cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,168
Na sikuhizi ni heri ujue mumeo anachepuka na mwanamke mwenzako ina uafadhali siku hizi mwanaume anaweza kuwa mke mwenzako kabisa








uwiiiiiih hapa cna mbavu lolNa sikuhizi ni heri ujue mumeo anachepuka na mwanamke mwenzako ina uafadhali siku hizi mwanaume anaweza kuwa mke mwenzako kabisa








uwiiiiiih hapa cna mbavu lolTeh teh africa bana! Hapa angekuwa mwanaume ndiyo anapitia hayo ungesikia chepuka tu au piga chini oa mwingine ila kwa vile ni mwanamke anaambiwa amvumilie tu mume wake!









Ulimwengu hauishii maajabu , ambao hawajaoa wanapata "hilo tendo murua" hadi wanalikimbia walioolewa/ wanakosa ...










Yes yuko kwenye critical situation I understand and it hurt a lot, ila nyeeege baba kitu kingine waweza paramia hata kichaa, na usingizi unakuwa huupati vizuri kabisa, before mengine afikirie Hilo.
Pia huyo mwanaume ukute ana mambo yake na dunia ya Sasa watu huwa si wazima wanaoa hivo hivo kuficha aibu na maneno ya jamii kwanini huoi, Matokeo yake ni kuja kutesa wengine Sasa.












Dokta okoa jahaziKwan mpaka mlioana ,hamkujaribisha mitambo???.
Mbadilishane hapo sasa mommah,Aahh mimi aina ya wanaume kama wa mtoa mada ndiyo nawapenda kwa kweli. Sijui hata nitawapata wapi




Akisinzia mfunge mikono na miguu kisha mshtue kwa vibao akiamka ichomeke








Mnavoishi humo ndani dudu yake huwa unaichungulia hata kwa kuizoom tu?? Vipi mkilala humgusi gusi dudu ???vipi hata kwa mbali umeshaiona imesimama??












Genye hazina adabu
Acha kufananishia chakula mboga kisamvu na mambo ya kijinga, naomba uwaambie na wenzako kisamvu kufanisha na kinyesi mkome.
Kwani mavi yote ni kama kisamvu, mbona mengine ni ya njano?
Yaani mti wa mhogo, tunapata mihogo choma safi na mboga yake kisamvu hadi ikulu kipo















mbavu zangu mie uwiiiiiihDah usicheke my ooh Hali sikuhizi Tete sana wallahuwiiiiiih hapa cna mbavu lol
Ila wazee zamani walikuwa wahuni kweli yani anachaguliwa mdogo anaambiwa msaidie kaka yako hapo halafu mikausho mikalikaka anakuwa hajui chochote pengine kasafiri labda.
Sema hii ilisaidia sana yani mtu na shemeji full respect. Au dingi anapiga show mwenyewe









Kuna mawili labda kalogwa dushe isisimame au alikuwa na basha alivyosikia anaowa akamvunja mboo isisimame tena embu fatilia nyendo zake vizuri ikiwezekana hack simu yake upate ukweli wewe bado mdogo usijifie Kwa stress za mtu mwingine









hii ni hatareee sana.






Jaribu kumtega vaa vinguo vinavyokuchora jipitish mbele yake kila wakat pia anza kumchezea ukiw karibu naye kifua sana sana akikuacha ujue umeolewa na shoga








Genye hazina adabu





hapana wapo mbna wengine had 5 yrs, ni aina ya mtu tyuuh.