Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,389
- 1,258
WanaJF, Salaam!
Nimeandika machache tu kuhusu nchi zenye rekodi ya ukosoaji na ufuatiliaji wa masuala ya uchaguzi na matokeo yake barani Africa ikiwemo Tanzania.
Jumuiya za kimataifa zinapaswa kuheshimu matokeo ya uchaguzi mkuu uliowaweka wagombea wengi wa CCM madarakani kwa kuwa utashi wa wengi ni Sheria (The Will of the many people is the best law). Wengi wa watanzania walifuatilia kampeni, walilinganisha wagombea, kisha tarehe 28 Oktoba 2020 walichagua waliyemtaka. Sasa inasikitisha kuona mara Marekani yatahadhalisha! Mara UK yatoa onyo, - tuacheni huru kwa sisi wenyewe tunaamua juu ya viongozi tuwapendao na chama tukipendacho!
Mahakama ya kimataifa ikiingilia Uhuru wetu wa maamuzi basi ni vizuri tujitoe, tuwaachie mahakama yao iliyoundwa kwa ajili ya Africa - iliyoundwa kwa maslahi ya mabeberu na vibaraka wa mabeberu.
Nchini Tanzania zipo mahakama, kama kuna jambo basi lipelekwe kwenye mahakama hizo lkn si kutumia migogoro kidogo iliyojitokeza kwenye uchaguzi kuharalisha watu kwenda ICC - kesi ya Baganda (Police) mbn ilisikilizwa nchini na shauri Kutolewa kwa haki! Kesi ya Eng Chiza kupinga matokeo na ushindi dhidi ya Bilago mbn ilisikilizwa nchini na CDM walishinda!
Kesi ya mauaji ya Mwangosi mbn ilifunguliwa na wahusika kuwajibishwa - kwa ufupi tu ifahamike kwamba migogoro iliyojitokeza kabla, wakati, na baada ya uchaguzi kama nchi tunaimudu kuitatua - UK, US nk tuacheni tuitatue wenyewe!
Note:
Dkt Magufuli hajawahi kushindwa na asingeshindwa ktk uchaguzi mkuu huo
Nimeandika machache tu kuhusu nchi zenye rekodi ya ukosoaji na ufuatiliaji wa masuala ya uchaguzi na matokeo yake barani Africa ikiwemo Tanzania.
Jumuiya za kimataifa zinapaswa kuheshimu matokeo ya uchaguzi mkuu uliowaweka wagombea wengi wa CCM madarakani kwa kuwa utashi wa wengi ni Sheria (The Will of the many people is the best law). Wengi wa watanzania walifuatilia kampeni, walilinganisha wagombea, kisha tarehe 28 Oktoba 2020 walichagua waliyemtaka. Sasa inasikitisha kuona mara Marekani yatahadhalisha! Mara UK yatoa onyo, - tuacheni huru kwa sisi wenyewe tunaamua juu ya viongozi tuwapendao na chama tukipendacho!
Mahakama ya kimataifa ikiingilia Uhuru wetu wa maamuzi basi ni vizuri tujitoe, tuwaachie mahakama yao iliyoundwa kwa ajili ya Africa - iliyoundwa kwa maslahi ya mabeberu na vibaraka wa mabeberu.
Nchini Tanzania zipo mahakama, kama kuna jambo basi lipelekwe kwenye mahakama hizo lkn si kutumia migogoro kidogo iliyojitokeza kwenye uchaguzi kuharalisha watu kwenda ICC - kesi ya Baganda (Police) mbn ilisikilizwa nchini na shauri Kutolewa kwa haki! Kesi ya Eng Chiza kupinga matokeo na ushindi dhidi ya Bilago mbn ilisikilizwa nchini na CDM walishinda!
Kesi ya mauaji ya Mwangosi mbn ilifunguliwa na wahusika kuwajibishwa - kwa ufupi tu ifahamike kwamba migogoro iliyojitokeza kabla, wakati, na baada ya uchaguzi kama nchi tunaimudu kuitatua - UK, US nk tuacheni tuitatue wenyewe!
Note:
Dkt Magufuli hajawahi kushindwa na asingeshindwa ktk uchaguzi mkuu huo