Rubani mzoefu na shupavu anaweza fanya gliding kilomita chache kutegemea na umbali walipo angani. Kama ndege imetokea upande wa Kyaka badala ya Musira kuna shida, ila ingekuwa injini zimefeli zote wakikaribia kutua bado rubani angeweza tembea kidogo na akatua kwenye maji bila impact mbaya hivi. Inategemea na uwezo wa rubaniKumbe impact ilikuwa kubwa ndio maana marubani walifariki.
Hio impact lazima uzimie kwa muda kiasi unakufa maji.
Ndio hapo siwezi rule out failure ya landing gear. Sijaona matairi yote naona moja tu. Hayo mengine sijui yalijitokeza nje au yalifeliKutokana na impact si rahisi ya mbele kuonekana
Hizo engine mbili sio chini ya bilioni tano; Scrapp value!ivi apo scraper zinauzika? ama kutumikaee?
Mi Bado najiuliza,Hawa kenge wenye Kombat walikuwa wapi jana?hapa kwenye msiba kubeba majeneza wamefata posho tuHii ndege kwa jinsi ilivyobondeka mbele, haikuwa 'runway overshoot', yawezekana palikuwa na shida, ni wakati uchunguzi wa makini ufanyike.
Ni kama 'imestall'. Aliyesema alifanya mawasiliano na marubani aliwasiliana nao kwa njia gani? Maji yamewaanza marubani kwanza.
Hiyo athari kutokana na hizi picha yaonesha wengi wamekufa kabla ya maji kuwakuta kutokana na kuvunjika viungo.
View attachment 2410269View attachment 2410270
Bado usafiri wa ndege utabaki kua salama zaidi ukilinganisha na zingine tu mkuu, ajali haiepukiki.... Road trips kwa siku zinachinja wangapi TZ na hata duniani kote? TZ hii ni ajali ya ngapi ya ndege kutokea ndani ya miaka 10 tu na ukilinganisha na za barabarani?Nimesikiliza yule mmama wa CNN alikua anasema hizo ndege marekani zilishazuiwa kutumika as zilianguka zinaanguka sana especially kwenye kutua kama sehemu ina ice au hali ya baridi zaidi
Sasa nimejiuliza mabeberu wao wamezizuia kwao iweje sie ndo tuzitumie?
Hii Afrika Mungu atutetee tu!
Bora tubakie kwenye road trip kwa staili hii,
Sidhani kama ilikuwa free fall. Rubani angeishusha kama vile anatua uwanjani, alipatia almost 80% ndio maana vifo vilikuwa vichache. Free fall au nose down asingechomoka mtu japo ni majini.Hiyo ndege yaonekana engine zilizima ikashuka moja kwa moja
Nose down mbaya kweli asingepona mtu ingesaga watu wote hapo wangekuta ndege yote imesambaa vipande probably hata ingelipuka kabisa..Sidhani kama ilikuwa free fall. Rubani angeishusha kama vile anatua uwanjani, alipatia almost 80% ndio maana vifo vilikuwa vichache. Free fall au nose down asingechomoka mtu japo ni majini.
Sasa kama wanaleta ndege ambazo huko nje zimeonekana hazifai hapo kuna usalama kweli?Bado usafiri wa ndege utabaki kua salama zaidi ukilinganisha na zingine tu mkuu, ajali haiepukiki.... Road trips kwa siku zinachinja wangapi TZ na hata duniani kote? TZ hii ni ajali ya ngapi ya ndege kutokea ndani ya miaka 10 tu na ukilinganisha na za barabarani?
Economy class kumbe nzuri. Business Class wote wameondoka Kwa muonekno huo.Hii ndege kwa jinsi ilivyobondeka mbele, haikuwa 'runway overshoot', yawezekana palikuwa na shida, ni wakati uchunguzi wa makini ufanyike.
Ni kama 'imestall'. Aliyesema alifanya mawasiliano na marubani aliwasiliana nao kwa njia gani? Maji yamewaanza marubani kwanza.
Hiyo athari kutokana na hizi picha yaonesha wengi wamekufa kabla ya maji kuwakuta kutokana na kuvunjika viungo.
View attachment 2410269View attachment 2410270
Huyo mtabiri anaitwa nani mkuu?Mtabiri katisha
maharage ya ukweniHuyo mtabiri anaitwa nani mkuu?
Hello Jack, how's it goin? you are so cute i could just eat you upHuyo mtabiri anaitwa nani mkuu?
Nina rafiki yangu Mkenya na nina pilot mkongwe alileta same story siku ya event naweza kukupa ushuhuda?Nimesikiliza yule mmama wa CNN alikua anasema hizo ndege marekani zilishazuiwa kutumika as zilianguka zinaanguka sana especially kwenye kutua kama sehemu ina ice au hali ya baridi zaidi
Sasa nimejiuliza mabeberu wao wamezizuia kwao iweje sie ndo tuzitumie?
Hii Afrika Mungu atutetee tu!
Bora tubakie kwenye road trip kwa staili hii,
Sikumbuki kama alieleza itakatika katikati na kuachana kabisa.Yaani kipande kimoja kibaki hapa na kingine kuleee!alisema itakatika katiati ..