Nakubaliana na wewe. Kwenye free fall, momentum yote ya ndege inaishia humo, ukizingatia kina ni kifupi.Sidhani kama ilikuwa free fall. Rubani angeishusha kama vile anatua uwanjani, alipatia almost 80% ndio maana vifo vilikuwa vichache. Free fall au nose down asingechomoka mtu japo ni majini.
Wazungu nao bado mnawaamini sana.na kwanini aseme kipindi hiki.Sasa kama wanaleta ndege ambazo huko nje zimeonekana hazifai hapo kuna usalama kweli?
Sijakataa usafiri wa ndege ni safe ila imagine hiyo ndege ingecrush kwenye runway ikalipuka impact ni kubwa zaidi
Sahii kabisa,Sidhani kama ilikuwa free fall. Rubani angeishusha kama vile anatua uwanjani, alipatia almost 80% ndio maana vifo vilikuwa vichache. Free fall au nose down asingechomoka mtu japo ni majini.

Hata kwenye Titanic,Economy class kumbe nzuri. Business Class wote wameondoka Kwa muonekno huo.
Wapumzike Kwa Amani.
Yule mtabiri ni mchawi, ahojiwealisema itakatika katiati ..
You got a 12” clitoris! So your asshole is relevant. Bitch. Now you’re a Countrywide whore getting it both ways.How deep is ur cave? I really want to kiss and lick, then my 12" inside
Hapo tatizo lipo kweli inakuaje kuaje mpaka zikanunuliwa au kampuni halina wataalamu wa maswala ya ndege na ukaguzi uthibiti ubora..Sasa kama wanaleta ndege ambazo huko nje zimeonekana hazifai hapo kuna usalama kweli?
Sijakataa usafiri wa ndege ni safe ila imagine hiyo ndege ingecrush kwenye runway ikalipuka impact ni kubwa zaidi
Kwanini ahojiwe kwa kutabiri?... atoe tamko tu litatosha kuamsha waliolala.Yule mtabiri ni mchawi, ahojiwe
Pole jiraniTupo kwnye msiba jirani yangu hapa, tunasubiri mwili kesho tuzike. Mungu awalaze mahala pema peponi
Asante..tuziombee familia zao Mungu awape faraja inasikitisha sana.Pole jirani
AmenAsante..tuziombee familia zao Mungu awape faraja inasikitisha sana.
Kwanini?Hata kwenye Titanic,
Economic class ndo walisavaivu wengi