Ndoa inataka kunishinda

Ndoa inataka kunishinda

Status
Not open for further replies.
Daah aisee ni mara mia kimoko chali au kwa kudonoa donoa tu kuliko kutoduu kabisa.
Pole sana dada, je kwa muda wote huo ulishawahi kuona amesimamisha?? Eidha asubuhi anavoamka au mda wowote tu ngoma ikawa imesimama??

Na vipi yeye huwa anashiriki kwenye hayo maombi na hivyo vikao ndo kakususia yeye uhangaike na tatizo lake??
 
Kuna mawili labda kalogwa dushe isisimame au alikuwa na basha alivyosikia anaowa akamvunja mboo isisimame tena embu fatilia nyendo zake vizuri ikiwezekana hack simu yake upate ukweli wewe bado mdogo usijifie Kwa stress za mtu mwingine
 
Teh teh africa bana! Hapa angekuwa mwanaume ndiyo anapitia hayo ungesikia chepuka tu au piga chini oa mwingine ila kwa vile ni mwanamke anaambiwa amvumilie tu mume wake!
Inasikitisha sana. Sipati picha nyege za kipindi cha miaka miwili.... Unakuwa katika hali gani..... Pole sana Dada.
 
Huyo jamaa yako huenda akawa na ngoma ukimwi mkapime
 
Mnavoishi humo ndani dudu yake huwa unaichungulia hata kwa kuizoom tu?? Vipi mkilala humgusi gusi dudu ???vipi hata kwa mbali umeshaiona imesimama??
Mwenyewe nawaza hapa, kwamba dyudyu haigusi wala kuichungulia? Basi akae chiu amanue ajue moja
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom