Moja kati ya tafakuri bora sana kwa mwaka huuFor the sake of humility and a long, healthy life, ni busara ndoa zikaangaliwa kwa pande mbili. Moja as perfect intimacy na mbili as disaster against humanity. Ukipata mwenza sahihi, heaven itahamia chini ya dari lenu. Ukikosea kupata mwenza sahihi hakika kuzimu itawafurahia sana na itajidhihirisha kwenu.
Ndoa nyingi zinanmisukosuko lately ila niluambie mimi yangu hiyo misukosuko nilishaikataa tangu mwanzo niliamini katika kumcha Mungu ukipata mwenza mcha Mungu mwenye hofu na Mungu umepata chombo chema na hakika mtabarikiwa especially mkianzia chini kabisa pamoja.
Ndoa yangu ni kama ya Peter Msechu, yani ukiangalia hile ndoa ni kama yangu huwa mimi huwa siruhusu misukosuko ikae na kudumu mimi huwa natatua jambo kabla jua halijazama,ndoa ukitaka iwe nzuri ikabidhi kwa Mungu utaokoa hasara nyingi sana
📍📍📌Nasema mara nyingi sana humu ndani,ukiingia kwenye ndoa basi uwe karibu sana na Mungu kwa maombi na sala,lkn kinyume cha hapo shetani hawezi kukuacha salama,never....
📍📍📌Wakati mwingine huwezi kujua kuwa mwanamke uliye naye kabla ya ndoa anaweza kuwa sumu, ila pia kwa nyakati tofauti huwa tunapuuzia ishara fulani fulani ambazo zingetuepusha na wenza sumu.
😢😓Ninapo kutana na nyuzi kama hizi kilasiku, sikwishi kumshukuru sana Mungu maana pekeyangu nisinge weza
For the sake of humility and a long, healthy life, ni busara ndoa zikaangaliwa kwa pande mbili. Moja as perfect intimacy na mbili as disaster against humanity. Ukipata mwenza sahihi, heaven itahamia chini ya dari lenu. Ukikosea kupata mwenza sahihi hakika kuzimu itawafurahia sana na itajidhihirisha kwenu.Great Thinkers,
Kama heading inavyojieleza; mimi Msanii nimeoa na pia tumejaliwa watoto 2. Ninawapenda sana hawa watoto. Naamini ni zao la ndoa yetu.
Wengi wanaonifahamu, wanajua mapito ninayoyapitia kwenye hii ndoa. I tried so hard to humble myself na kuwa kiongozi wa familia kwa kutotumia misuli ya mwili dhidi ya matumizi ya akili kwenye hii ndoa.
Kwanza kabisa, naomba ku-declare my position kwamba, matendo au matukio ya mwanamke mmoja au mwanaume mmoja siyo justification ya tabia za jumla kwa wanawake ama wanaume wote.
Kikubwa ni kwamba nawaasa vijana wanaotaka kuingia kwenye mahusiano ya ndoa, wajitahidi kutafuta wenza wanaoendana nao. Usisite kuachana na toxic relationship. Ni bora usieleweke na jamii lakini ukaelewa kile unachokifanya kwa manufaa ya nafsi yako. Bahati mbaya sana tumezitosa mila na tamaduni zetu tumezipiga chini kwa ujumla wake. Badala ya kuchagua desturi nzuri na kuachana nazo zile mbovu.
Ndoa yangu haipo katika good shape. Mitikisiko ninayokumbana nayo imenipatia stress na sasa ninaishi kwa Neema za Mungu baada ya kupigwa stroke (kiharusi). Bado ni mwanaume kamili lakini nimejirudi ktk abstaining lane kwa sababu kwa sasa nailinda sana nafsi yangu over tamaa za mwili. Mwaka wa nne sasa nimemuweka mbali shemeji na wifi yenu. Sijaachana naye lakini nina amani yupo mbali kwa sasa.
Niliamua kuwa mkimya kwa muda mrefu sana, Namshukuru binafsi rafiki yangu Dr. Mariposa kunichomoa mafichoni.
For the sake of humility and a long, healthy life, ni busara ndoa zikaangaliwa kwa pande mbili. Moja as perfect intimacy na mbili as disaster against humanity. Ukipata mwenza sahihi, heaven itahamia chini ya dari lenu. Ukikosea kupata mwenza sahihi hakika kuzimu itawafurahia sana na itajidhihirisha kwenu.
Msanii wa JF
MkuuCalm down mzee wangu.
Kwanza usitumie dawa yoyote.
Pili nenda kapime hospitali nyingine tofauti na hiyo, huku ukificha majibu ya mwanzo.
Hivyo vipimo vya hospitalini vimetengenezwa na binadamu kama wewe, makosa ni mengi.
Love you pops, wewe ni mshindi💪🏾
Nashukuru mkuu.Moja kati ya tafakuri bora sana kwa mwaka huu
Ukizee kwani unzima mwili mzima?Kua single ni raha, shida inakuja mtu ukizeeka.
Kwann usimpokee kijana wetu utazame namja ya kuyajenga nae?Pole kwa uliyopitia,Mungu akujaalie afya yako irudi
Kataa ndoa point tatu mkononi
ndoa ni kaburi nimesoma kwa uchungu sana hii statement yako pole sana mkuuMkuu
Nilipigwa na stroke upande mmoja ulikata kabisa. Mdomo ulipinda, mkoni full kifuani, mguu wala siusikii. Nikiinua hatua najikuta nauburuza au hata kuanguka. Wheelchair ilikuwa ni msaada kwangu.
Mpaka sasa naweza kuandika ujue Mungu amenitendea muujiza wa karne
Mkuu pole sana! Haya mambo wanasema yasikie kwa mwingine! Mimi binafsi namshukuru Mungu mambo yanaenda,mimi Mnyakyusa huyu wangu Muhaya,mwanzoni mwanzoni alileta za nshomile,nikampiga matukio mawili matakatifu akatulia...saiz adabu ipo tunasonga yuko very submissive
Shida gani? Kwan umeshawah kuzeeka ukiwa single ukaona shida zake?Kua single ni raha, shida inakuja mtu ukizeeka.