Ndoa miaka 11 naomba ushauri

Ndoa miaka 11 naomba ushauri

Daaah kaka kakupa na dharau huna uwezo wa kumzalisha halafu yeye anataka aendeleee kuwasiliana na baba wa mtoto ambaye sio wako🥲

Halafu anakunyanyasa kwa kukupiga tena na chupa basi mkuu wewe ni mpole sanaaaaa


USHAURI WANGU FANYA KILE UNACHOONA POA WEWE

Kabisaa mkuu najuta sana mpaka familia wananionea huruma ila najuwa kaka wala hamna neno kabisa....Najuta kwenye maisha yangu sio kidogo.....

Mkuu nimevumilia sanaaa sio kidogo najutq sanaaa ila maumivu napata
 
Kama mzazi mwenzie alikupa onyo, ni vizuri ukamuacha huyo mwanamke ili kupunguza heka heka za hapa duniani. Ile kukupa onyo, kuna mazingaombwe yamefanyika kwa huyo mke. Nakushauri, muwekee mazingira akuache yeye, kisha oa huyo ulie zaa naye.
Huyu jamaa ni zuzu kweli kweli 😂 😂

Asante sana kaka
 
Daaah kaka kakupa na dharau huna uwezo wa kumzalisha halafu yeye anataka aendeleee kuwasiliana na baba wa mtoto ambaye sio wako🥲

Halafu anakunyanyasa kwa kukupiga tena na chupa basi mkuu wewe ni mpole sanaaaaa


USHAURI WANGU FANYA KILE UNACHOONA POA WEWE

Asante sana kaka nimefata ushauri wa kila mtu na watu wote wameniambia vizuri kama wewe ila ni wachache tu wamenidharau kitu ambacho nilikuwa nategemea sana wala hamna neno kabisaa.....ila kaia nashukuru sanaaa...
 
Daaah kaka kakupa na dharau huna uwezo wa kumzalisha halafu yeye anataka aendeleee kuwasiliana na baba wa mtoto ambaye sio wako🥲

Halafu anakunyanyasa kwa kukupiga tena na chupa basi mkuu wewe ni mpole sanaaaaa


USHAURI WANGU FANYA KILE UNACHOONA POA WEWE

Nimeseka sana kaka mpaka familia na wazazi wananione huruma ila soon nitarudi kuwajulisha wala hamna neno kabisaa ni muda tu....
 
Nimejikaza nisicheke nimeshindwa 😹😹😹
Wabongo tunapenda chini, yani una matatizo bado unawaza kula papa..!!

Daaa mkuuu haya maisha huwezi jus ndugu yangu acha tu kaka ila sio rahisi hata kidogo.....
 
Kama mzazi mwenzie alikupa onyo, ni vizuri ukamuacha huyo mwanamke ili kupunguza heka heka za hapa duniani. Ile kukupa onyo, kuna mazingaombwe yamefanyika kwa huyo mke. Nakushauri, muwekee mazingira akuache yeye, kisha oa huyo ulie zaa naye.


Naomba ushauri tafadhali kama hutojali nitashukuru sana tena sana kaka....
 
Ndugu zangu ambao mpo kwenye ndoa naombeni ushauri kabla sijafanya maamuzi yangu mwenyewe.

Nipo kwenye hii ndoa kwa miaka 11 ila mwanamke ambaye nilikutana nae alikuwa na mtoto tayari ila naomba niseme alikuwa mwenyewe na mtoto wa miaka 2 mwanaume wake alimkimbia, sasa baada ya hapo mwanaume wake wa zamani kufahamu huyu mwanamke ana mwanaume mwingine siku moja akaniambia kwamba huyu mwanamke huwezi kuja kumzalisha maisha yako yote hata iweje.

Ndugu zangu mpaka leo huyu mwanamke amepata mimba mara 3 ila zote zimetoka. Sasa baada ya hapo mwanamke akaanza kunidharau na kuniambia kwamba sina mbegu za kumzalisha. Me kama mwanaume nikapoteza confidence nikaenda kupiga nje na nimepata mtoto vizuri bila shida kabisa

Sasa amekuja kugundua kwamba me nimezaa nje ila nilivumilia mateso yote na maneno yote ya mateso na alikuwa muda wote ananidharau sana na kusema hata iweje umenikuta na mtoto na taka usitake siwezi kuacha kuongea na baba wa mtoto.

Akinikuta nakunywa anamwaga drinks zote kwenye sink.

Sasa jana usiku nimepigwa vyupa vibaya sana damu nyingi zimetoka sababu anataka tuwe tunatumia password moja, ameingia kwenye simu amekuta yule mwanamke mwingine mwenye mtoto amenitumia picha za mtoto.

Baada ya hapo akanitukania wazazi wote na kuwaita Idiots familia nzima pamoja na mimi...

Nilikuwa tu naomba ushauri nini cha kufanya ila tumeenda hospitali tumegundua zile mimba 3 alipata moja imeziba mirija yake ya uzazi so hawezi pata mimba kwa njia ya kawaida.

Naombeni ushauri wenu tafadhali kwa hili suala.

Je, bora niondoke?
Unataka ushauri gani sasa? Wewe ni zamwamwa?
 
Huyo mwanamke hana hata makosa, makosa unayo wewe.
Hell is for devil na weak gents.

Ulitakiwa uanze kujiuliza kama aliyezaa nae alishindwa kumuoa, je, wewe ni nani mpaka ujitwike msalaba?
(Tufanye mapenzi upofu. Kufanya kosa si kosa bali kurudia kosa)

Unakula makofi bado upo tu.
(Tufanye kofi la mpenzi haliumi)

Unatukaniwa mpaka wazazi wako na mnaitwa idiot.
(Tufanye tusi la kiingereza haliumi)

Kimsingi hukuwa tayari kuoa na hujawa tayari.
 
Naomba ushauri tafadhali kama hutojali nitashukuru sana tena sana kaka....
Uzoefu tu, nipo kwenye ndoa kwa muda mrefu, watoto wa ndoa idadi inaridhisha na huko nje pia nimezaa na wanawake tofauti tofauti idadi ya watoto inayoridhisha. Nakupa ushauri wa kiume, huyo mkeo hana makosa, mwenye makosa ni yule aliyekutangulia, alimuacha huyo demu huku akiwa bado anampenda, akitegemea labda ateseke ili waweze kurudiana au laa. Ulipoingia wewe kwenye hayo mahusiano, wewe ukawa umempa huyo mwanamke kiburi, ambacho ndio kilichomuumiza aliyekutangulia na kuja kukuambia maneno ya ajabu. Yale maneno aliyafanyia vitendo kwa mambo ya kiswahili na kupelekea hizo mimba zako kutokamatika, na huyo mwanamke kuvishwa sura nyingine ya kukuchukia wewe. Kama bado unampenda sana huyo mkeo, kutana na watu wa kiroho; na kama hiyo vita uiwezi, achana na huyo mwanamke endelea na maisha yako.​
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom