IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,463
- 7,385
Baba yake alikuwa anaitwa Essau (rip)...kwao sio Ngonga ni IsangaMartha Mwaipaja ni mzaliwa wa Ngonga Wilayani Kyela. Wanawake wengi wa Kyela huwa hawadumu kwenye ndoa. Sijui wana nini
Sent using Jamii Forums mobile app
....ila nafikiri walikulia Iringa coz baba yao brother Essau alikuwa anachezea mpira timu flani ya Iringa
Sent using Jamii Forums mobile app