilianza mke alipohamishwa kikaz mwaka juzi moro...kutokana na ukaribu nikawa najituma sana kutwa kwenda afu isitoshe huyu mtoto wa pili alikua mwaka mmoja...umbali ukasababisha mimi niwe mnywaji kidogo kuondoa upweke kuliko niwe nachepuka...nikawa napunguza safar za kwenda weeknd..yeye akazidisha mahusiano ya simu na mfanyakaz mwenzio(sijui kama walitembea ila nilijua wanauhusiano baada ya kunasa chat maana ilifika kipind anajua weekend nalala ndo anakua busy kwa simu wakiongea na huyo mpaka nivo mbana na chats aka admit wanamahusianp via simu na huyo mtu yupo dar)
Najitahid kusummarise maana iliendelea mpaka siku moja nikaenda moro gafla nikakuta anachat nae bado na isitoshe kuna mwingine wa moro..nilimdunda hatari..tukasuluhishwa na familia baada ya hapo kila tukikwaruzana kidogo anakimbilia kusisitiza tuachane bwana ndo ukawa wimbo..
Sasa nikaona kuondoa usumbufu na yeye kuhamia dar aligoma kwakusema maisha nafuu moro..nikatafuta kaz moro nikahamia na mimi moro(nilipata kaz half the pay ya dar) ila nilimweleza la msingi tuwe pamoja tuweze nusuru ndoa
(Haya yote miezi miwili tu nilikuja na kupata kaz mwanzon wa mwaka huu )...
Sasa tangu tumeamua kukaa pamoja mambo hayajawa mepes mimi na cover basic needs kama kawaida yangu na napambana na biashara ila mwenzangu amekuwa amepotea kabisa kimapenz..tangu mwaka huu tunaweza kuwa tumesex si zaida ya mara 15 am sure..maana mwenzangu hayupo kabisa anaona nimembana sana kila kitu anatupia lawama nivomdundaga na matatizo ya nyuma..nimejitahid kumpa space sana ila naona kitu kidogo anakimbilia nataka talaka nk..
Sasa ilichonipelekea kuandika uzi huu..majuzi nilimwambia naenda dar maana alikua yupo moody sikujua mayb ni mimi au lah nikamwambia tu nasafar ya dar week nzima
Ase alifurahii sana ..safar ilikua ya siku mbili nikarejea jion namtafuta kwenye simu akawa hapokei alivyotoka kibaruani..jiran yetu ni mfanyakaz mwenzie akarud tukapishana nikamuiza vp shoga yako akasema tumeachana amesema anapita sokoni mara moja (nikaona very rare kutorud na shoga yake) wife akanitumia mesej akasema ametoka outing na shoga zake
Nikasema fine )
Mimi nikanyuti nje mtaa wa pili kuona nani angerudi nae (kuna gar ikaja ikapak kwa jirani ikakaa dak kama 15 akashuka afu gar ikaondoka )
Alivyoingia ndan nami nikamfwata kwa nyuma
Akashtuka sana..nikamuuliza nani akasema rafiki yake tu walienda pata wine)
Tukaingia nikamwambia naomba uwe makini tu kuna maradhi nk. Ila kama tumefikia huko naomba basi uwe na amani ufanye yako na si mbelen hapa kwangu..afu isitoshe tuna watoto wadogo usilete jazba kwenye haya mambo(maana tulivoingia ndani akaanza kuwaka kama simuamini alivyosema yupo outing nikamweleza outing sio issue ishu umetoka huko mkaweka kambi kwenye gar mie nawaona tu mnapiga story hamkumaliza huko outing)
To mypoint: nimegundua hana mapenz kwa sAsa ma amini nawaambia nimevumilia sana vituko vyake ila nawaza niwashirishe wazazi wake na wadhamini wetu nataka niwachukue wanangu nirudi dar nimpe nafasi tu
(Samahanini naandika kwa kuruka ila hadi naumia yani)
Note
-jaman mkewangu ananiuma sana kila nikikumbuka nilivyompata!mahusiano yetu nk...yeye ndo alikuwa kipaumbele kunitia sana moyo pale nilipokwama au kusita jambo..(hii naandika kwa majonz sana)
-umri wake haujazi 30 bado kuna mda naamin alingia ndoani akiwa mdogo sijui kuna mambo hajafanya nk..ila mimi ni mtu wa kuwa huru sana namwambiaga nishirikishe nikupe kibali sina hiyana wala nini..cha msingi ni imani tu kwamba hatavuka mipaka
-swala la uwezo sijalitilia uzito maana yeye binafsi anakaz na mshahara wake kwakwel huwa simgusiagi hata kidog anafanya atakavyo
Mimi nina nyumba dar ndo nimepangisha kuja kuishi naye huku
Inshort majukumu yangu nayajua na nayamudu
-swala la kitandani lilikuwa zuri tu sote tunafurahi nk. Mwaka huu lilianza kususa sua penz la kubembeleza yeye ata enjoy ila mpaka nimemuanda nimemkomvins mbona shuhuli
-kwa upande wangu sio mnywaji sana na anajua..nikinywa tu wine nikiwa nae ntajitahid kumueleza kiu yangu juu ya mambo ambayo hanitimizii hapo nae atarukia si uniache nk bas mkibishana atasema mlevi tatizo nk...
-unakuta weekend ndo tunakaa na kujadili mambo ila mara chache sana maana katkat ya week akirud home ye kachoka ni kula kulala tu
-mimi ni mwanadamu pia naweza kuwa namapunguf yangu ila all i know kuachilia mbali kila jambo nimekua nikijitahid kuomba msamaha napokosea nk. Ndugu zangu ndo wanaona nimekamatwa kwel kwel ila nakua najitahid niishi ki maadili mana mke mwenyew mmoja
Anapendeza namuhudumia nk ila kwa sasaa nimesali sana mpaka nimeona kama ni watoto hata nikisema nimpotezee nitahitaj kuwaona wanangu ambapo itapelekea nimwone labda na yeye nk kitu ambacho mda mwingi kinaniwia ngumu kuvunja familia
Ila nikisema nibebe watoto(namjua kwa sasa majibu yake atasema nenda nao tu la msingi tuachaneee nk) ntabeba ila nataka niombe nisinge penda kusikia pua yake na wakwe ndo watakua gia ya kuwaona nina taka full right ya wanangu nina uwezo wakulea vizur )
Yani naumia sana ila naona ndo best option kwa sasa
-kama hujaoa olewa na hujanielewa naomba nisikukwaze maana ntakusababishia povu
Mkuu pole sana,hilo ni tatizo kubwa sana kwani huwezi fikiria chochote cha maendeleo kwa sasa.
Huyo binti hana mapenzi nawe kwa sasa,ikiwezekana chukua watoto urudi nao dar yeye muache peke yake kwa muda hata wa miaka mitatu ili huenda labda ataona udhaifu na mapungufu yake na kuamua kubadilika.wakati uko nae mbali wala usifanye nae mawasiliano ya aina yoyote,we piga kimya tu.
Kama ndani ya hiyo miaka mitatu hajakufuata na kuomba muanze tena upya kwa kurudisha mapenzi yenu basi fanya maamuzi magumu.
PIGA CHINI Huyo manzi/mke.
jitahidi sana uache pombe na uzidishe sana kwenye kutafuta mafanikio na nguvu ya kiuchumi
 
Bro you're in deep shit...i can feel ya pains.

Mwanamke akishakwambia sikutaki/nataka talaka they always mean it...maana huwa inatoka moyoni.

Kitu kimoja wanawake wanakosea, huwa wanaweza kabisa kuingia katika ndoa/mahusiano na mtu asiyempenda wakidhani watajifunza kupenda wakiwa ndani...

Sasa huenda mkeo ni kati ya wanawake wenye mtazamo huo, alianzisha mahusiano nawe akiwa hana uhakika kama anakupenda na akiamini atajifunza kukupenda...

We all know, mtu ajifunzaye ijapofika wakati wa mitihani huweza kufaulu ama kufeli, na katika situation yenu mtihani ulikuwa huo umbali. Mkeo kafeli na rangi zake sasa umeziona.

So brother, all you can do now is to just let her be, get your kids na uondoke nao wala asijue ulioenda nao...

Mtu asiye na upendo na mumewe/mkewe na akisema anawapenda watoto huyo ni mnafiki. Huwezi kulipenda boga ukachukia uale...




.
It makes more sense
 
U
Kama kichwa cha habari hapo juu...
Binafsi nipo kwenye ndoa takribani miaka mine na tumebarikiwa watoto wawili...
Changamoto zilianza mke alipohamishwa kikaz mwaka juzi moro...kutokana na ukaribu nikawa najituma sana kutwa kwenda afu isitoshe huyu mtoto wa pili alikua mwaka mmoja...umbali ukasababisha mimi niwe mnywaji kidogo kuondoa upweke kuliko niwe nachepuka...nikawa napunguza safar za kwenda weeknd..yeye akazidisha mahusiano ya simu na mfanyakaz mwenzio(sijui kama walitembea ila nilijua wanauhusiano baada ya kunasa chat maana ilifika kipind anajua weekend nalala ndo anakua busy kwa simu wakiongea na huyo mpaka nivo mbana na chats aka admit wanamahusianp via simu na huyo mtu yupo dar)
Najitahid kusummarise maana iliendelea mpaka siku moja nikaenda moro gafla nikakuta anachat nae bado na isitoshe kuna mwingine wa moro..nilimdunda hatari..tukasuluhishwa na familia baada ya hapo kila tukikwaruzana kidogo anakimbilia kusisitiza tuachane bwana ndo ukawa wimbo..
Sasa nikaona kuondoa usumbufu na yeye kuhamia dar aligoma kwakusema maisha nafuu moro..nikatafuta kaz moro nikahamia na mimi moro(nilipata kaz half the pay ya dar) ila nilimweleza la msingi tuwe pamoja tuweze nusuru ndoa
(Haya yote miezi miwili tu nilikuja na kupata kaz mwanzon wa mwaka huu )...
Sasa tangu tumeamua kukaa pamoja mambo hayajawa mepes mimi na cover basic needs kama kawaida yangu na napambana na biashara ila mwenzangu amekuwa amepotea kabisa kimapenz..tangu mwaka huu tunaweza kuwa tumesex si zaida ya mara 15 am sure..maana mwenzangu hayupo kabisa anaona nimembana sana kila kitu anatupia lawama nivomdundaga na matatizo ya nyuma..nimejitahid kumpa space sana ila naona kitu kidogo anakimbilia nataka talaka nk..
Sasa ilichonipelekea kuandika uzi huu..majuzi nilimwambia naenda dar maana alikua yupo moody sikujua mayb ni mimi au lah nikamwambia tu nasafar ya dar week nzima
Ase alifurahii sana ..safar ilikua ya siku mbili nikarejea jion namtafuta kwenye simu akawa hapokei alivyotoka kibaruani..jiran yetu ni mfanyakaz mwenzie akarud tukapishana nikamuiza vp shoga yako akasema tumeachana amesema anapita sokoni mara moja (nikaona very rare kutorud na shoga yake) wife akanitumia mesej akasema ametoka outing na shoga zake
Nikasema fine )
Mimi nikanyuti nje mtaa wa pili kuona nani angerudi nae (kuna gar ikaja ikapak kwa jirani ikakaa dak kama 15 akashuka afu gar ikaondoka )
Alivyoingia ndan nami nikamfwata kwa nyuma
Akashtuka sana..nikamuuliza nani akasema rafiki yake tu walienda pata wine)
Tukaingia nikamwambia naomba uwe makini tu kuna maradhi nk. Ila kama tumefikia huko naomba basi uwe na amani ufanye yako na si mbelen hapa kwangu..afu isitoshe tuna watoto wadogo usilete jazba kwenye haya mambo(maana tulivoingia ndani akaanza kuwaka kama simuamini alivyosema yupo outing nikamweleza outing sio issue ishu umetoka huko mkaweka kambi kwenye gar mie nawaona tu mnapiga story hamkumaliza huko outing)
To mypoint: nimegundua hana mapenz kwa sAsa ma amini nawaambia nimevumilia sana vituko vyake ila nawaza niwashirishe wazazi wake na wadhamini wetu nataka niwachukue wanangu nirudi dar nimpe nafasi tu
(Samahanini naandika kwa kuruka ila hadi naumia yani)
Note
-jaman mkewangu ananiuma sana kila nikikumbuka nilivyompata!mahusiano yetu nk...yeye ndo alikuwa kipaumbele kunitia sana moyo pale nilipokwama au kusita jambo..(hii naandika kwa majonz sana)
-umri wake haujazi 30 bado kuna mda naamin alingia ndoani akiwa mdogo sijui kuna mambo hajafanya nk..ila mimi ni mtu wa kuwa huru sana namwambiaga nishirikishe nikupe kibali sina hiyana wala nini..cha msingi ni imani tu kwamba hatavuka mipaka
-swala la uwezo sijalitilia uzito maana yeye binafsi anakaz na mshahara wake kwakwel huwa simgusiagi hata kidog anafanya atakavyo
Mimi nina nyumba dar ndo nimepangisha kuja kuishi naye huku
Inshort majukumu yangu nayajua na nayamudu
-swala la kitandani lilikuwa zuri tu sote tunafurahi nk. Mwaka huu lilianza kususa sua penz la kubembeleza yeye ata enjoy ila mpaka nimemuanda nimemkomvins mbona shuhuli
-kwa upande wangu sio mnywaji sana na anajua..nikinywa tu wine nikiwa nae ntajitahid kumueleza kiu yangu juu ya mambo ambayo hanitimizii hapo nae atarukia si uniache nk bas mkibishana atasema mlevi tatizo nk...
-unakuta weekend ndo tunakaa na kujadili mambo ila mara chache sana maana katkat ya week akirud home ye kachoka ni kula kulala tu
-mimi ni mwanadamu pia naweza kuwa namapunguf yangu ila all i know kuachilia mbali kila jambo nimekua nikijitahid kuomba msamaha napokosea nk. Ndugu zangu ndo wanaona nimekamatwa kwel kwel ila nakua najitahid niishi ki maadili mana mke mwenyew mmoja
Anapendeza namuhudumia nk ila kwa sasaa nimesali sana mpaka nimeona kama ni watoto hata nikisema nimpotezee nitahitaj kuwaona wanangu ambapo itapelekea nimwone labda na yeye nk kitu ambacho mda mwingi kinaniwia ngumu kuvunja familia
Ila nikisema nibebe watoto(namjua kwa sasa majibu yake atasema nenda nao tu la msingi tuachaneee nk) ntabeba ila nataka niombe nisinge penda kusikia pua yake na wakwe ndo watakua gia ya kuwaona nina taka full right ya wanangu nina uwezo wakulea vizur )
Yani naumia sana ila naona ndo best option kwa sasa
-kama hujaoa olewa na hujanielewa naomba nisikukwaze maana ntakusababishia povu
Achana naye, mwachie watoto, tafuta dogo dogo, oa, anzisha familia nyingine. Wanaume ni adimu wanatafutwa! Usijidharaurishe, kikubwa hakikisha unapima HIV, then tafuta msichana mrembo mdogo kwa umri, tena hawa graduate waliojitunza wapo wengi mno, usikurupuke, jipe hata miaka 2 ya kutafuta, the kapimeni HIV anzisha familia kwa raha! Achana naye huyo malaya atakusababisha ufe kwa presha, na unaowaonea huruma utawaacha yatima na kibaya huyo mkeo anaweza kukuletea ukimwi ukafa
 
Dah wadau ngoja nipumzike
Mana natype nalia natype nalia
Yan kama mtoto vile
Mkuu ni wazi unagongewa hapo, we mwaka mzima umechapa mara 15, mwenzio ni mara tatu ya hizo. Hapo shida ni hao watoto tu,
Otherwise "kingekwishaeleweka" kitambo tu.
 
Pole sana mkuu ndoa inachangamoto kubwa sana jaribu kukaa naye mweleze kama hataki achana naye anaweza kukuuwa kwa pressure, sumu au ugonjwa wa kisasa.
Shida ya hawa ni kwamba pindi hajawekwa ndani anakuwa na adabu sana ukishamweka ndani anaanza leta kiburi
 
Sishauri watu, ila binafsi huwa sioni umuhimu wa kuoa. Unaamua kuishi na mtu kwa sababu ya tabia, urembo, sauti au ufundi wake jikoni na on bed...lakini unasahau kuwa watu tunabadilika kila siku, yanakuja yanatokea ya kutokea unatumia mda mwingi ku solve hayo matatizo. Maisha yako yote yanageuka na kuwa maumivu tuu, hata mkiachana unabaki na kovu siku zote!!

Sijafikiria kuoa bado. Mambo ya kugegeda mara 15 ndani ya miezi nane mimi siyawezi!
 
Mwaka mzima huu umemgegeda 15 times tu???!!!
Hata mie nimeshangaa maana nina mchepuko ambao tunaonana kwa kuvizia ila nimeuchapa Zaidi ya mara 15 mwaka huu sembuse mke wa ndoa?
 
Najua watu watakupa mawazo ya kuangalia kuwa una watoto. Kumbuka uliposema unasafiri alishangilia na kufurahi (thats do fucken dangerous) huyo anaweza kukupa sumu am sure...tayari moyo wake na roho yake inakufanya wewe kuwa ndio unamyima furaha ya Maisha....The next thing ni kuwa atakuletea Ukimwi au utalala asubuhi hutaamka. Ma telling you kuwa mwanaume. Chukua watoto wako muache kama alivyo huko but soon Karma is a bitch Yatamkuta tu maana huyo jamaa aliye nae anamdanganya sababu anajua kuwa sio mzigo wake but soon akibaki nae akajua sasa ni mzigo wake nae atamkimbia tu......na ndio atakaporudi...na hapo ndio mfukuze mazima!! Ukienda kwa wazazi sijui wazamini hao wote watawaambia kuwa msiachane but ukweli ni kuwa huyo mwanamke Hakupendi Tena!!! Na atakuua kwa presha na ukishakufa hutaitwa shujaa bali utaitwa mpumbavu na watu hao hao ambao now wanakwambia endelea kuwa nae ( wanatesa why hukumuacha na ulijua matatizo yake)
 
Bro you're in deep shit...i can feel ya pains.

Mwanamke akishakwambia sikutaki/nataka talaka they always mean it...maana huwa inatoka moyoni.

Kitu kimoja wanawake wanakosea, huwa wanaweza kabisa kuingia katika ndoa/mahusiano na mtu asiyempenda wakidhani watajifunza kupenda wakiwa ndani...

Sasa huenda mkeo ni kati ya wanawake wenye mtazamo huo, alianzisha mahusiano nawe akiwa hana uhakika kama anakupenda na akiamini atajifunza kukupenda...

We all know, mtu ajifunzaye ijapofika wakati wa mitihani huweza kufaulu ama kufeli, na katika situation yenu mtihani ulikuwa huo umbali. Mkeo kafeli na rangi zake sasa umeziona.

So brother, all you can do now is to just let her be, get your kids na uondoke nao wala asijue ulioenda nao...

Mtu asiye na upendo na mumewe/mkewe na akisema anawapenda watoto huyo ni mnafiki. Huwezi kulipenda boga ukachukia uale...




.
sijui kwanini nimeona mwandiko wako nimesikia hasira ya kulia!
hem njoo pm unihug!
 
Kweli mpenzi mnapitia mengi halafu nyie mnajua kuvumilia shida hizi bila hata kutoa chozi ila mnaumia ndani kwa ndani..
Huko nje bidada kashakolezwa Na hisia kwa mume zimeisha. Amuache tu
Yeah mpenzi when it comes to love huwa tunavumilia sana kwa mda mrefu before kuchukua maamuzi magumu kiasi kwamba kama ni mtu wa kubadilika anaweza kujirudi maisha yakaenda poa! The guys effort kunusuru ndo is bare!
 
Back
Top Bottom