Kuamini kwamba anaweza kubadilika na kumuonea sana huruma ndipo kunafanya wanaume tunapata maumivu makali kwa mwanamke.Asante sana kwa ushauri wako nashukuru sanaa ndugu yangu nimeshauriwa muda sana kuachana nae ila sijasikiliza kabisaaa.....ila nashukuru kwa ushauri wako na mwenyewe naona ndoa imekufa mda mrefu sana....