Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 9,293
- 12,874
Sioni sababu ya kung'ang'ania ndoa km unaona haiendi vizuri unaachana tuu yanini nife bwana
Pole sana MsaniiMsanii wa JF
nashukuru Mungu najitahidi kucontrol haliMungu akulinde hakika usipate stroke kama iliyonipiga
Achana nae. Huyo mama ana shida sana."Huyu sio baba yenu kawatelekeza,kishaomba uhamisho"
Japo hao watoto Bado wanaishi kwenye nyumba tuliyoijenga,nikinunua mahitaji anarudisha yalipotoka!!
Sasaa weww hii inakupa unafuu gani?Kinachonifurahishaga humu wanaume wengi wanatuonaga wanawake WA huku ni Malaya,masingle Maza ,hatuna ndoa
Ila cha ajabu asilimia 80 wameoa wanawake wabovuu ndoa zao ziko chali zinapumulia oxygen
Ndo sisi sisi ndio.kwani nyie mlidhani sisi tuna dunia yetu sio WA mtaani?Sasaa weww hii inakupa unafuu gani?
Stop comparing. Wanawake hao wabovu si ndio nyie wenyewe maana wa humu ndio hao hao wa mtaani, au wanatoka wapi boss??
Ahahahahah. Bas acha tulalamike tu kwa mnachotufanyaNdo sisi sisi ndio.kwani nyie mlidhani sisi tuna dunia yetu sio WA mtaani?
Vijana wa sasa ,wote ,wakike na kiume hawajaandaliwa kwa ajili ya maisha ya ndoa nilijua..Huu ni ukweli mchungu ,sehemu za mafundisho ya dini zinaandaa hizi mada ila hawapati mtu.
Kiukweli ,elimu yetu sio nzuri katika kufikia malengo ya ndoa ..Zile elimu za zamani zinaonekana kama mila potofu ....Vijana wakakutana hapo Dar chuo ,baadaye wanaanza harakati za ndoa hapo washafanya mapenzi mpaka mimba au mtoto.
Sifurahii ubaya lakini ila tuseme kweli cha Moto mnakionaAhahahahah. Bas acha tulalamike tu kwa mnachotufanya
U R happy cz u r bitter huo ndio ukwel wala usi pretend ni kawaida hii roho kwa mwanamkeSifurahii ubaya lakini ila tuseme kweli cha Moto mnakiona
Ahaaa jamani hapana.why should I do that siko hivo Bana I feel sorry for you guysU R happy cz u r bitter huo ndio ukwel wala usi pretend ni kawaida hii roho kwa mwanamke
Hamna kawaida tu hii haliAhaaa jamani hapana.why should I do that siko hivo Bana I feel sorry for you guys
Kweli sipendi family separations .sio fair kwa watotoHamna kawaida tu hii hali