Ndoa yangu ipo ICU !dah

Ndoa yangu ipo ICU !dah

Ya nini umng'ang'anie mwache aishi maisha anayotaka ipo siku atarudi kwako mikono nyuma. Cha msingi wewe wachukue madogo rudi Dar kaanze maisha mengine
 
Aliniambia wewe saiz ndo wakumjua mungu
(Pindi namwambia tuombeane mema na mioyo yakufuta majonz niliyomsababishia kwenye kipigo)
Tatizo ni kwamba Mungu hua aingiliagi mambo ya watu bila muhusika kuitaji msaada wake au mlianzisha mahusiano yenu bila kumshirikisha yeye alafu imetokea shida au matatizo kati yenu ndio unakua mnyenyekevu mbele zake. My friend unaitaji sala ya toba kwanza.

Kisha anza upya kumshirikisha Mungu na uwe makini kuisikiliza sauti yake na akikwambia Huyo hafai fanya ivyo chap bila kuchelewa.

Kuna watu wengine wanakuja maishani mwetu si kwa kusudi la mungu bali ni mtego wa shetani katka kuhakikisha ana endeleza maumivu miyoyoni mwetu

Pole sana brother. Hili pia ni jaribu na litapita tu
 
Hivyo vya kujipimia ngoma ni kwa ajili ya kumpimia huyo mchepuko wa kiume aliyenaye. Think outside the box. Kwa nini kila mara unakubali majibu anayokupa.... Angetaka kujua afya yake angekwenda kwa siri kujipima kokote anapoona panafaa.
Aiseeeee!!!!


Kwa maaana hiyo KATOMB%#@@$%&@@@#%%@@@@ TENA PEKU MMAMAE ZAKE!!!!!


AISEE NAWEZA UA HATA HAWA WANAWAKE WASOKUA NA HATIA.
 
Sijaoa lakini hii imenichoma sana! Pole sana brother lakini wewe hujawahi kumsaliti?
Nilichokiona jamaa alishawahi kumzibua, na ndicho hicho mwanamke anakichukulia kama sababu ya kumtesea jamaa! Ila deep down jamaa ana upendo mno na mke, alimbutua kutokana na mke kuleta mawenge!
 
Bro you're in deep shit...i can feel ya pains.

Mwanamke akishakwambia sikutaki/nataka talaka they always mean it...maana huwa inatoka moyoni.

Kitu kimoja wanawake wanakosea, huwa wanaweza kabisa kuingia katika ndoa/mahusiano na mtu asiyempenda wakidhani watajifunza kupenda wakiwa ndani...

Sasa huenda mkeo ni kati ya wanawake wenye mtazamo huo, alianzisha mahusiano nawe akiwa hana uhakika kama anakupenda na akiamini atajifunza kukupenda...

We all know, mtu ajifunzaye ijapofika wakati wa mitihani huweza kufaulu ama kufeli, na katika situation yenu mtihani ulikuwa huo umbali. Mkeo kafeli na rangi zake sasa umeziona.

So brother, all you can do now is to just let her be, get your kids na uondoke nao wala asijue ulioenda nao...

Mtu asiye na upendo na mumewe/mkewe na akisema anawapenda watoto huyo ni mnafiki. Huwezi kulipenda boga ukachukia uale...




.

This makes sense. Umeongea vizuri sana.
 
kaka wewe sio wa kwanza wala wa mwisho kutengana..uyo mkeo hana tena mapenzi nawe...kaa mbali nae, ...utakufa kaka kwa depression ndugu yangu...i wish hata nikupigie simu tuzungumze....but please shea hili na mtu wako mmoja unaemuamini sana..itakusaidia na awe open minded
 
Ni upuuzi kuendelea kujipendekeza kwa mwanamke asiekupenda
Ni ukweli mchungu ila pls usiite uboya, yamkini yalishakukuta ama yanaweza kukufika hata wewe siku moja! Pia kumbuka huyu wa jamaa ni mke sio hawara!
 
duh..pole sana mkuu.anastahili red card haraka awe huru na mambo yake.Utapata mke mwingine aliye mwema zaidi.
 
Miaka ya nyuma nilikutana na upuuzi kama huu. Mwanamke ni malaya harafu anamdomo balaa. Mimi sio mnywaji wa pombe lakini siku hiyo, nilikunywa pombe nilivyorudi nyumbani nikachukua begi langu la nguo na hati ya nyumba, nikaondoka zangu.
 
Sio wote ni malaya ila wengi ni malaya.
Aisee ni hatari halafu ubaya ni ngumu sasa kum control mwanamke wako asikusaliti hata kama unamfanyia kila lililo jema! Ikipatikana invention ya emotion control unit kwa ajili ya mwanamke asikukere wala kukusaliti Bill gates na buffet itabidi wapangiwe kazi zingine, maana mwenye umiliki nayo atakuwa multizillionarie!
 
Miaka ya nyuma nilikutana na upuuzi kama huu. Mwanamke ni malaya harafu anamdomo balaa. Mimi sio mnywaji wa pombe lakini siku hiyo, nilikunywa pombe nilivyorudi nyumbani nikachukua begi langu la nguo na hati ya nyumba, nikaondoka zangu.
Aisee combination ya domo chafu na umalaya mbwa ni bonge la stress making machine! Mi pia nilikusanya vilivyo vyangu nikatembea na Yesu chap kwa haraka! Nikamuachia nyumba aishi pekeyake
 
Pole sana ndugu kwa yote unayopitia. Ila katika maisha mwanamke akishabadilika ni vigumu kurudi nyuma. Nakushauri amua kuanza upya na kubaliana na yanayotea kwa sasa. Nikutakie maisha mema. Mwanzo mgumu ila maisha ni jinsi unavyoamua.
 
Back
Top Bottom