Ndoa inataka kunishinda

Ndoa inataka kunishinda

Status
Not open for further replies.
Habarini ndugu zangu poleni na majukumu naomba nilete jambo langu mnishauri naombeni msaada wenu wa kimawazo
Mm ni mwanamke umri 28 ni mwajiriwa serikalini, nimefunga ndoa mwaka jana august, mm na mwezangu tulkua tunaishi vizur bila shida yoyote ile ya kimwili wala ya kiroho, mwaka 2019 mwez 12 alipeleka posa nyumbani toka mwaka huo hadi hivi leo sijawah kutana kimwili (sex) na tunalala kitanda kimoja, nkimgusia mwezangu swala hilo anakuwa mkali na ni ugomvi, nililiwasilisha kwa ndugu na wadhamni wa ndoa anadai anastress za kimaisha apewe mda atkaa sawa, kinachonitesa ni kwann hataki kuwa muwazi kama kuna shida tuitatue kwa pamoja kama mke na mme, ila tunaish kwa amani, kwa sasa nna ham kubwa sana ya kuwa na mtt lakin naona naharbika kisaikoljia kabisa.
Imefkia hatua nawaza kuchepuka nakimbilia two year without sex! Nashindwa ntatue kwa style gani, maan nikijaribu kuanzisha hii mada anakimbia na nyumban kabisa hata sku tatu anaeza asionekane.
Naombeni mawazo jins ya kitatua hili swala
Duuu!
 
Wewe chepuka maisha yenyewe mafupi au mvizie akilala umbake, then uchepuke upate mtoto
Mwenzako yupo kwenye critical situation, ingekuwa swala la kuchepuka huenda hata asingekuja hapa. Naamini anahitaji ushauri wa kujenga, hata kama iwe divorce lakini naona anahitaji ushauri wa kumjenga zaidi.

Kitendo cha jamaa kukaa miaka miwili bila tendo kinafanya yoyote ajiulize maswali mengi, binafsi hata majibu yanakuwa machache, turned into gay na mambo ya kishirikina, zaidi ya hapo sioni sababu nyingine. Stress/depression gani hiyo miaka miwili.
 
Habarini ndugu zangu poleni na majukumu naomba nilete jambo langu mnishauri naombeni msaada wenu wa kimawazo
Mm ni mwanamke umri 28 ni mwajiriwa serikalini, nimefunga ndoa mwaka jana august, mm na mwezangu tulkua tunaishi vizur bila shida yoyote ile ya kimwili wala ya kiroho, mwaka 2019 mwez 12 alipeleka posa nyumbani toka mwaka huo hadi hivi leo sijawah kutana kimwili (sex) na tunalala kitanda kimoja, nkimgusia mwezangu swala hilo anakuwa mkali na ni ugomvi, nililiwasilisha kwa ndugu na wadhamni wa ndoa anadai anastress za kimaisha apewe mda atkaa sawa, kinachonitesa ni kwann hataki kuwa muwazi kama kuna shida tuitatue kwa pamoja kama mke na mme, ila tunaish kwa amani, kwa sasa nna ham kubwa sana ya kuwa na mtt lakin naona naharbika kisaikoljia kabisa.
Imefkia hatua nawaza kuchepuka nakimbilia two year without sex! Nashindwa ntatue kwa style gani, maan nikijaribu kuanzisha hii mada anakimbia na nyumban kabisa hata sku tatu anaeza asionekane.
Naombeni mawazo jins ya kitatua hili swala
Unaomba lakini?? Maana mambo mengine sio unayaleta humu na hata Mungu hujamshirikisha nenda kaombe kwanza kwa Mungu wako ukiona ameshindwa ndio uje tukupe ushauri
 
Cha msingi mpe talaka mumeo, ndoa itenganishwe utafute bwana mwingine uolewe nae, maisha yenyewe mafupi, utamsubiri mpaka lini? Fikiri tena, na uchukue uamuzi wa moja kwa moja na usirudi mezani kwa makubaliano.
 
Mwenzako yupo kwenye critical situation, ingekuwa swala la kuchepuka huenda hata asingekuja hapa. Naamini anahitaji ushauri wa kujenga, hata kama iwe divorce lakini naona anahitaji ushauri wa kumjenga zaidi.

Kitendo cha jamaa kukaa miaka miwili bila tendo kinafanya yoyote ajiulize maswali mengi, binafsi hata majibu yanakuwa machache, turned into gay na mambo ya kishirikina, zaidi ya hapo sioni sababu nyingine. Stress/depression gani hiyo miaka miwili.
Ushauri wa kujenga ni kwa Kuhani Musa tu ama apande boti aende pemba😅 jamaa atakuwa alimsaliti demu wa mwananyamala akamnyoosha😁
 
Nilishaondoka akanywa sumu akawahishwa hospitali na tukawekwa kikao akajib atakuwa sawa, unajua sometimes inakufanya ujiskie vibaya kila siku kuwapigia kelele ndugu juu ya tatizo la ndoa yako na mtu wao mwisho wa siku wanaamua kukausha,. Nshafanya effort nyingi sana juu ya hili tatizo
Duh kwahyo na wewe uliwaambia ndugu kuwa mumeo hafanyi kazi hukuona aibu Ili umusitiri utafte ushauri kwa watu wazima wasio wajua maana hyo tu imeshaharibu kabisa saikolojia yake mazima
 
Kuna familia Zina visasi sana,
Jamaa mmoja alienda kujitambulisha kwa watu (nilimsindikiza kabisa), lipa mahali na kila kitu kikakaa sawa.

Baadae jamaa akapata mwanamke mwngine,

Akaenda kulipa mahali na kufunga ndoa na uyu mpya.

Kosa alilofanya Ni kwenda kupasha kiporo na ex wake uyo wa zamani, sijui aliweka Nini kule.

Baada ya hapo kila akienda Kukutana na mkewe ikashindikana (for 3 years)

Wazee wa Mila walisuluhisha ikashindikana,
Suluhisho lilikua ni jamaa kuoa wote wawili.

Of coz jamaa kiuchumi alkua vizur, japokua kidini walimtenga.

Ila baada ya kuwaoa wote wawili,
Tatizo likaisha moja kwa Moja mpk leo hii na anao watoto 3 (wawili bi mkubwa, mmoja bi mdogo).
Hizi familia tunazoji sogezamo ni za kuwa nazo makini sana yani! Familia zenye washirkina huharibia sana watu maisha
 
Yani mke anakubinulia tyako for two good yrs wewe unamwangalia tu, tena alale na ki night dress chake kwa miaka miwili anakusogezea...hiiiiiiiii!! Hata kama ni msongo dadeq, kuna siku huo msongo utakata na utamnyandua tu, hata kama ni sukari, kuna siku msukumo wa damu utajaza kichwa cha chini utapiga hata tyako kumi....

Hapo ipo namna! Kama hayupo wazi, hataki mshirikishe wadau wa karibu...ndoa ya nini sasa, vunja ndoa hiyo uanze tena upya. Mpe ultimatum, aseme nini shida mtatue, anyut uanze mbele. You're so young kutofurahia maisha, bila kunyanduana hakuna ndoa, stress za maisha ya ndoa zinapinguzwa kwa kiasi kikubwa na utam hakyanani.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom