yani watu kwa kujihesabia haki hatujambo!
huyo mume alikuwa anajua anaishi na malaika?
mwanadamu huyu aliyeumbwa kwa nyama ukae ukijiaminisha hawezi kukosea?
Mungu huyu katuumba na tunamkosea,leo wewe mke kumkuta na sms unataka mpk baraza la vyama vya ushirika lisikae?
mxeeeew
watu wa hv hupata shida sana na haya maisha!
mke kakutwa na sms,fine
then,one of ur gateaways kujiridhisha umetoa adhabu ni kutengana?
ehehehehehe
Tuambie msg ilikuwa inasemaje, mbona unakwepa. ukitaka ushauri weka mambo wazi, yawezekana jamaa kakuta msg ambayo inamsifu mama kwa mautundu yake aliyomfanyia mwanachuo mwenzake!!!
muulize alikua akitafuta nini kwenye simu ya mkewe?
yani watu kwa kujihesabia haki hatujambo!
huyo mume alikuwa anajua anaishi na malaika?
mwanadamu huyu aliyeumbwa kwa nyama ukae ukijiaminisha hawezi kukosea?
Mungu huyu katuumba na tunamkosea,leo wewe mke kumkuta na sms unataka mpk baraza la vyama vya ushirika lisikae?
mxeeeew
watu wa hv hupata shida sana na haya maisha!
mke kakutwa na sms,fine
then,one of ur gateaways kujiridhisha umetoa adhabu ni kutengana?
ehehehehehe
yani watu kwa kujihesabia haki hatujambo!
huyo mume alikuwa anajua anaishi na malaika?
mwanadamu huyu aliyeumbwa kwa nyama ukae ukijiaminisha hawezi kukosea?
Mungu huyu katuumba na tunamkosea,leo wewe mke kumkuta na sms unataka mpk baraza la vyama vya ushirika lisikae?
mxeeeew
watu wa hv hupata shida sana na haya maisha!
mke kakutwa na sms,fine
then,one of ur gateaways kujiridhisha umetoa adhabu ni kutengana?
ehehehehehe
msg za kawaida zA salam
NA mdada kajifungua wiki moja kabla ya mitihani
sem mme ana wivu sana yaani hyi pc yenyewe akirudi anakagua kila ktu simu ya mkewe ikipgwa anaulizza sms zikiingia zisifutwe mdada imefikia hatuA hajajiunga na wala hataki kujiunga kwenye social networks maana anajua watakosana na mmewe
yaleyaleeeee....
Bora kuoa ka 4m4 kako au darasa la saba .......
Mtu kapelekwa chuo na anasomeshwa lakn kisa tu kadanganywa huko na kajiona anakaelim tayar miba imeota .....
Et haombie tena msamaha kwa Mungu mtu?...... Duh hii kali
hapo kidogo nakupata, mambo ya kukaguana hadi kwenye simu inakera i hate that katabia.
msg za kawaida zA salam
NA mdada kajifungua wiki moja kabla ya mitihani
sem mme ana wivu sana yaani hyi pc yenyewe akirudi anakagua kila ktu simu ya mkewe ikipgwa anaulizza sms zikiingia zisifutwe mdada imefikia hatuA hajajiunga na wala hataki kujiunga kwenye social networks maana anajua watakosana na mmewe
hapo kidogo nakupata, mambo ya kukaguana hadi kwenye simu inakera i hate that katabia.