Nchi yetu haiwezi kuendelea kama fedha NYINGI Sana zinawekezwa kwenye siasa kulipa MISHAHARA na posho kubwa kubwa!

NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

JF-Expert Member
Oct 29, 2019
8,535
17,477
Nitaendelea kuuimba huu wimbo Hadi DOLA (the state) wausikie!

Kama mishahara ya kufuru na maposho ya makubwa yataendelea kumwagwa kwenye siasa zetu tusahau MAENDELEO ya kweli KWA nchi yetu!

Kama ma PhD holders na maprofesa wataacha kufanya tafiti zao na kukimbilia siasa Ili wapate MAPESA MENGI basi Taifa letu halitoendelea tutashuhudia sarakasi tu KILA awamu!

Leo jeshi la polisi limeamua kuua panyaroad kwa risasi za moto!haya ni matokeo ya kufeli KWA siasa na sera ZETU!yaani Taasisi ya Bunge,Elimu na urais Hauna maana KWA Taifa letu!!wasomi KWA wasio wasomi wote ni vichaa wasiojua kujiongoza hawana maono wala mipango ya KIMAENDELEO zaidi ya kula na kupasuka!!

Ingenichukua mwezi mmoja tu kuondoa posho zote na kushusha mishahara yote na kuwalipa watafiti wenye tija pekee na kuzielekeza kwenye MAENDELEO!!

Nashangaa Taifa langu Tanzania limeamua watu wachache Sana ambao hata jumla hawafiki hata 1000 (WABUNGE,mawaziri na Rais) watafune fedha au Rasilimali nyingi KWA miaka mitano ambazo zingetosheleza kuhudumia mamilioni ya watanzania kwenye sekta za tiba,elimu,VIWANDA na kuzalisha ajira NYINGI!!

Wakati vijana wetu waliokosa ajira na KAZI ya kufanya na kuwa panyaroad wakiuuawa KWA Risasi wanasiasa wapo kwenye ma v8 na viwanja VYA starehe wakitumbua fedha za walipa kodi ambao wengi wao ni masikini na wachuuzi wadogo HUKU mitaani!!

Ina Maana nyie DOLA ndio mnalinda huu mfumo MBOVU!!?yaani mnafurahia kuasisiwa KWA mfumo huu ambao unawaumiza wananchi KWA raha ya WACHACHAE!!?

LABDA WAOMBE NISIPENYE NIKAWA!!

TRUST ME NITAIFANYA KAZI YA SIASA KUWA YA KAWAIDA SANA ZAIDI YA MFUGA KUKU WA KIENYEJI ALIEPO HUKOOO KIJIJINI!!

Nasisitiza siasa inapaswa kuwa kazi ya kawaida Sana kuliko uwalimu, uhasibu,udaktari,uhandisi,ukulima na n.k KWA kuwa KAZI hizo Zina maana na tija Sana kuliko maneno mengi na kulala bungeni na kula maposho kibao ya KILA Safari!!

I rest my case!

Hope mnanifahamu,hakuna pa kujifichia hapa JUKWAANI!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"
 
Kuna baadhi ya UVCCM waliopo humu, watapinga! Ila wakubali tu ulichokiandika ni ukweli mtupu. Na jambo hili linakera wengi.

Yaani unalipa kodi na tozo lukuki! halafu wenyewe wanaenda kununulia Ma V8 yao ya kifahari, na kulipana mishahara na posho nono!! Jambo hili halikubaliki hata kidogo.
 
Nitaendelea kuuimba huu wimbo Hadi DOLA (the state) wausikie!

Kama mishahara ya kufuru na maposho ya makubwa yataendelea kumwagwa kwenye siasa zetu tusahau MAENDELEO ya kweli KWA nchi yetu!

Kama ma PhD holders na maprofesa wataacha kufanya tafiti zao na kukimbilia siasa Ili wapate MAPESA MENGI basi Taifa letu halitoendelea tutashuhudia sarakasi tu KILA awamu!

Leo jeshi la polisi limeamua kuua panyaroad kwa risasi za moto!haya ni matokeo ya kufeli KWA siasa na sera ZETU!yaani Taasisi ya Bunge,Elimu na urais Hauna maana KWA Taifa letu!!wasomi KWA wasio wasomi wote ni vichaa wasiojua kujiongoza hawana maono wala mipango ya KIMAENDELEO zaidi ya kula na kupasuka!!


