Hili tumeishashikwa toka Marekani walipoifanya pesa yao kuwa pesa ya dunia. Na jeshi lao kazi yake kubwa ni kulinda hiyo status ya dola. Tukitaka kuachana nayo tuwe tayari kupambana hasa.
Hatuwezi kushindana sisi kama sisi pekee bali kama Africa tunaweza... tukitaka kushindana peke yetu lazima baadhi ya vitu na ujinga tuachane nao..... (Na sababu umezungukwa na walafi na walamba asali ukitaka kwenda ndivyo sivyo utapigwa jungu na unaweza kujikuta pale alipopelekwa Gaddafi

Mfano kutumia mafuta / petrol wakati kuna gesi asilia (ingawa huenda tushauza)...; Mentality kwamba cha ughaibuni ndio bora.., Tamaa ya kupata leo leo (sababu ukiamua kuachana na status quo watakuminya balaa inabidi uwe tayari kufunga mikanda... ; In short wala dollar sio tatizo; bali tatizo ni hatupendi homegrown (moja) na mbili homegrown haina quality....
 
Hatuwezi kushindana sisi kama sisi pekee bali kama Africa tunaweza... tukitaka kushindana peke yetu lazima baadhi ya vitu na ujinga tuachane nao..... (Na sababu umezungukwa na walafi na walamba asali ukitaka kwenda ndivyo sivyo utapigwa jungu na unaweza kujikuta pale alipopelekwa Gaddafi

Mfano kutumia mafuta / petrol wakati kuna gesi asilia (ingawa huenda tushauza)...; Mentality kwamba cha ughaibuni ndio bora.., Tamaa ya kupata leo leo (sababu ukiamua kuachana na status quo watakuminya balaa inabidi uwe tayari kufunga mikanda... ; In short wala dollar sio tatizo; bali tatizo ni hatupendi homegrown (moja) na mbili homegrown haina quality....
Kama Africa tunaweza jaribu, lakini bado volume yetu kwenye biashara ya dunia ni percent chache sana. Wanaweza kutucrash bila hata kutuita mezani kunegotiate. Na ugumu ni kuwa tutahitajika kuwa na mbadala, labda common currency. Na common currency haiwezi kufanya kazi yake bila ya kuwa na shirikisho la kisiasa, waafrika hatuko tayari. Sometimes huwa naona N. Korea walichagua fungu jema.
Hapo kwenye kupenda homegrown goods inabidi nchi ianze sera za protectionism, sera ambazo huleta ukakasi kwa raia.
 
Ongozeni mauzo ya bidhaa na huduma nje ya nchi; punguzeni imports kwa bidhaa au huduma ambazo nchi inaweza kuzalisha.

Wizara ya fedha, viwanda na biashara, kilimo, mifugo na uwekezaji wanatakiwa waje na real working model ili haya yawezekane.

Mfano, kila mwaka mnajua matumizi ya sukari ni zaidi ya tani laki 6, uwezo wa ndani kuzalisha ni tani laki 3; nchi inshindwaje kuja na parament solution?
Kila mwaka nchi inaagiza agro-inputs (ikiwemo mbolea) zaidi ya tani laki 8;
Kwanini tusiwe na industrial production ya agro-inputs kwa soko ambalo lipo?

Nyerere kwa old technology aliweza kuwa crude petroleum refinery na bi-products ya petroleum ni mbolea na lami; leo mna-import kila kitu, msitegemee miujiza.

Lazima balance of trade and balance of payments iwe na surplus.
Hapo tutatoboa.

Jumatatu njema!
Tanzania tunahazina ya vijana kama wewe ila mianasiasa isiyonamaono kwa kizazi kijacho yapoyapo tu
 
Kama Africa tunaweza jaribu, lakini bado volume yetu kwenye biashara ya dunia ni percent chache sana. Wanaweza kutucrash bila hata kutuita mezani kunegotiate.
Kama Africa tunaweza tukajitosheleza tunahitaji nini ? Hata hizo dawa tunaweza kufanya kama wahindi tu au wachina mwendo mwendo wa copy and paste kwa brand names za waliowekeza mabilioni ya pesa kuweza kufanya research - Kwahio Nishati tunayo (plus gesi asilia kwenye magari) soko tunalo (sisi wenyewe)
Na ugumu ni kuwa tutahitajika kuwa na mbadala, labda common currency. Na common currency haiwezi kufanya kazi yake bila ya kuwa na shirikisho la kisiasa, waafrika hatuko tayari.
Hata kama hatuna common currency lakini tunaweza kuuziana na kununuliana sio lazima tutumie dollar we can use our currencies accordingly wala hilo sio tatizo na kukiwa na a one common currency haimaanishi nyingine hazitumiki au zinakufa
Sometimes huwa naona N. Korea walichagua fungu jema.
Hapo kwenye kupenda homegrown goods inabidi nchi ianze sera za protectionism, sera ambazo huleta ukakasi kwa raia.
Kufanya hivyo ni kosa kubwa sana dunia ni kijiji na huwezi kupata kila kitu ukizuia vya wengine na wao watazuia vyako....;

It is the maxim of every prudent master of a family never to attempt to make at home what it will cost him more to make than to buy. - The Wealth of Nations..

