Tashacobbs
JF-Expert Member
- Jun 18, 2022
- 572
- 1,563
Tiririka mkuuNina rafiki yangu Mkenya na nina pilot mkongwe alileta same story siku ya event naweza kukupa ushuhuda?
Tiririka mkuuNina rafiki yangu Mkenya na nina pilot mkongwe alileta same story siku ya event naweza kukupa ushuhuda?
Tuwekee screenshot au clip ya huyo mtabiri mkuukumbe yule mtabiri siyo tambi tambi
Countrywide pussy, you wanna suck dis or you want it from behind? Countrywide whore. Your ass is itching biyatch. Come get some.Hello Jack, how's it goin? you are so cute i could just eat you up
Thank you much sweetheart.
Yaani wamekimbilia kutoa miili badala ya kuokoa. Inatia hasira sanaMi Bado najiuliza,Hawa kenge wenye Kombat walikuwa wapi jana?hapa kwenye msiba kubeba majeneza wamefata posho tu
Ngoja nikuleteeTiririka mkuu
Nadhani wote tunaijua speed ya ndege. Tunazoongea hapa ni assumptionsRubani mzoefu na shupavu anaweza fanya gliding kilomita chache kutegemea na umbali walipo angani. Kama ndege imetokea upande wa Kyaka badala ya Musira kuna shida, ila ingekuwa injini zimefeli zote wakikaribia kutua bado rubani angeweza tembea kidogo na akatua kwenye maji bila impact mbaya hivi. Inategemea na uwezo wa rubani
Momentum ya ndege unaijua? Ni kasi yake zidisha kwa uzito wake. Inaonekana ilikuwa katika usawa wa kutua, ikashukia majini, siyo kwa kuanguka sulubi kutoka juu, bali almost sambamba na ardhi kana kwamba inaelekea kwenye touch-point majini.Shuhuda mmoja, ambaye ni mvuvi wa eneo hilo, anasema mahali ambapo ndege ilizama ni eneo lenye mchanga tu na hakuna miamba. Sasa huko kupinda (kuvunjika) kwa hiyo ndege mbona kunaashiria kama ilikita kwenye kitu kigumu?
How deep is ur cave? I really want to kiss and lick, then my 12" insideCountrywide pussy, you wanna suck dis or you want it from behind? Countrywide whore. Your ass is itching biyatch. Come get some.
Ingekuwa hivyo, sehemu ya mbele ingeharibika kabisa (ila sasa kuna mvunjiko wa kawaida). Imagine kasi ya ndege yenye tani 20!Yes nahisi maana kitaalam hapo inahitaji definition ya hiyo impact tunayoiona pichani.
Kama ni kutua, ndege haijibamizi wakati wa kutua.
Nakubaliana na assumption yako kuwa injini ilizima. Nadhani itakuwa busara endapo uchunguzi wa hii ajali utahusisha na wataalam kutoka kampuni iliyotengeza ndege
Namjua muda si mrefu nitatuma wasifu wakeInasikitisha kwakweli. Mi bado nalia na yule aliyemkataza majaliwa asivunje kioo.
Hivi hakuna njia itakayoweza kumbaini kweli?
I agree kuhusu maelezo yanayofuata. Lakini Hero Majaliwa alikuwa na sababu gani ya kusema uongo, mkuu? Kwamba aliwaona rubani na probably first officer wakiwa hai, na akazuiwa kuvunja kioo.Yule muokoaji Majaliwa alidai walimpa ishara avunje vioo. Sikuamini maelezo yake 100% ila uwezekano wa marubani kupona kwenye impact upo.
Kwanza ndege imeharibiwa zaidi wakati inavutwa maana mwanzo walivuta bila kuinyanyua. Na cockpit iko juu ya kichwa cha ndege, mbele hiyo canopy bado nzima ingawa pia huwa ni imara. Kwa hiyo impact ya crash yawezekana haikuwaua marubani.
My assumptions
Usikute impact ya ndege at touch point ilipasua kabisa sehemu hiyo ya mbele kwa chini (kwenye kifua). Just saying. Kama hii ni kweli, basi ndege ilikuwa na tatizo mojawapo la landing gear.Mkuu Tairi zinaonekana, Angalia hapo chini ya Mbawa
Acha matusi ..muoneHow deep is ur cave? I really want to kiss and lick, then my 12" inside
Una maneno machafu sana ..sijui whyHello Jack, how's it goin? you are so cute i could just eat you up
Mods piga ban huyuHello Jack, how's it goin? you are so cute i could just eat you up
Another observation which must not be ignored ni kwamba ile impact ya ndege ya tani 20 kwa kasi hiyo, wakati mwingine inasababisha kulegea kwa systems za landing gears.Waliolizia matairi hayo hapo ya mbele na nyuma yanaonekanaView attachment 2410363
Ukweli tutaujua kwa kupata mawasiliano baina ya tower na rubaniAnother observation which must not be ignored ni kwamba ile impact ya ndege ya tani 20 kwa kasi hiyo, wakati mwingine inasababisha kulegea kwa systems za landing gears.
So, usikute impact yenyewe ndiyo chanzo cha kuachia kwa landing gears. Just saying. I was not there.
wataalam mnatufungua fahamuIngekuwa hivyo, sehemu ya mbele ingeharibika kabisa (ila sasa kuna mvunjiko wa kawaida). Imagine kasi ya ndege yenye tani 20!
Ukiona imeharibika zaidi sehemu ya mbele KWA CHINI. Maana yake ni kwamba ilikuwa katika usawa wa kutua, yaani sambamba na ardhi (au maji). Haikushuka moja kwa moja kutoka juu na kuanguka kichwa chini. I don't think so.