Msweet
JF-Expert Member
- Mar 26, 2014
- 3,241
- 4,441
Upo sahihi kabisa. Mchana na Usiku.Watu wanaotumia lugha sahihi za staha kama sex=tendo la ndoa are the most freakiest on earth!
Hahahaaa
Dada utakua unatiana mpaka kuta zinang'oka!
Kidding
Upo sahihi kabisa. Mchana na Usiku.Watu wanaotumia lugha sahihi za staha kama sex=tendo la ndoa are the most freakiest on earth!
Hahahaaa
Dada utakua unatiana mpaka kuta zinang'oka!
Kidding
Ila uchawi upo. Isije ikawa X wako au X wake kaenda kwa sangoma kurekebisha mitambo ili kuwakomeshaItakua hujanielewa tatizo limeanza baada ya kunitolea posa ila tulikua tupo vizur na tulikua tukisex normal, sjaelewa coment yako
Utatumia kutumbua Australia mkate kama kitafunio?Chai
Hata huyu mleta uzi anajua kila kitu sema anataka sympathy hapa...Ndo inapotakiwa watu wajue hayo madhaifu, mie nilichowaza, huyu mwanaume ana madhaifu binafsi na ya siri sana ambayo hapaswi yeyote kujua, maan km n magonjwa, msongo wa mawazo, au matatizo mengine ya kiafya, siyo ya kuficha.
Huyu dada amchunguze vizuri mumewe, atagundua kitu tyuuh.
Eeh, wanatuonea wivu na hiyo mininga balaanyie mnanivunja mbavu khaaaah.