Ndoa miaka 11 naomba ushauri

Ndoa miaka 11 naomba ushauri

Ndugu zangu ambao mpo kwenye ndoa naombeni ushauri kabla sijafanya maamuzi yangu mwenyewe.

Nipo kwenye hii ndoa kwa miaka 11 ila mwanamke ambaye nilikutana nae alikuwa na mtoto tayari ila naomba niseme alikuwa mwenyewe na mtoto wa miaka 2 mwanaume wake alimkimbia, sasa baada ya hapo mwanaume wake wa zamani kufahamu huyu mwanamke ana mwanaume mwingine siku moja akaniambia kwamba huyu mwanamke huwezi kuja kumzalisha maisha yako yote hata iweje.

Ndugu zangu mpaka leo huyu mwanamke amepata mimba mara 3 ila zote zimetoka. Sasa baada ya hapo mwanamke akaanza kunidharau na kuniambia kwamba sina mbegu za kumzalisha. Me kama mwanaume nikapoteza confidence nikaenda kupiga nje na nimepata mtoto vizuri bila shida kabisa

Sasa amekuja kugundua kwamba me nimezaa nje ila nilivumilia mateso yote na maneno yote ya mateso na alikuwa muda wote ananidharau sana na kusema hata iweje umenikuta na mtoto na taka usitake siwezi kuacha kuongea na baba wa mtoto.

Akinikuta nakunywa anamwaga drinks zote kwenye sink.

Sasa jana usiku nimepigwa vyupa vibaya sana damu nyingi zimetoka sababu anataka tuwe tunatumia password moja, ameingia kwenye simu amekuta yule mwanamke mwingine mwenye mtoto amenitumia picha za mtoto.

Baada ya hapo akanitukania wazazi wote na kuwaita Idiots familia nzima pamoja na mimi...

Nilikuwa tu naomba ushauri nini cha kufanya ila tumeenda hospitali tumegundua zile mimba 3 alipata moja imeziba mirija yake ya uzazi so hawezi pata mimba kwa njia ya kawaida.

Naombeni ushauri wenu tafadhali kwa hili suala.

Je, bora niondoke?
Huna mke apo.kikao Cha mwisho tulisemaje kuhusu single mama..?
 
Kaka wewe kweli ni IDIOT, IMBECILE, STUPID MORON.

The fact kwamba umevumilia disrespect kubwa kiasi hiko kutoka kwa huyo mwanamke na huyo ex wake inaprove wewe ni idiot.

Na kwa sababu umevumilia hayo kwa miaka muongo mzima, basi huenda wewe ndiyo umeolewa na huyo mwanamke.

Mwanamke kukuinsult, kukumwagia juice, kukulazimisha eti mshee password na wewe upo upo tu huna say huo kama siyo uzwazwa ni nini sasa!

Formula ni mwanamke ukimuoa na akashindwa kushika mimba ndani ya miaka miwili chapa lapa kazae nje ili ujue shida iko wapi. Ukizalisha basi mchane wazi kwamba una mwanamke mwingine anayekuzalia nje na utampa heshima zote za mke wako, ila yeye hautamuacha. Kama ataamua kuchapa lapa yeye sawa, ila wewe utakuwa umemchana uhalisia!
 
Watu walioachana na wamezaa kiuhalisia huwa hawajaachana hizo ni likizo tu muda wowote kinaweza kuwaka, cha kukushauri kwa kuwa umeshapata mwingine na amekuzalia kajenge familia naye siyo kuendelea kupoteza muda na mwanamke asiye na uwezo wa kukuzalia na wala huna hata mtoto kwake.
 
Ndugu zangu ambao mpo kwenye ndoa naombeni ushauri kabla sijafanya maamuzi yangu mwenyewe.

Nipo kwenye hii ndoa kwa miaka 11 ila mwanamke ambaye nilikutana nae alikuwa na mtoto tayari ila naomba niseme alikuwa mwenyewe na mtoto wa miaka 2 mwanaume wake alimkimbia, sasa baada ya hapo mwanaume wake wa zamani kufahamu huyu mwanamke ana mwanaume mwingine siku moja akaniambia kwamba huyu mwanamke huwezi kuja kumzalisha maisha yako yote hata iweje.

Ndugu zangu mpaka leo huyu mwanamke amepata mimba mara 3 ila zote zimetoka. Sasa baada ya hapo mwanamke akaanza kunidharau na kuniambia kwamba sina mbegu za kumzalisha. Me kama mwanaume nikapoteza confidence nikaenda kupiga nje na nimepata mtoto vizuri bila shida kabisa

Sasa amekuja kugundua kwamba me nimezaa nje ila nilivumilia mateso yote na maneno yote ya mateso na alikuwa muda wote ananidharau sana na kusema hata iweje umenikuta na mtoto na taka usitake siwezi kuacha kuongea na baba wa mtoto.

Akinikuta nakunywa anamwaga drinks zote kwenye sink.

Sasa jana usiku nimepigwa vyupa vibaya sana damu nyingi zimetoka sababu anataka tuwe tunatumia password moja, ameingia kwenye simu amekuta yule mwanamke mwingine mwenye mtoto amenitumia picha za mtoto.

Baada ya hapo akanitukania wazazi wote na kuwaita Idiots familia nzima pamoja na mimi...

Nilikuwa tu naomba ushauri nini cha kufanya ila tumeenda hospitali tumegundua zile mimba 3 alipata moja imeziba mirija yake ya uzazi so hawezi pata mimba kwa njia ya kawaida.

Naombeni ushauri wenu tafadhali kwa hili suala.

Je, bora niondoke?
Kaka anza taratibu ku invest kwako, tunza hela, jiweke mbali nae kihisia, na mtoe moyoni, kwa kifupi achana nae kimahesabu, sio kwa pupa, hakikisha uko tayari kiakili na kihisia unapomuacha, hapo ndo wanawake wanatuzidi mbinu, ruka huo mtego, otherwise, utapata presha na sukari.. labda na stroke, utakufa.
 
Hujamuoa, Huyo ni Mke wa Mtu, tena mama watoto wa Mtu ambaye amekuoa wewe

Mwache arudi kwa Mzazi mwenzie wakalee mtoto wao

Kunguru hafugiki kamwe

Mkuu ni mke wangu ambaye tumeowana na kufunga ndoa ila nilimkuta wameachana na jamaa ndio maana...
 
Pole ndugu. Kuoa single mother sio kosa. Pengine hukuchukua muda wa kutosha kumchunguza tabia.

Pia inabidi urudi kwa jamaa kumuuliza ilikuwaje wakaachana. Mfanye awe rafiki. Pili mhoji kwa nini alisema hutamzalisha huyo mwanamke.

Naye mwanamke kitendo cha kukudharau ni kuficha madhaifu yake, ambapo kwa namna moja uliruhusu huo udhaifu hadi ikawa mazoea kwake. Sio sahihi kutukaniwa wazazi.

Unampenda? Unaona mbeleni kuna future? Tayari mna watoto, na bado mkiamua mnaeeza kupata wa kwenu.

Kikubwa mmeruhusu mahusiano (sijui kama mmefunga ndoa) kuingiliwa na watu wengine. Hili nalo la kutazama sana. Hamtaweza kuwaepuka bali mtaweza kuwadhibiti.

Ukimwangalia ana mapenzi nawe japo ana dharau? Pengine dharau inatokana ns masuala ya kipato.

Muhimu kwenye ndoa yako uwe mwelewa. Usiwe emotional. Usiwe reactive. Usiwe too rational. Kuwa muelewa. Muelewe na mengine yatajisumbukia

Asante sana tena sanaa kaka kwa ushauri wako nashukuru sana kwa kila kitu....Nadhani umesoma na kuelewa vizuri nini nimesema hapo....

Hapo kuhusu kumuuliza jamaa kuna siku moja tuligombana akaniamboa kwamba siku moja utakuja kunikumbula unadhani unamjuwa huyu mwanamke kunizidi mimi utakuja kunikumbuka siku moja ila sikujuwa anamaanisha nini.....

Kwa sasa tunapitia mambo mengi sana pia vile vile hatujafanikiwa kupata mtoto mpaka hivi sasa mungu hajaalia kabisa....Na watu wengi sana wanaongea vitu tofauti kila siku atakuka atasema ohhh nimeambiwa hivi na hivi mara hivi na hivi....

Maisha yamekuwa magumu sana tena sanaa na dharau imekuwa kitu cha kawaida kwa sasa....
 
Back
Top Bottom