Ndoa yangu ipo ICU !dah

Ndoa yangu ipo ICU !dah

mkuu kuanzia uhusiano wetu yeye ndo alikomaa tuwe serious(kipind hiko alikua anatoka kwenye uhusiano na mimi nilikua nipo nipo tu)nilikua namkwepesha nakuwa nae karibu sana kwasabab nilielewa maybe ni maumivu aliyotokea nayo..basi kiutani utani kweli niliamua kudate nae maana nilikua nampenda pia -nilimpenda awali nikajenga ukaribu nae nilivyogundua anapitia a break up nikapunguza mazoea apite salama ila yeye akazidisha eventually tukadate
Kwenye mahusiano alikua sio mtu wa vizinga
Yani huyu mwanamke hela sio kipaumbele ila ana ujana nahisi hajafanya bado ndo anapigania sana afanye kwa

tehe... mbona unamtetea sana? Usije ukawa teja lake. Yeye ndiye anayejua kwa nini anafanya vituko. Hayo mambo ya kuwa anafanya ujana kwani yeye ndo wa kwanza kuolewa "mdogo"? Au wewe ni mkubwa sana kwake mpaka unakuwa na hisia hizo? Hakuna kinachohalalisha ubazazi katika ndoa ila kama unadhani anasumbuliwa na ujana basi mwachie nafasi; akimaliza na akili ikishamkaa sawa umpokee mwendelee. Ni uamuzi sahihi kama "assumption" yako ni sahihi.
 
Wewe ni mwanaume mzuri. Unampenda mke wako na ndoa yako kiasi cha kuamua kujikana na kuacha kazi na nyumba Dar ili kuinusuru ndoa yako. Wengi wanakuona bwege lakini wanaojua maana ya kujitoa na kuwajibika wanaelewa kuwa uamuzi wako ulikuwa sahihi. Sasa hapa ulipofikia ukiendelea kutokufanya uamuzi wowote utazidi kuumia. Maisha ni yako na moyo wako unao wewe. Sisi huku tutakushauri kulingana na uzoefu wetu na machungu na visasi vyetu. Amua moja na Mungu akutie nguvu kupokea na kukabiliana na matokeo ya uamuzi wowote utakaochukua. Yaliyokupata ni ya kawaida kwa binadamu wote na halitakudhuru kama hutaogopa. Mambo yote (mema na mabaya) hutokea kwa faida ya mtu. Kuwa na imani, chukua somo uendelee na maisha.
asante kwa kunielewa hapo
Unajua ni ngumu kubeba wanangu nakurudi dr kutokana nishapata kaz huku
Hapa nataka nianze tafuta kibarua tena dar ili siku ya siku niamshe na watoto ila kwa sasa nataka nianze kuwa busy huku nikiwa kimya nahudumia majukumu yangu narudi nalala sitak hata kumwangalia machoni najua ratiba gani naweza pata mchana na alasiri kuja kuwaona watoto nyumban ila usiku nirudi mida imesogea wakiwa wamelala nisionane nae
 
mkuu kuanzia uhusiano wetu yeye ndo alikomaa tuwe serious(kipind hiko alikua anatoka kwenye uhusiano na mimi nilikua nipo nipo tu)nilikua namkwepesha nakuwa nae karibu sana kwasabab nilielewa maybe ni maumivu aliyotokea nayo..basi kiutani utani kweli niliamua kudate nae maana nilikua nampenda pia -nilimpenda awali nikajenga ukaribu nae nilivyogundua anapitia a break up nikapunguza mazoea apite salama ila yeye akazidisha eventually tukadate
Kwenye mahusiano alikua sio mtu wa vizinga
Yani huyu mwanamke hela sio kipaumbele ila ana ujana nahisi hajafanya bado ndo anapigania sana afanye kwa
KWANINI UNAJIHISI UNA HATIA ?
tuanzie hapa kwanza?
KWANINI UNAMTETEA SANA?

ndani YAKO UNAAMINI ULISTAHILI KUMUOA HUYU MWANAMKE?
 
Mkuu je mama yako yuko hai?
Na mtoto wa pili ana umri gani?
Nakushauri usilazimishe kuishi na mtu asiye na mapenzi na Wewe tambua wewe ni binadamu iko siku atakufanyia kituko ili tu akuvunje moyo muachane na wewe ukashindwa kuvumilia ukachukua maamuzi magumu halafu watoto wataabike na kubaki yatima...
Nakushauri mtoto mkubwa mpeleke shule boarding..
Huyo mdogo Kama umri mdogo zaidi mpeleke kwa bibi yake yaan mama yako akikua kidogo naye mpeleke boarding..

Usilazimishe kuishi na joka ndani ya nyumba iko siku litakudhuru

Pamoja na nia yako nzuri huu ushauri wa kutupa mtoto boarding naukemea ushindwe!! Boarding waende watoto wanaoweza kujitegemea kimwili na kihisia kama sehemu tu ya mafunzo na si ukimbizi. Bibi naye anahitaji kuishi vimiaka vyake vilivyobaki kwa amani. Kila mtu abebe mzigo wake.
 
tehe... mbona unamtetea sana? Usije ukawa teja lake. Yeye ndiye anayejua kwa nini anafanya vituko. Hayo mambo ya kuwa anafanya ujana kwani yeye ndo wa kwanza kuolewa "mdogo"? Au wewe ni mkubwa sana kwake mpaka unakuwa na hisia hizo? Hakuna kinachohalalisha ubazazi katika ndoa ila kama unadhani anasumbuliwa na ujana basi mwachie nafasi; akimaliza na akili ikishamkaa sawa umpokee mwendelee. Ni uamuzi sahihi kama "assumption" yako ni sahihi.
JAMAA HATAKI KUAMINI KUWA MKEWE AMEMUUMIZA!
so ANATAFUTA JUSTIFICATIONS!
ili ajipe amani
-kuwa well, hata hivyo uhusiano wetu ulianza akiwa ametoka kwenye break up
-well, nilimuoa akiwa mdogo so anafidia ujana
-well, hafanyi kwa ajili ya pesa anajimudu kipato
-well, nampenda na nahisi ana sababu ya kufanya hayo!

KUUUUUUMBAFFF!
mtu wa hivi hata thread ifike pages 100!
HACHOMOKI KWENYE HAYO MAHUSIANO MNAYOFIKIRI NI TOXIC KWAKE!
 
Pamoja na nia yako nzuri huu ushauri wa kutupa mtoto boarding naukemea ushindwe!! Boarding waende watoto wanaoweza kujitegemea kimwili na kihisia kama sehemu tu ya mafunzo na si ukimbizi. Bibi naye anahitaji kuishi vimiaka vyake vilivyobaki kwa amani. Kila mtu abebe mzigo wake.

Mkuu ondoa shaka na hilo
Mimi wanangu napenda sana niwe nao close ndo mana nimedumu hadi leo
 
SULUHISHO MUDA MFUPI CONT...
2.Endelea Kumwombe Mwenzi Wako Na Umsemeshe Kwa Upole Hata Kama Unaumia,shetani Hapendi Amani Na Umoja Usually Ndoa Ni Vita Against Temptations And Evils! Usisahau Kuomba Toba Kwa Ajili Yako, Yake Na Familia Yako! Ombea Upendo,umoja Na Usemi Wenu!
3. Hakikisha Umempa Nafasi Ya Kutosha Usimbane,there's A Time People Act The Way They Do As A Reaction To The External Forces!
4. Wajibu Wako Kama Mume Ni Kumpenda Mkeo Na Kutumia Akili Ku Navigate Mahusiano Yenu.
5. Watoto Wasiwe Sehemu Ya Ugomvi Wenu.
6. Onyesha Upendo Kwake Hata Baada Ya Kuondoka, Ni Upendo Tu Utakaowarudisha Pamoja Na Kumfuatilia Au Kupigana!
7. Tafuta Marriage Conseller Au Mentor Akusaidie Na Changamoto Kwenye Kipindi Hiki Cha Mpito.
8. Usimwache Mkeo,huyo Sio Mwanamke Tu,ananafasi Tofauti Na Wanawake Wengine. The Best Gift You Can Ever Give Your Kids Is To Love Their Mum Unconditionally!

