Ndoa imenizawadia kiharusi

Ndoa imenizawadia kiharusi

Upo sahihi.
Lakini sio wewe muhuni huna hofu ya mungu utafute mke mwenye hofu ya Mungu, ni kwenda kumtesa tu dada wa watu. Hofu ya Mungu muwe nayo wote wawili ndo mambo yataenda vizuri.
Ndege wenye rangi moja huruka pamoja, kwa maana huwezi ukawa unatafuta kitu wewe usiekiishi, ukitafuta anae mcha Mungu ni lazima utakua na hizo chembechembe ,wahuni hawatakagi mambo mengi wao hawanaga vigezo vingi
 
Pole sana mkuu.
Changamoto za ndoa huwa kubwa zaidi pale unapokuwa na watoto.
Ni vipi utawaacha watoto wawe na mzazi mmoja baba au mama , hii kidogo ina leta shida.

Kama wanaume tunapaswa kujua wenzetu ni dhaufu kwa baadhi ya mambo hivyo tunapo lalamika matokeo ya udhaifu wao sisi nasintuna hesabiwa dhaifu pamoja nao.

Kumkimbia mwanamke kisa ana changamoto hizi na zile ni udhaifu, kuathirika kwa sababu ya changamoto za mwanamke ni udhaifu.
Hayajakukuta! Sio kila changamoto inavumilika vema kuinuasuru afya yako,hao wanao wataishi hata usipokuwepo. Tena wanaweza kuishi vzr zaidi ya ulivyokuwepo wewe! Wanaume tujifunze kujijali kibinafsi Kwa sababu Dunia haiko upande wetu
 
Before sijaoa nilikua na soulmate wangu mmoja hang out sana... spending sanaa..michezo ya DO or DARE..

Kuna siku nikampa deadline kua nataka kuoa akasema nimpe muda siku ilipo fika akasema still nimpe muda hapo Mimi pia upande wa pili nilikua na school mates wangu o-level nilimwacha darasa moja tulikua kwenye mahusiano.

Yule school mates wangu alinambia Mimi sieleweli anataka kuolewa so na kweli nilikua na mpoteza kimya kimya nikaenda toa mahari send-off na harusi zilipishana one week kilicho tokea yule SOUL MATE akarudi kwa nguvuuuuuuuu wakati nimeoa.

For sure Mimi nimeoa mtu anae nipenda zaidi ya Mimi navyo mpenda ni mwanamke alie ni shape kwenye vingi na alinijua tangu nikiwa kiranja o- level ni mfano wa mapenzi ya dhatii ambayo ni mpaka kifo aanze yeye au Mimi.

Sikuwa na kazi, pesa alikiwepo tupate kikubwa kidogo hicho hicho kilitutosha tunafichiana siri tuna saidiana tunashirikiana tunasaidiana nilipata ajari nikavunjika mguu sijiwezi chochote aliniogesha, nitawaza kama mwanae hapo hapo alikua mjamzito

Ushaur Oa mwanamke anae kupenda kama ulivyo usi oe matako, sura, pesa, au chochote materially Kuna mengi ya kuandika ngoja Kuna kazi niimalizie hapa
Type hizi dunia hii wapo wachache sana, kizazi cha wavumilivu hakipo. Wenyewe wamekalili kwamba mwanaume akipata hela anaenda kuoa mwengine kwa nilio washuhudia wengi huamua kuoa wanawake walio wavumilia. Nakumbuka wakati mimi na pigwa kibuti nina mwanangu alikuwa kwenye msoto kuliko mimi, ila still demu wake alikuwa anasimamia show,sasa hivi yule demu anakula mazuri ya nchi.
 
Pole sana Bro.

Ni makosa makubwa ulifanya kuwa humble kisa ndoa au Mwanamke mpumbavu. Au kisa watoto.

Wengi wanaotumia mbinu hii walipata matatizo na majanga makubwa kufikia kufa vifo visivyo vyao.

Hii itakuwa Case study Kwa vijana wajifunze. Kwa mwanaume heshima Yako ni muhimu kuliko Familia. Kwa sababu heshima yako ndio ulinzi wako na familia Yako.

Mungu akupe uponyaji urudi katika hali ya kawaida. Yale mambo ya demokrasia tunayoyapigania kwenye siasa huku Ndoani au kwenye familia hayatumiki. Ndoa au Familia Ili ikae sawa inapaswa kutumia mfumo wa Kifalme.
 
Back
Top Bottom