Ingenichukua mwezi mmoja tu kuondoa posho zote na kushusha mishahara yote na kuwalipa watafiti wenye tija pekee na kuzielekeza kwenye MAENDELEO!!

Nashangaa Taifa langu Tanzania limeamua watu wachache Sana ambao hata jumla hawafiki hata 1000 (WABUNGE,mawaziri na Rais) watafune fedha au Rasilimali nyingi KWA miaka mitano ambazo zingetosheleza kuhudumia mamilioni ya watanzania kwenye sekta za tiba,elimu,VIWANDA na kuzalisha ajira NYINGI!!

Wakati vijana wetu waliokosa ajira na KAZI ya kufanya na kuwa panyaroad wakiuuawa KWA Risasi wanasiasa wapo kwenye ma v8 na viwanja VYA starehe wakitumbua fedha za walipa kodi ambao wengi wao ni masikini na wachuuzi wadogo HUKU mitaani!!

Ina Maana nyie DOLA ndio mnalinda huu mfumo MBOVU!!?yaani mnafurahia kuasisiwa KWA mfumo huu ambao unawaumiza wananchi KWA raha ya WACHACHAE!!?


LABDA WAOMBE NISIPENYE NIKAWA!!

TRUST ME NITAIFANYA KAZI YA SIASA KUWA YA KAWAIDA SANA ZAIDI YA MFUGA KUKU WA KIENYEJI ALIEPO HUKOOO KIJIJINI!!

Nasisitiza siasa inapaswa kuwa kazi ya kawaida Sana kuliko uwalimu, uhasibu,udaktari,uhandisi,ukulima na n.k KWA kuwa KAZI hizo Zina maana na tija Sana kuliko uwalimu maneno mengi na kupaka bungeni na kula maposho kibao ya KILA Safari!!

I rest my case!

Hope mnanifahamu,hakuna pa kujifichia hapa JUKWAANI!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"
Kweli kabisa, bila kuwekeza kwenye tafiti Taifa letu haliwezi kusonga mbele kamwe. Haiwezekani Taifa linatumia mabilioni ya pesa kuwalipa wanasiasa badala ya kuwekeza kwenye elimu/Tafiti, kama Taifa tulikwama mahali.

Leo hii Tunatumia mabilioni ya pesa kununua teknolojia Nje ya Nchi. mfano kuna system za HIS ( Hospital Information Systems) zinatumika kwenye Hospitali zetu hapa Nchini eti zimenunuliwa kwa Kampuni fulani za uko Asia, kwa mabilioni ya pesa, Unajiuliza tunakosea wapi?

Tunashindwa kuwawezesha graduates wa computer science/ IT Waka develop system za kusimamia hutoaji huduma za hospitali zetu hadi tununue kutoka nje?

Data za wagonjwa wetu zipo salama kiasi gani? Je hiyo mifumo tunavyotumia kwenye taasisi zetu nyeti zinausalama kiasi gani? Kwanini tusiamue tuwekeze vya kwetu ambavyo tutakuwa na uwezo wa kuvi monitor?
Naungana na mtoa mada, siasa iwe ya mwisho,

Haiwezekani Daktari /Mtoa huduma wa Afya, anakesha usiku kucha anaokoa maisha ya Watanzania analipwa elfu20 hadi 30, eti mbunge kwa kikao kimoja tena cha masaa anaondoka na zaidi ya laki 2, uko ni kukosa maono kama Taifa.
 
Nitaendelea kuuimba huu wimbo Hadi DOLA (the state) wausikie!

Kama mishahara ya kufuru na maposho ya makubwa yataendelea kumwagwa kwenye siasa zetu tusahau MAENDELEO ya kweli KWA nchi yetu!

Kama ma PhD holders na maprofesa wataacha kufanya tafiti zao na kukimbilia siasa Ili wapate MAPESA MENGI basi Taifa letu halitoendelea tutashuhudia sarakasi tu KILA awamu!

Leo jeshi la polisi limeamua kuua panyaroad kwa risasi za moto!haya ni matokeo ya kufeli KWA siasa na sera ZETU!yaani Taasisi ya Bunge,Elimu na urais Hauna maana KWA Taifa letu!!wasomi KWA wasio wasomi wote ni vichaa wasiojua kujiongoza hawana maono wala mipango ya KIMAENDELEO zaidi ya kula na kupasuka!!

Ingenichukua mwezi mmoja tu kuondoa posho zote na kushusha mishahara yote na kuwalipa watafiti wenye tija pekee na kuzielekeza kwenye MAENDELEO!!

