Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,238
- 90,416
hahahaha...acha basi ..mtu chake can you imagine hio kutu iliopo hapo??
hahahaha...acha basi ..mtu chake can you imagine hio kutu iliopo hapo??
Nawaza hii kitu inawezekana kweli yaani kuna uchokozi fulani Mwanamke ukiamua babe achomoi lazima kupolekewa moto kuhusike😜Mnavoishi humo ndani dudu yake huwa unaichungulia hata kwa kuizoom tu?? Vipi mkilala humgusi gusi dudu ???vipi hata kwa mbali umeshaiona imesimama??
🤣🤣🤣🤣🤣..hahahaha...acha basi ..
Ndo namuuliza mtoa mada.. may be mume ana tatizo kubwa sana ki uhalisia sio rahisi... hawa viumbe kabisa 2 years??!!!!!!?Nawaza hii kitu inawezekana kweli yaani kuna uchokozi fulani Mwanamke ukiamua babe achomoi lazima kupolekewa moto kuhusike😜
Wiki tu haiwezekani yaani mwaka dahNdo namuuliza mtoa mada.. may be mume ana tatizo kubwa sana ki uhalisia sio rahisi... hawa viumbe kabisa 2 years??!!!!!!?
Msaidie kulipa hayo madeniTulikua tuna do vizur wala skuwah his utofaut hata kidogo, baada ya posa akastop na skuuliza nlihis anasubir swala la ndoa lipite kwanza lakin hata baada ya ndoa nkaona kimya ndo nkaanza kumuhoji ili nitambue shida nn majibu hakuna zaid ya kusema ana stress za madeni
Kabisa yani!!Wiki tu haiwezekani yaani mwaka dah
hahaha..angalia usivunje mbavu Rafiki🤣🤣🤣🤣🤣..
Usiwaze naongeza siku za kuishi rafiki. Tukutane sehemu yetu badae ngoja niingie jikoni kwanzahahaha..angalia usivunje mbavu Rafiki
hahahaha..vzr...kikiwiva nakuja kulaUsiwaze naongeza siku za kuishi rafiki. Tukutane sehemu yetu badae ngoja niingie jikoni fasta!
Karibu sana rafiki!hahahaha..vzr...kikiwiva nakuja kula
hahahaha...merci.nishakaribia...nasubiri kiwive nikaribie zaidi rafiki..Karibu sana rafiki!
Ulakoze! See u Later..🚶hahahaha...merci.nishakaribia...nasubiri kiwive nikaribie zaidi rafiki..
Sasa afanyeje sikuhizi usasa mtupu zamani huyo angeshapita na ndugu wa ukoo inabaki Siri tu ya wazee na sio kutangazana kuanzia kwa wachungaji, ndugu, na jinsi watu wambeya Koo mbili zinajua jamaa jogoo wake hapandi mtungiNa mtoto wa pili itakuwa hivyo hivyo?
Ila wazee zamani walikuwa wahuni kweli yani anachaguliwa mdogo anaambiwa msaidie kaka yako hapo halafu mikausho mikali🤩 kaka anakuwa hajui chochote pengine kasafiri labda.Sasa afanyeje sikuhizi usasa mtupu zamani huyo angeshapita na ndugu wa ukoo inabaki Siri tu ya wazee na sio kutangazana kuanzia kwa wachungaji, ndugu, na jinsi watu wambeya Koo mbili zinajua jamaa jogoo wake hapandi mtungi
Pole sana dada! Hongera kwa kuwa mvumilivu japo ulikosea sana kuanza ngono kabla ya ndoa! Nadhani unapaswa kutubu na kutengeneza! Ukimtegemea Mungu anaweza kumponya mumeo na akarudi hali yake ya kawaida! Mengi ni mapepo!! Unaweza kuta kuna mwanamke alimuahidi kumuoa, akamtenda na kumtelekeza akakuoa wewe mwisho wa siku na yeye ametendwa! Mtegemee Mungu aliyekupa ndoa! Mlilie yeye! Ni yeye peke yake atakayekupa jibu la matatizo yako! Kaa na mumeo karibu na kwa upendo! Mfariji na kumuombea! Omba kwa bidii!! Dai haki yako kwa Mungu!!!!Itakua hujanielewa tatizo limeanza baada ya kunitolea posa ila tulikua tupo vizur na tulikua tukisex normal, sjaelewa coment yako