Ndoa imenizawadia kiharusi

Ndoa imenizawadia kiharusi

Vijana wa sasa ,wote ,wakike na kiume hawajaandaliwa kwa ajili ya maisha ya ndoa ..Huu ni ukweli mchungu ,sehemu za mafundisho ya dini zinaandaa hizi mada ila hawapati mtu.

Kiukweli ,elimu yetu sio nzuri katika kufikia malengo ya ndoa ..Zile elimu za zamani zinaonekana kama mila potofu ....Vijana wakakutana hapo Dar chuo ,baadaye wanaanza harakati za ndoa hapo washafanya mapenzi mpaka mimba au mtoto.
Ongezea na wameshatumika sana body count inasoma 50 people and others 🤣🤣🤣
 
Pole sana mkuu, huenda tatizo halikuwa ndoa tatizo lilikuwa kumpenda binadamu kwa kiwango kusichostahili.

Kumpenda binadamu mwingine kupindukia ni tatizo la akili linalohitaji tiba ya kitabibu kabla halijaleta madhara ni vile tu Africa huwa tunapuuza ila inatakiwa kuwe na hosp maalum ambazo kuna kevel mtu akipenda akimbizwe hospitali.
Naam kweli, katika mambo ambayo nimeweza kuyamudu ktk maisha yangu ni mapenzi Yaliyo pitiliza Kwa mtu / kitu chochote
 
Great Thinkers,

Kama heading inavyojieleza; mimi Msanii nimeoa na pia tumejaliwa watoto 2. Ninawapenda sana hawa watoto. Naamini ni zao la ndoa yetu.

Wengi wanaonifahamu, wanajua mapito ninayoyapitia kwenye hii ndoa. I tried so hard to humble myself na kuwa kiongozi wa familia kwa kutotumia misuli ya mwili dhidi ya matumizi ya akili kwenye hii ndoa.

Kwanza kabisa, naomba ku-declare my position kwamba, matendo au matukio ya mwanamke mmoja au mwanaume mmoja siyo justification ya tabia za jumla kwa wanawake ama wanaume wote.

Kikubwa ni kwamba nawaasa vijana wanaotaka kuingia kwenye mahusiano ya ndoa, wajitahidi kutafuta wenza wanaoendana nao. Usisite kuachana na toxic relationship. Ni bora usieleweke na jamii lakini ukaelewa kile unachokifanya kwa manufaa ya nafsi yako. Bahati mbaya sana tumezitosa mila na tamaduni zetu tumezipiga chini kwa ujumla wake. Badala ya kuchagua desturi nzuri na kuachana nazo zile mbovu.

Ndoa yangu haipo katika good shape. Mitikisiko ninayokumbana nayo imenipatia stress na sasa ninaishi kwa Neema za Mungu baada ya kupigwa stroke (kiharusi). Bado ni mwanaume kamili lakini nimejirudi ktk abstaining lane kwa sababu kwa sasa nailinda sana nafsi yangu over tamaa za mwili. Mwaka wa nne sasa nimemuweka mbali shemeji na wifi yenu. Sijaachana naye lakini nina amani yupo mbali kwa sasa.

Niliamua kuwa mkimya kwa muda mrefu sana, Namshukuru binafsi rafiki yangu Dr. Mariposa kunichomoa mafichoni.

For the sake of humility and a long, healthy life, ni busara ndoa zikaangaliwa kwa pande mbili. Moja as perfect intimacy na mbili as disaster against humanity. Ukipata mwenza sahihi, heaven itahamia chini ya dari lenu. Ukikosea kupata mwenza sahihi hakika kuzimu itawafurahia sana na itajidhihirisha kwenu.

Msanii wa JF
Aisee pole sana..
 
Wanaume ndoa zinatukaanga sana ni vile tu hatusemi.Wake zetu wanafiki sana, rafiki yangu mmoja nje wanaonekana bonge la familia, furaha muda wote, mke anampost mme kila uchwao na maneno mazuri chini..Hee! Siku jamaa kaanza kunipa visa na kuniambia ana mpango wa kutafuta mchepuko nilichoka...walokole kabisa first grade.
Ndoa jau, basi tu...Wanawake ni kama watoto yaani, wana emotions na maamuzi ya ajabu balaa.Sijui kwa nini waliumbwa hivyo??
 
Great Thinkers,

Kama heading inavyojieleza; mimi Msanii nimeoa na pia tumejaliwa watoto 2. Ninawapenda sana hawa watoto. Naamini ni zao la ndoa yetu.

Wengi wanaonifahamu, wanajua mapito ninayoyapitia kwenye hii ndoa. I tried so hard to humble myself na kuwa kiongozi wa familia kwa kutotumia misuli ya mwili dhidi ya matumizi ya akili kwenye hii ndoa.

Kwanza kabisa, naomba ku-declare my position kwamba, matendo au matukio ya mwanamke mmoja au mwanaume mmoja siyo justification ya tabia za jumla kwa wanawake ama wanaume wote.

Kikubwa ni kwamba nawaasa vijana wanaotaka kuingia kwenye mahusiano ya ndoa, wajitahidi kutafuta wenza wanaoendana nao. Usisite kuachana na toxic relationship. Ni bora usieleweke na jamii lakini ukaelewa kile unachokifanya kwa manufaa ya nafsi yako. Bahati mbaya sana tumezitosa mila na tamaduni zetu tumezipiga chini kwa ujumla wake. Badala ya kuchagua desturi nzuri na kuachana nazo zile mbovu.

Ndoa yangu haipo katika good shape. Mitikisiko ninayokumbana nayo imenipatia stress na sasa ninaishi kwa Neema za Mungu baada ya kupigwa stroke (kiharusi). Bado ni mwanaume kamili lakini nimejirudi ktk abstaining lane kwa sababu kwa sasa nailinda sana nafsi yangu over tamaa za mwili. Mwaka wa nne sasa nimemuweka mbali shemeji na wifi yenu. Sijaachana naye lakini nina amani yupo mbali kwa sasa.

Niliamua kuwa mkimya kwa muda mrefu sana, Namshukuru binafsi rafiki yangu Dr. Mariposa kunichomoa mafichoni.

For the sake of humility and a long, healthy life, ni busara ndoa zikaangaliwa kwa pande mbili. Moja as perfect intimacy na mbili as disaster against humanity. Ukipata mwenza sahihi, heaven itahamia chini ya dari lenu. Ukikosea kupata mwenza sahihi hakika kuzimu itawafurahia sana na itajidhihirisha kwenu.

Msanii wa JF
Pole sana mwanangu!
 
Pole sana. Naamini red flags zilikuwepo hata kabla hujamuoa ila kwa kuwa ulikuwa kwenye penzi jipya, you ignored them; na sasa unajuta.

I hope with good therapy hiyo stroke unai-manage vizuri. Epuka stressful situations maana ukishapata stroke au heart attack, nyingine may be just around the corner. Be very very careful!
Red flags zilikuwepo nikajiona nina busara sana kumanage.
Kitu kinachonishangaza, ukoo na jamii inayotuzunguka wananiona genious, mshauri na kiongozi. Hiyo ni kabla na hata baada ya ndoa. Balaa ni kuwa mke wangu treats me as imbecile and hopless. Lakini Mungu ananifariji sana kupitia wanangu na friends
 
Rafiki yangu Msanii pole sana kwa kila kilichokutokea, tumeongea mengi, zaidi ni kuilinda afya yako ya mwili na afya ya akili,
Hongera kwa uzi huu naimani umewafunza kitu na wengine ambao wanataka kuingia kwenye taasisi ya ndoa,

Wana Jamii Forum tuzidi kumuombea mwanachama mwenzetu afya yake iimarike na kwa wale watakaoguswa kumchangia chochote muongozo utatolewa na uongozi wa Jamii Forum ili tumpige tafu mwenzetu kwenye kipindi hiki kigumu anachopitia.
Mungu akubariki sana kwa wema na baraka zako.

There is a smile kwenye uso wangu since umenitoa mafichoni
 
Pole sana mkuu.
Changamoto za ndoa huwa kubwa zaidi pale unapokuwa na watoto.
Ni vipi utawaacha watoto wawe na mzazi mmoja baba au mama , hii kidogo ina leta shida.

Kama wanaume tunapaswa kujua wenzetu ni dhaufu kwa baadhi ya mambo hivyo tunapo lalamika matokeo ya udhaifu wao sisi nasintuna hesabiwa dhaifu pamoja nao.

Kumkimbia mwanamke kisa ana changamoto hizi na zile ni udhaifu, kuathirika kwa sababu ya changamoto za mwanamke ni udhaifu.
Na hili ni kubwa zaidi kwa vijana wa sasa,ukiskiza sababu nyingi zinazowafanya watu watengane hazina mashiko ni vile tu tumekosa ustahimilivu kwenye baadhi ya mambo
 
Red flags zilikuwepo nikajiona nina busara sana kumanage.
Kitu kinachonishangaza, ukoo na jamii inayotuzunguka wananiona genious, mshauri na kiongozi. Hiyo ni kabla na hata baada ya ndoa. Balaa ni kuwa mke wangu treats me as imbecile and hopless. Lakini Mungu ananifariji sana kupitia wanangu na friends
Hold on to what you believe,sometimes tunapoteza abilities zetu sababu ya kuwa disapointed na hawa wenzi wetu
 
Ndio maana mtu unatakiwa sana kulinda moyo na akili visijeruhike, how? Mtu/binadamu anaweza badilika mda wowote so USIWEKEZE matarajio makubwa sana kwake.
Japo watu wazuri bado wapo lakini.
 
Back
Top Bottom