Iwe ni chai au true story, hivi inakuaje kuaje hadi mkeo anakupiga??? Labda kama ni vile vimakofi vya kimahaba🥰
Andaa jeneza lako tuje kukuzika kama hutaki kuondoka, Umelogwa, rudi kwenu Huko kakae na Wazee wako au kama ni muumini mzuri omba Mungu.
Kuamini kwamba anaweza kubadilika na kumuonea sana huruma ndipo kunafanya wanaume tunapata maumivu makali kwa mwanamke.
Pndikizi. Hakuna mwanaume anaweza kueleza ama kufanyiwa haya uliyoandika. Hii ni stori ya kitunga
Huyu jamaa ni zuzu kweli kweli 😂 😂Huna akili. Mwanamke anakuambia huna mbegu za kumpa mimba unajiona uko normal kweli??
Ushauri wangu ni uachane na huyo mwanamke vinginevyo mpo kwenye hatari kubwa sana ya kudhuriana.
Wewe ndio mpumbavu, mpaka unakuja kuomba ushauri kitu ambacho maamuzi yanajulikana, na ndio maana anakutukana anajua huna maamuzi
Aiseee, pole
So unampenda sana au mnapendana sanaaa bado?
Ningekuwa na Kaka, akakutana na yako ningemwambia aende akaishi mbali naye. Ila why bado unauliza na kupitia yote ya kuwa na mume mwenza pia? Unataka kuzikwa mapema? Ndoa yako imekufa zamani..shirikisha ndugu zako usione aibu wakuambie sababu wanakujua wewe... ila duh
Kama hauna maamuzi Sali usubiri maono ufanyaje..
HIvi uko katika ndoa hii kwa sababu gani? Unatukanwa, unatukaniwa wazazi wako, unapigwa na juu ya yote unalea mtoto sio wako! kinachokufanya uwe katika ndoa hii ni nini hasa? Unauliza kama ni bora uondoke? Hapana usiondoke baki hapo hapo uwe joke of the street na usubiri siku akupige kisu badala ya chupa!!!!!Ndugu zangu ambao mpo kwenye ndoa naombeni ushauri kabla sijafanya maamuzi yangu mwenyewe.
Nipo kwenye hii ndoa kwa miaka 11 ila mwanamke ambaye nilikutana nae alikuwa na mtoto tayari ila naomba niseme alikuwa mwenyewe na mtoto wa miaka 2 mwanaume wake alimkimbia, sasa baada ya hapo mwanaume wake wa zamani kufahamu huyu mwanamke ana mwanaume mwingine siku moja akaniambia kwamba huyu mwanamke huwezi kuja kumzalisha maisha yako yote hata iweje.
Ndugu zangu mpaka leo huyu mwanamke amepata mimba mara 3 ila zote zimetoka. Sasa baada ya hapo mwanamke akaanza kunidharau na kuniambia kwamba sina mbegu za kumzalisha. Me kama mwanaume nikapoteza confidence nikaenda kupiga nje na nimepata mtoto vizuri bila shida kabisa
Sasa amekuja kugundua kwamba me nimezaa nje ila nilivumilia mateso yote na maneno yote ya mateso na alikuwa muda wote ananidharau sana na kusema hata iweje umenikuta na mtoto na taka usitake siwezi kuacha kuongea na baba wa mtoto.
Akinikuta nakunywa anamwaga drinks zote kwenye sink.
Sasa jana usiku nimepigwa vyupa vibaya sana damu nyingi zimetoka sababu anataka tuwe tunatumia password moja, ameingia kwenye simu amekuta yule mwanamke mwingine mwenye mtoto amenitumia picha za mtoto.
Baada ya hapo akanitukania wazazi wote na kuwaita Idiots familia nzima pamoja na mimi...
Nilikuwa tu naomba ushauri nini cha kufanya ila tumeenda hospitali tumegundua zile mimba 3 alipata moja imeziba mirija yake ya uzazi so hawezi pata mimba kwa njia ya kawaida.
Naombeni ushauri wenu tafadhali kwa hili suala.
Je, bora niondoke?
Jinga sana weweUnanicheka sawa bana
Daaah kaka kakupa na dharau huna uwezo wa kumzalisha halafu yeye anataka aendeleee kuwasiliana na baba wa mtoto ambaye sio wako🥲Ndugu zangu ambao mpo kwenye ndoa naombeni ushauri kabla sijafanya maamuzi yangu mwenyewe.
Nipo kwenye hii ndoa kwa miaka 11 ila mwanamke ambaye nilikutana nae alikuwa na mtoto tayari ila naomba niseme alikuwa mwenyewe na mtoto wa miaka 2 mwanaume wake alimkimbia, sasa baada ya hapo mwanaume wake wa zamani kufahamu huyu mwanamke ana mwanaume mwingine siku moja akaniambia kwamba huyu mwanamke huwezi kuja kumzalisha maisha yako yote hata iweje.
Ndugu zangu mpaka leo huyu mwanamke amepata mimba mara 3 ila zote zimetoka. Sasa baada ya hapo mwanamke akaanza kunidharau na kuniambia kwamba sina mbegu za kumzalisha. Me kama mwanaume nikapoteza confidence nikaenda kupiga nje na nimepata mtoto vizuri bila shida kabisa
Sasa amekuja kugundua kwamba me nimezaa nje ila nilivumilia mateso yote na maneno yote ya mateso na alikuwa muda wote ananidharau sana na kusema hata iweje umenikuta na mtoto na taka usitake siwezi kuacha kuongea na baba wa mtoto.
Akinikuta nakunywa anamwaga drinks zote kwenye sink.
Sasa jana usiku nimepigwa vyupa vibaya sana damu nyingi zimetoka sababu anataka tuwe tunatumia password moja, ameingia kwenye simu amekuta yule mwanamke mwingine mwenye mtoto amenitumia picha za mtoto.
Baada ya hapo akanitukania wazazi wote na kuwaita Idiots familia nzima pamoja na mimi...
Nilikuwa tu naomba ushauri nini cha kufanya ila tumeenda hospitali tumegundua zile mimba 3 alipata moja imeziba mirija yake ya uzazi so hawezi pata mimba kwa njia ya kawaida.
Naombeni ushauri wenu tafadhali kwa hili suala.
Je, bora niondoke?
Acha ubishi mkuu achana na huyo mwanamkeMkuu ni mke wangu ambaye tumeowana na kufunga ndoa ila nilimkuta wameachana na jamaa ndio maana...