Waliopona ni waliokuwa nyuma ya impact zone....Hata wale waokoaji waliozamia ndani ya ndege walisema hilo.
Walisema walikuta wengine washakata moto, wana majeraha usoni na wengine mikanda ilikua imewabana so walifirukuta hapo mpka wakakata moto, hasa waliokua wamekaa mbele.
Acha kuzidi kuumiza watu wewe. Mkristo hatakiwi kuwa hivi jinsi ulivyoHamna aliyekufa kwasababu ya maji
Hii helkopta ilitumia milioni 90
Hapo nimefanya nini cha kumuumiza mtu? Kama uliona zile maiti hakuna hata moja iliyokuwa imejaa maji tumboni. Watu walivunjika kwenye impact na waliopona ni wale wa nyuma.Acha kuzidi kuumiza watu wewe. Mkristo hatakiwi kuwa hivi jinsi ulivyo
Angalia tena mkuu..hakuna tairi nje. Inawezekana kabisa landing gear ilifail.Aliyesema Landing Gear zilifail mmeona hapo matairi yapo nje tayari?
Brethren tuzidi kuombewna uzima na afya.Hapo nimefanya nini cha kumuumiza mtu? Kama uliona zile maiti hakuna hata moja iliyokuwa imejaa maji tumboni. Watu walivunjika kwenye impact na waliopona ni wale wa nyuma.
Yes nahisi maana kitaalam hapo inahitaji definition ya hiyo impact tunayoiona pichani.Hiyo ndege yaonekana engine zilizima ikashuka moja kwa moja
Yule muokoaji Majaliwa alidai walimpa ishara avunje vioo. Sikuamini maelezo yake 100% ila uwezekano wa marubani kupona kwenye impact upo.Wale marubani yawezekana kwa 100% walikatika miguu maana kwa hiyo impact wasingebaki wazima
Mkuu Tairi zinaonekana, Angalia hapo chini ya MbawaAngalia tena mkuu..hakuna tairi nje. Inawezekana kabisa landing gear ilifail.
Matairi ya nyuma hayo ila hatujaona ya mbele. Na hata nyuma naona la kulia, la kushoto silioniAliyesema Landing Gear zilifail mmeona hapo matairi yapo nje tayari?