If You Want More Personal Advice Let Me Know Bro!
May God Hold Your Family Together!
Akishapewa ukimwi au akimzima siku na sumu. Umpe tena huu ushauri.
 
Pole sana kaka, unapitia magumu sana. Nakushauri fanya maamuzi magumu hapo.. mwache aendelee na maisha yake. Kaka ukiendelea kumuona hapo utakufa hakika. Ni bora uponye nafsi yako kukaa mbali nae na kutokujua anafanya nini huko aliko.

Beba watoto rudi Dsm tafuta mwanamke mwingine maisha yaendelee.

Ngoja nkutie moyo kwa hii:
Mimi sijaoa ila nmezaa na mwanamke mmoja hv mwanasheria, jamani jamani huyu dada anajiona amesomea dunia nzima na sheria yake. Akaleta nyodo, nataka kumuoa hataki huku nmemzalisha tayari, basi nkawa napata wakati mgumu nkimwangalia mwanangu na jinsi atakavyolelewa Baba mbali na mama mbali ila nkajipa moyo. ntaachana nae akaenda.

KwaSasa natoka na binti mmoja alisoma nae chuo (ni marafiki kwa mbali wale wa darasa moja tu) na nshamtolea maali namuoa na yeye ni advocate. Ila nna amani moyoni, mtoto mzuri huyu na kitambo sana alikuwa ananipenda ila mimi tu nkawa nakomaa namtaka nliyezaa nae.

Mtoto nimefungua mwenyewe,chupa ilikuwa bado ina kisoda chake yani nampenda vibayavibaya. Nilipoteza muda mwingi sana kuumia na yule mama mtoto wangu mpaka najuta.

Pole na hongera ila ujiandae pia kwa majira ya kaingazi ukiwa na huyu mtoto mpya
JAMAA HATAKI KUAMINI KUWA MKEWE AMEMUUMIZA!
so ANATAFUTA JUSTIFICATIONS!
ili ajipe amani
-kuwa well, hata hivyo uhusiano wetu ulianza akiwa ametoka kwenye break up
-well, nilimuoa akiwa mdogo so anafidia ujana
-well, hafanyi kwa ajili ya pesa anajimudu kipato
-well, nampenda na nahisi ana sababu ya kufanya hayo!

KUUUUUUMBAFFF!
mtu wa hivi hata thread ifike pages 100!
HACHOMOKI KWENYE HAYO MAHUSIANO MNAYOFIKIRI NI TOXIC KWAKE!

Hahahaaaa.... huwa wanachomoka wakishapata stroke na kufilisika au kufwa kabisa.
 
asante kwa kunielewa hapo
Unajua ni ngumu kubeba wanangu nakurudi dr kutokana nishapata kaz huku
Hapa nataka nianze tafuta kibarua tena dar ili siku ya siku niamshe na watoto ila kwa sasa nataka nianze kuwa busy huku nikiwa kimya nahudumia majukumu yangu narudi nalala sitak hata kumwangalia machoni najua ratiba gani naweza pata mchana na alasiri kuja kuwaona watoto nyumban ila usiku nirudi mida imesogea wakiwa wamelala nisionane nae
DAH!
sijui kwanini siamini katika UNYENYEKEVU WA KIWANGO HIKI!
 
Pole na hongera ila ujiandae pia kwa majira ya kaingazi ukiwa na huyu mtoto mpya


Hahahaaaa.... huwa wanachomoka wakishapata stroke na kufilisika au kufwa kabisa.
Au kuua pengine!
NAPENDA MAPENZI!sipendi MAPENZI YANAOUMA!
hii sio sawa kabisa!
kuna kituko nakisubiri MOROGORO soon!
 
JAMAA HATAKI KUAMINI KUWA MKEWE AMEMUUMIZA!
so ANATAFUTA JUSTIFICATIONS!
ili ajipe amani
-kuwa well, hata hivyo uhusiano wetu ulianza akiwa ametoka kwenye break up
-well, nilimuoa akiwa mdogo so anafidia ujana
-well, hafanyi kwa ajili ya pesa anajimudu kipato
-well, nampenda na nahisi ana sababu ya kufanya hayo!

KUUUUUUMBAFFF!
mtu wa hivi hata thread ifike pages to 100!
HACHOMOKI KWENYE HAYO MAHUSIANO MNAYOFIKIRI NI TOXIC KWAKE!
amini na kwambia kitu kimoja tu
Wangekuwa watu wakupanga strategies ningechukua tuzo kwenye lolote
Naamini despite the fact kakosea nk ila mynext moves matter alot maana by any means either move i take i know i wiL win
Kama nilivyokuambia awali nimepata huku kaz ndo mana nataka kutumia mda huu pia kuanza kupata kaz tena dar...
Yan hata nikiambiwa kuna salary take home 500k naenda
Mycv is very good in no time najua ntapata pengine worth myskills
Ndo mana nimekuwa nimeishiwq option sana esp hku ni ugenin na yey mwenyej mie nikupanga timetable tu upya ya mida ya kurud nk asisikie saut yangu wala tusitiane machoni hata afu siku ikifika naaga nawanangu
Na trust me dec haifiki mana nimetibuliwa afu gafla sna
 
naona umetosheka na ushauri ama la sivyo ungejibu kwa kiitikio nilichokuuliza!
 
Mkuu achana tu na huyo mwanamke.
Wanawake ni wengi sana hapa duniani na maisha haya ni mafupi sana. Hakuna sababu ya kuanza kumkomalia mtu sana na kumganda mtu ambaye hata hakupendi.

Kikubwa hakikisha unapata haki za kutosha za kubakia na wanao. Yeye mwache tu aendelee kumalizana na hii dunia
 
Pole sana ......jaman jaman wengine tulikosa wanaume wa namna hii ambae anajali na kusikiliza lakini tulivumilia. bado familia ya mme ikaingilia ndoa yangu nikaamua kuondoka na kumuacha now naumia kwa kupotezewa mdaa......basi nahuyo dada muache tu broo tafuta dada yako akulelee watoto wako watakuwa tu.
 
amini na kwambia kitu kimoja tu
Wangekuwa watu wakupanga strategies ningechukua tuzo kwenye lolote
Naamini despite the fact kakosea nk ila mynext moves matter alot maana by any means either move i take i know i wiL win
Kama nilivyokuambia awali nimepata huku kaz ndo mana nataka kutumia mda huu pia kuanza kupata kaz tena dar...
Yan hata nikiambiwa kuna salary take home 500k naenda
Mycv is very good in no time najua ntapata pengine worth myskills
Ndo mana nimekuwa nimeishiwq option sana esp hku ni ugenin na yey mwenyej mie nikupanga timetable tu upya ya mida ya kurud nk asisikie saut yangu wala tusitiane machoni hata afu siku ikifika naaga nawanangu
Na trust me dec haifiki mana nimetibuliwa afu gafla sna
Nakuelewa!
HAVE COURAGE BRO!
BADO UNABAKI KUWA WA THAMANI SANA!
usikubali HII KITU IONDOKE NA UTU WAKO!
 
Tulizeni mshono maisha magumu mkiachana ndo mnaharibu kabisa
 
ANGALIZO!
watoto wabaki na mzazi mmoja mwenye afadhali ya hiki ndoa yenu inapitia!
 
Back
Top Bottom