Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 34,074
- 79,456
Pole sana mkuu.
Changamoto za ndoa huwa kubwa zaidi pale unapokuwa na watoto.
Ni vipi utawaacha watoto wawe na mzazi mmoja baba au mama , hii kidogo ina leta shida.
Kama wanaume tunapaswa kujua wenzetu ni dhaufu kwa baadhi ya mambo hivyo tunapo lalamika matokeo ya udhaifu wao sisi nasintuna hesabiwa dhaifu pamoja nao.
Kumkimbia mwanamke kisa ana changamoto hizi na zile ni udhaifu, kuathirika kwa sababu ya changamoto za mwanamke ni udhaifu.
Kumfukuza mtu asiye na nidhamu kwenye taasisi yoyote ni uamuzi wenye Tija siku zote.
Kama Mungu alitufukuza Edeni Kwa upuuzi tulioufanya Nini kinamzuia Mwanaume kumfukuza Mwanamke asiye na adabu? Watoto sio kizuizi.
Ndoa ni taasisi kama taasisi zingine inakamuni na taratibu zake.
Huko Kanisani Kwenye kuna mapadri wanafukuzwa wakikosa Maadili, huko serikali Kila siku tunaona. Kwenye vyama vya siasa halikadhali.
Kumfukuza mtu asiyemeet mahitaji ya taasisi sio udhaifu wa mtawala Bali ni majukumu ya mtawala.
Na ndio maana unaambiwa Mwanaume ni mtawala. Hilo neno mtawala ukianzisha hata Kampuni au ukiwa na uongozi mkubwa katika serikali utalielewa linamaana Gani.