Nashangaa Taifa langu Tanzania limeamua watu wachache Sana ambao hata jumla hawafiki hata 1000 (WABUNGE,mawaziri na Rais) watafune fedha au Rasilimali nyingi KWA miaka mitano ambazo zingetosheleza kuhudumia mamilioni ya watanzania kwenye sekta za tiba,elimu,VIWANDA na kuzalisha ajira NYINGI!!

Wakati vijana wetu waliokosa ajira na KAZI ya kufanya na kuwa panyaroad wakiuuawa KWA Risasi wanasiasa wapo kwenye ma v8 na viwanja VYA starehe wakitumbua fedha za walipa kodi ambao wengi wao ni masikini na wachuuzi wadogo HUKU mitaani!!

Ina Maana nyie DOLA ndio mnalinda huu mfumo MBOVU!!?yaani mnafurahia kuasisiwa KWA mfumo huu ambao unawaumiza wananchi KWA raha ya WACHACHAE!!?

LABDA WAOMBE NISIPENYE NIKAWA!!

TRUST ME NITAIFANYA KAZI YA SIASA KUWA YA KAWAIDA SANA ZAIDI YA MFUGA KUKU WA KIENYEJI ALIEPO HUKOOO KIJIJINI!!

Nasisitiza siasa inapaswa kuwa kazi ya kawaida Sana kuliko uwalimu, uhasibu,udaktari,uhandisi,ukulima na n.k KWA kuwa KAZI hizo Zina maana na tija Sana kuliko maneno mengi na kulala bungeni na kula maposho kibao ya KILA Safari!!

I rest my case!

Hope mnanifahamu,hakuna pa kujifichia hapa JUKWAANI!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"
Hili tatizo la Rais kuanza kushindwa kudhibiti Bunge kutojineemesha mishahara, marupu rupu isiachane sana na matawi mawili ya dola, Mahakama na Utumishi Serikalini si la muda mrefu. Lilianza wakati utaratibu unaotumika sasa wa kuboresha maslahi ya Rais akiistaafu ulipopendekezwa na kupitishwa Bungeni. Ndipo Bunge na hata watumishi wengine wakuu Serikalini walipojiongezea ya kwao! Huo pia ndiyo wakati utambulisho wa magari ya mawaziri na viongozi wengine ulipoanza kutumika kwa kuandika ni waziri wa wizara ipi au ni Mkuu wa nini badala ya namba za Serikali! Mpaka akafikia Spika wa Bunge la Katiba alipothubutu kupendekeza kuwa fedha iliyobaki kutumika iliyotengwa kwa ajili ya Bunge la Katiba wagawane! Hili ni suala la Utawala Bora ambalo wachache sana wanajua maana yake. Haliwezi kubadilika kwa urahisi kwa sababu wanaotakiwa kubadilisha ndiyo wahusika wenyewe. Kuna msigano wa maslahi!
 
All the best mtoa hoja hii kuwa siku ukiwa no 1 utafanya hayo, mimi nikipewa ule wa kukaimu kwa 24hrs nitafanya yafuatayo:Mikoa itabakia 8 tu na mingi itapewa uwezo wa kujisimamia kimaendeleo (people's need services delivered),cabinet itabakia wizara 15 tu na ni wizara 3tu zitakazokua na manaibu nazo ni Elimu, fedha na mipango na police,idara za ajabu kama Basata, msajili wa vyama nitafutilia mbali;bajeti ya police itawekwa police sio kwenye ofisi ya Rais, NEC itafumuliwa na kuundwa upya,Judiciary watakua wako huru kwa kila kitu including budget yao kuwa nchini yao na majaji watafanyiwa usaili sio kusubira fadhila za politicians, freedom of expression, press utatamalaki na ni police tu ndio watakua na arresting power, vyombo vingine vya kiusalama kama tiss cid, bunge litateua mtu kuangalia kuwa utendaji wao upo within laws, ministry of Defence utawekwa ndogo na matumizi yake pia yatawajibika kwa bunge, all military attaches watarudishwa nchini hakuna kitu nchi inanufaika nacho, kufikia 23H59 nitakabidhi nchi Safi kwa muhisika
 
Hivi walamba asali wataelewa??
YANI ILITAKIWA MSHAHARA WALIPWE SAWA NA MWALIMU TU.

TUONE KAMA WANGEENDELEA KUKIMBILIA HUKO.

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom