Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,146
- 190,618
Na mtoto wa pili itakuwa hivyo hivyo?Wewe chepuka maisha yenyewe mafupi au mvizie akilala umbake, then uchepuke upate mtoto
Na mtoto wa pili itakuwa hivyo hivyo?Wewe chepuka maisha yenyewe mafupi au mvizie akilala umbake, then uchepuke upate mtoto
Sasa sindio atafte ufumbuzi wa tatizo hilo au nawewe nikikuoa utachepuka😁Teh teh africa bana! Hapa angekuwa mwanaume ndiyo anapitia hayo ungesikia chepuka tu au piga chini oa mwingine ila kwa vile ni mwanamke anaambiwa amvumilie tu mume wake!
Watu wanatia unaa tu humuTeh teh africa bana! Hapa angekuwa mwanaume ndiyo anapitia hayo ungesikia chepuka tu au piga chini oa mwingine ila kwa vile ni mwanamke anaambiwa amvumilie tu mume wake!

😅😅😅😅Wewe chepuka maisha yenyewe mafupi au mvizie akilala umbake, then uchepuke upate mtoto
Mzigo piruuu kabisa now yani nta ya kutosha🤩Mzee fursa hiyo hapo. miaka miwili bila sex siasharudi ubikira kabisa huyu?
Kigezo kinaruhusu kabisa tena ni miezi 6 tu! Kama hamna show kila mtu arudi kwa mzazi wake aliomzaa!Watu wanatia unaa tu humu
Hakuna mwanaume wa kuvumilia hizo two years aisee!
Kama hakukuwa na sex baada ya ndoa kufungwa basi ndoa haikua consummated/ actualized na yaweza tenguliwa kanisani.
😂😂😂Nilivyoona comments yake anawazibia wenzie nilicheka huku nilipo teh teh ibilisi kageuka MalaikaHuu ufilisti na upadre umeuanza lini? Wewe si ndiyo huwa unapenda hayo mambo ya kulana kimasihara waache watu wakulane kimasihara wewe!
Ila jf hata kama una stress ukiingia humu utacheka tuPole na matatizo
Kutokana na Ndoa ni kitu kikubwa anza kufanya uchunguzi in details unaweza kuta umeolewa na mke wa mtu.
Dunia imebadilika





Mataifa ya Wenzetu huwa wanakuja kujifunza Unafikiii kwetuTeh teh africa bana! Hapa angekuwa mwanaume ndiyo anapitia hayo ungesikia chepuka tu au piga chini oa mwingine ila kwa vile ni mwanamke anaambiwa amvumilie tu mume wake!
HahaaKigezo kinaruhusu kabisa tena ni miezi 6 tu! Kama hamna show kila mtu arudi kwa mzazi wake aliomzaa!

, I can't imagine upwiru aliokua kuwa nao sista hapo.I'm sorry!Mngekuwa mnajua mnaniumiza kusema nimewapa chai bas tu Mungu anitie nguvu
Rudini mkapime afya zenu huenda akawa anakunusuru na umezaji vidonge kila siku hivyo usimlazimishe hiyo kitu ana mengi kayaficha moyoniTulikua tuna do vizur wala skuwah his utofaut hata kidogo, baada ya posa akastop na skuuliza nlihis anasubir swala la ndoa lipite kwanza lakin hata baada ya ndoa nkaona kimya ndo nkaanza kumuhoji ili nitambue shida nn majibu hakuna zaid ya kusema ana stress za madeni
Ahahahh Mzee kumbe ulipitia magumu hivi?Saikolojia eeh, usiongee hayo mambo ishanikutaga hio hali! Dem nahisi alikuwa na jini mahaba!
Alfajiri ya saa 11 sina tatizo lolote yani niko fiti mashine iko hewani kwa kasi ya 5G. Unavuta mtoto anagoma goma anaamka ile unataka uweke ukuni unasinzia kabisa kama mlenda yani.
Mtoto akiamka kujianda kwenda Job tu alikuwa muajiriwa basi mjuba mambo yanajipa tu! Ile hali haikua ya kawaida ila ukitest kwengine show kali. Nikaona kweli uchawi upo na yule binti hatukuwa na maelewano tena tuliishia kumwagana tu!
,Mzee wa show mbovuAmna nilishamkunja sana sema aliingiwa na spiritual husbandAhahahh Mzee kumbe ulipitia magumu hivi?
I'm pretty sure huyo binti Leo mkionana anakuona bonge la khanithi,Mzee wa show mbovu
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app