Ndoa inataka kunishinda

Ndoa inataka kunishinda

Status
Not open for further replies.
Teh teh africa bana! Hapa angekuwa mwanaume ndiyo anapitia hayo ungesikia chepuka tu au piga chini oa mwingine ila kwa vile ni mwanamke anaambiwa amvumilie tu mume wake!
 
Yes yuko kwenye critical situation I understand and it hurt a lot, ila nyeeege baba kitu kingine waweza paramia hata kichaa, na usingizi unakuwa huupati vizuri kabisa, before mengine afikirie Hilo.
Pia huyo mwanaume ukute ana mambo yake na dunia ya Sasa watu huwa si wazima wanaoa hivo hivo kuficha aibu na maneno ya jamii kwanini huoi, Matokeo yake ni kuja kutesa wengine Sasa.
 
Acha kufananishia chakula mboga kisamvu na mambo ya kijinga, naomba uwaambie na wenzako kisamvu kufanisha na kinyesi mkome.
Kwani mavi yote ni kama kisamvu, mbona mengine ni ya njano?
Yaani mti wa mhogo, tunapata mihogo choma safi na mboga yake kisamvu hadi ikulu kipo
mbavu zangu mie uwiiiiiih
 
Ila wazee zamani walikuwa wahuni kweli yani anachaguliwa mdogo anaambiwa msaidie kaka yako hapo halafu mikausho mikali kaka anakuwa hajui chochote pengine kasafiri labda.

Sema hii ilisaidia sana yani mtu na shemeji full respect. Au dingi anapiga show mwenyewe
 
Kuna mawili labda kalogwa dushe isisimame au alikuwa na basha alivyosikia anaowa akamvunja mboo isisimame tena embu fatilia nyendo zake vizuri ikiwezekana hack simu yake upate ukweli wewe bado mdogo usijifie Kwa stress za mtu mwingine
hii ni hatareee sana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom