Ndoa imenizawadia kiharusi

Ndoa imenizawadia kiharusi

Before sijaoa nilikua na soulmate wangu mmoja hang out sana... spending sanaa..michezo ya DO or DARE..

Kuna siku nikampa deadline kua nataka kuoa akasema nimpe muda siku ilipo fika akasema still nimpe muda hapo Mimi pia upande wa pili nilikua na school mates wangu o-level nilimwacha darasa moja tulikua kwenye mahusiano.

Yule school mates wangu alinambia Mimi sieleweli anataka kuolewa so na kweli nilikua na mpoteza kimya kimya nikaenda toa mahari send-off na harusi zilipishana one week kilicho tokea yule SOUL MATE akarudi kwa nguvuuuuuuuu wakati nimeoa.

For sure Mimi nimeoa mtu anae nipenda zaidi ya Mimi navyo mpenda ni mwanamke alie ni shape kwenye vingi na alinijua tangu nikiwa kiranja o- level ni mfano wa mapenzi ya dhatii ambayo ni mpaka kifo aanze yeye au Mimi.

Sikuwa na kazi, pesa alikiwepo tupate kikubwa kidogo hicho hicho kilitutosha tunafichiana siri tuna saidiana tunashirikiana tunasaidiana nilipata ajari nikavunjika mguu sijiwezi chochote aliniogesha, nitawaza kama mwanae hapo hapo alikua mjamzito

Ushaur Oa mwanamke anae kupenda kama ulivyo usi oe matako, sura, pesa, au chochote materially Kuna mengi ya kuandika ngoja Kuna kazi niimalizie hapa
Misamiati:-

Matako,kuoa,soulmate,ajali,vunjika mguu,Do dare,sura,pesa!!

Aiseh sawa hapo kwenye matako na sura hapo!!

KAZI na utu tunasongambele!
 
Mm nimejitafta kidogo c mbaya mtaji nimepambana kuupata mtaa mgumu nawaza kuleta malaya aje tugawane nirudi tena shamba.
kama nikipata watoto watatu wa kununua m na nunua nimetafta mwanamke wa kuoa nimechemsha wengi single mother alafu wanajifanya kondoo.
uingie kumi na nane lakini yule jamaa wa facebook amenitisha sana kwa hiyo naiomba selikali itueleweshe jinsi ya kuwachukua watoto yatima
 
Ndoa ni kitu kizuri ukibahatisha kupata mtu sahihi, Wallah ukikosea basi bora hata kufungwa jera miaka 5 kuliko migogoro ya ndoa.
Kama umejitenga na hilo tatizo kwanza shukuru Mungu, sasa usimsaliti Mungu kuanza kwenda kuombana msamaha utakufa kabisa.
Ndoa inaweza kukufanya ukageuka tapeli, mwizi, muongo kisa unampigania mtu ambaye akitoka nje hajui hata tone la thamani ya jinsi unavyojitoa.
Sasa hivi kauli yako iwe moja tu, mtu akija kwako mwambie tu neno moja, unataka baki hutaki ondoka na usijaribu kumhubiria mtu mzima, hizo tabia mbaya unazotaka azibadilishe ilitosha kwa wazazi wake kuzibadili au Mungu wake, Sasa wewe jipe jukum la Mungu na wazazi wake uone utakavyopotea.
 
Great Thinkers,

Kama heading inavyojieleza; mimi Msanii nimeoa na pia tumejaliwa watoto 2. Ninawapenda sana hawa watoto. Naamini ni zao la ndoa yetu.

Wengi wanaonifahamu, wanajua mapito ninayoyapitia kwenye hii ndoa. I tried so hard to humble myself na kuwa kiongozi wa familia kwa kutotumia misuli ya mwili dhidi ya matumizi ya akili kwenye hii ndoa.

Kwanza kabisa, naomba ku-declare my position kwamba, matendo au matukio ya mwanamke mmoja au mwanaume mmoja siyo justification ya tabia za jumla kwa wanawake ama wanaume wote.

Kikubwa ni kwamba nawaasa vijana wanaotaka kuingia kwenye mahusiano ya ndoa, wajitahidi kutafuta wenza wanaoendana nao. Usisite kuachana na toxic relationship. Ni bora usieleweke na jamii lakini ukaelewa kile unachokifanya kwa manufaa ya nafsi yako. Bahati mbaya sana tumezitosa mila na tamaduni zetu tumezipiga chini kwa ujumla wake. Badala ya kuchagua desturi nzuri na kuachana nazo zile mbovu.

Ndoa yangu haipo katika good shape. Mitikisiko ninayokumbana nayo imenipatia stress na sasa ninaishi kwa Neema za Mungu baada ya kupigwa stroke (kiharusi). Bado ni mwanaume kamili lakini nimejirudi ktk abstaining lane kwa sababu kwa sasa nailinda sana nafsi yangu over tamaa za mwili. Mwaka wa nne sasa nimemuweka mbali shemeji na wifi yenu. Sijaachana naye lakini nina amani yupo mbali kwa sasa.

Niliamua kuwa mkimya kwa muda mrefu sana, Namshukuru binafsi rafiki yangu Dr. Mariposa kunichomoa mafichoni.

For the sake of humility and a long, healthy life, ni busara ndoa zikaangaliwa kwa pande mbili. Moja as perfect intimacy na mbili as disaster against humanity. Ukipata mwenza sahihi, heaven itahamia chini ya dari lenu. Ukikosea kupata mwenza sahihi hakika kuzimu itawafurahia sana na itajidhihirisha kwenu.

Msanii wa JF
Hapa Liverpool VPN kapiga hattrick na assist zote ametoa dronedrake matokeo hayo yanaifanya team kataa ndoa kubeba point nyingine 3 na kuwa kwenye hali ya kutoshikika kabisa
 
Mkuu
Nilipigwa na stroke upande mmoja ulikata kabisa. Mdomo ulipinda, mkoni full kifuani, mguu wala siusikii. Nikiinua hatua najikuta nauburuza au hata kuanguka. Wheelchair ilikuwa ni msaada kwangu.

Mpaka sasa naweza kuandika ujue Mungu amenitendea muujiza wa karne
Mwanamke anakusumbua,kukufanyia vituko,kukutesa pale anahisi huna option nyingine kwenye maisha!

Baada ya kusumbuka nifanye Nini Kwa muda mrefu sana!hasa matukio fulani ya hovyo yenye kuaibisha niliyofanyiwa 2023/2025!!!nilipata kasafari ka ghafula sana kwenda nyumbani na kumueleza Mzee kwa kina!!

Akaniuliza unaogopa nini mwanangu!!?kwani si nilikuzaa ukiwa uchi maskini na huna chochote na siku mungu akikuita SI atakuita huna kitu!!?kwani uhangaike sana kiasi hiki!!?unabembeleza Nini!?Mali ulizochuma nae!?watoto!!?kwani Mungu akiamua kuvichukua vyote utazuia mwanangu!!?

Nilikosa majibu,akasema "Oa tena mke mwingine ,haijalishi wewe ni mkristo,mlokole au muislam oa tena na akikusumbua na huyo oa tena just oa tena kuliko kufanya uzinzi was reja reja we oa tu,mwisho uatapata yule utakae Trulia nae!!

"Hukuumbwa kuvumilia mwanamke,hujui kwao karithishwa nini,inawezekana karithishwa kutokua na huruma Wala kujali ulipomtoa na mlipo fika,just Oa tena!!

Nikaoa tena bila kujali hatua atakazochukua huyu niliekua nae,vyovyote atakavyoamua aamue,akiamua kuolewa aolewe,akiamua kuhama shame,akiamua kuwaambia watoto hawana baba ,Mungu anamjua baba yao!I dont care!!

Sisi wanaume ifikie hatua tujipende ,tuache kujitoa sana mhanga kwa wanawake kisa watoto wewe sio Mungu Hadi uapnge hatma ya watoto wako watakavyokua hapo baadae!timiza wajibu TU,usijitoe mhanga kabisa!hakikisha wanakula,kulala wanavaa plus wanaenda shule kusoma,hatma anaijua mungu tu!!

Chukua hiyo comrade!!
 
Mwanaume anapendeza akiwa muhuni hata kama ni kidogo tu. Sasa mwanaume awe amepooza tu, hana udikteta hata kidogo, hana circle ya wanawake wa kumpa wasiwasi kidogo wife. Hiyo ndoa si itakua bored.
Ukipata muhuni mwenzako itapendeza pia.
 
Pole sana mkuu.
Changamoto za ndoa huwa kubwa zaidi pale unapokuwa na watoto.
Ni vipi utawaacha watoto wawe na mzazi mmoja baba au mama , hii kidogo ina leta shida.

Kama wanaume tunapaswa kujua wenzetu ni dhaufu kwa baadhi ya mambo hivyo tunapo lalamika matokeo ya udhaifu wao sisi nasintuna hesabiwa dhaifu pamoja nao.

Kumkimbia mwanamke kisa ana changamoto hizi na zile ni udhaifu, kuathirika kwa sababu ya changamoto za mwanamke ni udhaifu.
mdhaifu huyo mkuu anamkimbiaje mwanamke badala ya mwanamke ndio akimbie aloo
 
Asante sana mleta mada, hii mada imeniponya sana, niko kwenye stress za ndoa ila baada ya kusoma mada na comments zote nimepata ahueni sana.
😂😂🤣🤣🤣🤣 nyie ao wanawake mnatafutiwaa au??
 
Mkuu pole sana! Haya mambo wanasema yasikie kwa mwingine! Mimi binafsi namshukuru Mungu mambo yanaenda,mimi Mnyakyusa huyu wangu Muhaya,mwanzoni mwanzoni alileta za nshomile,nikampiga matukio mawili matakatifu akatulia...saiz adabu ipo tunasonga yuko very submissive
safi mkuu mwanamke akimbiwi akileta vituko usihangaike piga matukio akili itamkaa
 
Haya ni maelezo ya upande mmoja, vipi kama hapa Mwanaume ndio changamoto?
 
Nice guys wenyewe ndio hawa wakina mtoa post. Mwisho wa wema wao ni majuto tu. Nyie wanawake wa kiafrika ili kwdnda nanyi sambamba lazima mwanaume awe dikteta mixer muhuni kidogo. Mwanaume mwema huwa mnamuona fala
Sio kweli ni mtazamo wako tu
 
Asante sana mleta mada, hii mada imeniponya sana, niko kwenye stress za ndoa ila baada ya kusoma mada na comments zote nimepata ahueni sana.
Mungu akulinde hakika usipate stroke kama iliyonipiga
 
Mwanamke anakusumbua,kukufanyia vituko,kukutesa pale anahisi huna option nyingine kwenye maisha!

Baada ya kusumbuka nifanye Nini Kwa muda mrefu sana!hasa matukio fulani ya hovyo yenye kuaibisha niliyofanyiwa 2023/2025!!!nilipata kasafari ka ghafula sana kwenda nyumbani na kumueleza Mzee kwa kina!!

Akaniuliza unaogopa nini mwanangu!!?kwani si nilikuzaa ukiwa uchi maskini na huna chochote na siku mungu akikuita SI atakuita huna kitu!!?kwani uhangaike sana kiasi hiki!!?unabembeleza Nini!?Mali ulizochuma nae!?watoto!!?kwani Mungu akiamua kuvichukua vyote utazuia mwanangu!!?

Nilikosa majibu,akasema "Oa tena mke mwingine ,haijalishi wewe ni mkristo,mlokole au muislam oa tena na akikusumbua na huyo oa tena just oa tena kuliko kufanya uzinzi was reja reja we oa tu,mwisho uatapata yule utakae Trulia nae!!

"Hukuumbwa kuvumilia mwanamke,hujui kwao karithishwa nini,inawezekana karithishwa kutokua na huruma Wala kujali ulipomtoa na mlipo fika,just Oa tena!!

Nikaoa tena bila kujali hatua atakazochukua huyu niliekua nae,vyovyote atakavyoamua aamue,akiamua kuolewa aolewe,akiamua kuhama shame,akiamua kuwaambia watoto hawana baba ,Mungu anamjua baba yao!I dont care!!

Sisi wanaume ifikie hatua tujipende ,tuache kujitoa sana mhanga kwa wanawake kisa watoto wewe sio Mungu Hadi uapnge hatma ya watoto wako watakavyokua hapo baadae!timiza wajibu TU,usijitoe mhanga kabisa!hakikisha wanakula,kulala wanavaa plus wanaenda shule kusoma,hatma anaijua mungu tu!!

Chukua hiyo comrade!!
Ulivyooa mwanamke mwingine, mke wa kwanza alifanyaje?
 
Back
Top Bottom