Ndoa inataka kunishinda

Ndoa inataka kunishinda

Status
Not open for further replies.
Kwahiyo mm kusemwa tasa sizai na kutaka kufunguliwa kesi ya mauaji unaona hayana uzito bali ya yy kusemwa hadharani? Can imagine wazaz wangu wanapokea taarifa nimefunguliwa kesi ya mauaji, hapo bado jamii inaninyooshea kidole nimemkimbia mume ksa sizai, ila yy astiriwe? Hiv umefikiria mara mbili kabla ya kumdefend muhusika?
Kwahichi ulicho jibu hii story yako ni one side of the story tungesikia na other side ya story watu humu wangekupa ushauri mzuri wa kusaidia na kukujenga zaidi, maana haiwezekani mtu anywe sumu mwenyewe then usingiziwe wewe kuwa ulitaka kumuua, pia watu kuitwa tasa mjitakia mngeenda hospital mpime wote na hata afya ya huyo mwanaume ijulikane maana huwezi itwa tasa huku hujawahi kukutana na mumeo maana aliyepata huo uwezo ni bikra maria.
I think hii marriage yenu ina shida mahali au ilikuwa ndoa ya ku force kingi na hii mivurugano ndio haswa bebi wako jogoo atashindwa kuwika zaidi, hii yako ni one sided story ingekuwa vyema tupate na ya mumeo.
 
Saikolojia eeh, usiongee hayo mambo ishanikutaga hio hali! Dem nahisi alikuwa na jini mahaba!

Alfajiri ya saa 11 sina tatizo lolote yani niko fiti mashine iko hewani kwa kasi ya 5G. Unavuta mtoto anagoma goma anaamka ile unataka uweke ukuni unasinzia kabisa kama mlenda yani.

Mtoto akiamka kujianda kwenda Job tu alikuwa muajiriwa basi mjuba mambo yanajipa tu! Ile hali haikua ya kawaida ila ukitest kwengine show kali. Nikaona kweli uchawi upo na yule binti hatukuwa na maelewano tena tuliishia kumwagana tu!
Dah kwa kila jambo huwa Kuna kitu kinatokea na huwa sio bure aisee ni vyema ikifika hyo hatua watu mzungumze mubashara kabisa kutatua hyo kero, pia hata uchawi waweza husika
 
Dah kwa kila jambo huwa Kuna kitu kinatokea na huwa sio bure aisee ni vyema ikifika hyo hatua watu mzungumze mubashara kabisa kutatua hyo kero, pia hata uchawi waweza husika
Ukikuta mwenzio mkali bila sababu unakuwa huna jinsi papuchi ya ratiba ni ngumu sana kwa baharia bora kila mtu ajikate😂
 
Ila wazee zamani walikuwa wahuni kweli yani anachaguliwa mdogo anaambiwa msaidie kaka yako hapo halafu mikausho mikali kaka anakuwa hajui chochote pengine kasafiri labda.

Sema hii ilisaidia sana yani mtu na shemeji full respect. Au dingi anapiga show mwenyewe
Yes ilisaidia hata kulinda undugu na usaliti kwa watoto wa mbali Sasa hivi tunaiga usasa ndio Matokeo yake haya mahusiano hayadumu ni machungu tu kwa kwenda mbele, na ndio maana zamani wagumba walijulikana kuwa ni wanawake baada ya kujaribu tofauti tofauti, na wanawake walibebeshwa na kaka, au dingilai mwanaume hujui hata ila wazee bana
 
Yes ilisaidia hata kulinda undugu na usaliti kwa watoto wa mbali Sasa hivi tunaiga usasa ndio Matokeo yake haya mahusiano hayadumu ni machungu tu kwa kwenda mbele, na ndio maana zamani wagumba walijulikana kuwa ni wanawake baada ya kujaribu tofauti tofauti, na wanawake walibebeshwa na kaka, au dingilai mwanaume hujui hata ila wazee bana
Sahizi unatafta ex wako unampa uroda kisha unamubambikia mr. Fredy
 
Siku ina masaa 24, mwaka una masaa 8640 times 2 equal to 17280,. Binadamu wa kawaida asiye kua na tatizo lolote mfumo wa kumeng'enya hufanya kazi ndani ya masaa 3,after hapo kila kirutubisho huenda pahali pake kwajili ya kuboresha mwili.

Tezi kuu ikiferi kupokea na kuwasilisha kimeng'enywa rejeshi kwenda kwenye Tezi ya uzazi basi hupelekea kupungukiwa kwa baadhi ya nguvu kwenye msuri.

#ushauri wangu kwako dada yangu usimuahe mumeo hilo tatizo dogo sana,. Nina shuhuda juu ya kaka yangu alizaliwa mzima ila alipofika barehe msuri ukagoma mpk anafika umri wa miaka 32 mzigo bila bila ila alipona na ana watoto wa 3

#NB:. Omba Mungu, usioneshe kumdharau, muheshimu zen rudisha mapenzi ya sasa kua kama mwanzo. Atarudi sawa miaka miwili michache kaka alikaa miaka 12 jogoo awiki, ila sasa ni mzima show kali
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom