Unyemyekevu bila joto?
Unyemyekevu bila joto?
Mkuu asikudanganye mtu sumbawanga wote ni wachawiSiyo kuwatisha na inawezekana wa kwako akawa vizuri tu na ukadumu naye, ni sawa na mtu akisema Sumbawanga kuna wachawi haina maana kila mtu wa sumbawanga ni mchawi unaweza kuta wachawi ni asilimia 5 au 10. Ndivyo ilivyo kwa wanawake wa kinyakyusa, hasa mnyakyusa aliyekulia kwenye jamii ya wanyakyusa ukitoa hawa wanyakyusa wa Dar.
Mnyakyusa hanaga inferiority complex, anajitutumua na kujiona bora kuliko kitu chochote. Huo mfumo dume wa wanawake wa mbeya ni ile kujiamini sana na kujiona anaweza, sasa akizidisha mwanaume hatakubali kuwa chini ya mwanamke. Kujiamini na kujisikia kukizidi ndiyo kiburi na dharau zinazaliwa. Sasa ukimkuta mlokole ndiyo hicho kiburi cha uzima kila mtu anamuona hana Roho Mtakatifu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi mwenyewe ni mulokole lakini walokole kimsingi tunazingua,mdada unamuomba mzigo anakuzingua Cha ajabu ukiangalia matendo yake ni kituko.
balaaMimi mwenyewe ni mulokole lakini walokole kimsingi tunazingua,mdada unamuomba mzigo anakuzingua Cha ajabu ukiangalia matendo yake ni kituko.
Mumewe mchungaji joni saidi
Zingatia demokrasia mkuu. Kuomba ni haki yako na kukubali au kukataa ni haki ya muombwajiMimi mwenyewe ni mulokole lakini walokole kimsingi tunazingua,mdada unamuomba mzigo anakuzingua Cha ajabu ukiangalia matendo yake ni kituko.
Ana wazimu kweli huyoZingatia demokrasia mkuu. Kuomba ni haki yako na kukubali au kukataa ni haki ya muombwaji
Hahaha
Ana sura ngumu...kama siku ya harusi ndio kapigwa make up lkn bado muonekano ndio huu.
Samahani lkn
Inasadikika Martha Mwaipaja kaachana na mumewe
Kisa cha kuleta huu uzi ni kuelezea ninachokiona kwa waimbaji wa Muziki wa Injili hasa hawa wa kike.
Kadri mwanamke anavyokuwa na Jina kubwa ndivyo anavyohisi hawezi kuwa chini ya Mamlaka ya mtu fulani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo swags zake, anaongea kiroho. VILE NIMEISHI YALE MAISHA, YAMKINI SIJUI NINI😀Nimeangalia interview ya Martha aliyofanya na shuso....mbona ana kiswahili kibovu hivyo amezaliwa nje ya Tanzania?
Sent using Jamii Forums mobile app