NB:
Pia haifai kabisa watu walazimishwe kununua makapi bali wazalishaji wajitahidi kuzalisha vitu quality kwenye kupenda ni rahisi mfano mavazi ni fashion (not necessarily quality) kwahio role models wakianza kuvaa made in TZ hata watoto / vijana watafuata
 
Njia ya hakika ya kuwa na dola za kutosha ni kuwa na trade surplus. Yaani uuze kuliko unavyonunua. Lakini hili halipo karibu kwa nchi zote za Afrika. Sasa mbinu iliyobaki ni kukabiliana/kumanage uhaba wa dola. Nchi hufanyaje hivyo?
Wafanye mission impossible kwa kuzichukua kutoa Bank of America (a.k.a benki ya mabeberu 🤣)
 
Njia ya hakika ya kuwa na dola za kutosha ni kuwa na trade surplus. Yaani uuze kuliko unavyonunua. Lakini hili halipo karibu kwa nchi zote za Afrika. Sasa mbinu iliyobaki ni kukabiliana/kumanage uhaba wa dola. Nchi hufanyaje hivyo?
Butter trade. Nchi nyingi zilizofanya hivyo zimetoboa vizuri sana.

Kimsingi tunatumia Dola hata pale pasipohitajika kutumia Dola- Mind set.
Wanauchumi msikariri tu kile mlichofundishwa huko Ulaya, changanyeni na tamaduni zenu mambo yatakwenda.
 
Kama Africa tunaweza tukajitosheleza tunahitaji nini ? Hata hizo dawa tunaweza kufanya kama wahindi tu au wachina mwendo mwendo wa copy and paste kwa brand names za waliowekeza mabilioni ya pesa kuweza kufanya research - Kwahio Nishati tunayo (plus gesi asilia kwenye magari) soko tunalo (sisi wenyewe)

Hata kama hatuna common currency lakini tunaweza kuuziana na kununuliana sio lazima tutumie dollar we can use our currencies accordingly wala hilo sio tatizo na kukiwa na a one common currency haimaanishi nyingine hazitumiki au zinakufa

Kufanya hivyo ni kosa kubwa sana dunia ni kijiji na huwezi kupata kila kitu ukizuia vya wengine na wao watazuia vyako....;

It is the maxim of every prudent master of a family never to attempt to make at home what it will cost him more to make than to buy. - The Wealth of Nations..
NB:
Pia haifai kabisa watu walazimishwe kununua makapi bali wazalishaji wajitahidi kuzalisha vitu quality kwenye kupenda ni rahisi mfano mavazi ni fashion (not necessarily quality) kwahio role models wakianza kuvaa made in TZ hata watoto / vijana watafuata
Napenda Rais Samia asome mapendekezo yako, huenda wanasiasa wakafunguka.

Kweli kunahaja mpaka leo kununua mafuta ya kupikia toka nje, ngano, sabuni, sukari, just name them......

Ukipunguza hivyo tu, umepunguza karibu 30% ya Dola zinazo hitajika + ajira juu.
 
Si i export zaidi ya kuimport. Kwani kuna njia nyingine.
Serkali si inajifanya kila biashara iweke mkono sasa ijitafute la sivyo itumie dollar za zimbambwe
 
Kama Africa tunaweza tukajitosheleza tunahitaji nini ? Hata hizo dawa tunaweza kufanya kama wahindi tu au wachina mwendo mwendo wa copy and paste kwa brand names za waliowekeza mabilioni ya pesa kuweza kufanya research - Kwahio Nishati tunayo (plus gesi asilia kwenye magari) soko tunalo (sisi wenyewe)

Hata kama hatuna common currency lakini tunaweza kuuziana na kununuliana sio lazima tutumie dollar we can use our currencies accordingly wala hilo sio tatizo na kukiwa na a one common currency haimaanishi nyingine hazitumiki au zinakufa

Kufanya hivyo ni kosa kubwa sana dunia ni kijiji na huwezi kupata kila kitu ukizuia vya wengine na wao watazuia vyako....;

It is the maxim of every prudent master of a family never to attempt to make at home what it will cost him more to make than to buy. - The Wealth of Nations..
NB:
Pia haifai kabisa watu walazimishwe kununua makapi bali wazalishaji wajitahidi kuzalisha vitu quality kwenye kupenda ni rahisi mfano mavazi ni fashion (not necessarily quality) kwahio role models wakianza kuvaa made in TZ hata watoto / vijana watafuata
Kutumia currencies zetu siyo rahisi. Kuna matatizo mengi. Kenya ikiingiwa na njaa wanaweza chapisha tu Ksh na kuja kusomba mahindi na mchele. Angola anayezalisha mafuta atajikuta amejaza makwacha, matsh, maksh nk nk. Halafu akitaka kwenda kununua matrekta, mitambo au smartphone anakuta pesa nyingi alizonazo hazifai kitu.

Kwenye theory, protectionism inaonekana mbaya na watu watashabikia comperative advantages. Lakini hao hao wanaotuambia mambo hayo waliendelea kwa kufuata protectionism na kupuuza comperative advantage. Kwa nchi kujenga mwenyewe, hata kama ni gharama kuna faida kwa uchumi wako kuliko kununua nje kwa bei chee. Mfano tungesema tununue sukari ya bei rahisi kutoka Brazil viwanda vyetu vitakufa na ajira zake na faida zake zote.
 
Butter trade. Nchi nyingi zilizofanya hivyo zimetoboa vizuri sana.

Kimsingi tunatumia Dola hata pale pasipohitajika kutumia Dola- Mind set.
Wanauchumi msikariri tu kile mlichofundishwa huko Ulaya, changanyeni na tamaduni zenu mambo yatakwenda.
Inawezekana. Tukaangalia sisi na Kenya tunafanya biashara ya pesa ngapi kwa mwaka. Basi tunaamua kufanya biashara ya kiasi hicho kwa kutumia sarafu zetu. Hivyo hivyo na Uganda, Congo nk nk.
 
Tuwape hamasa diaspora, akina Nyani Ngabu, Mzee Mwanakijiji, nk waongeze utumaji wa pesa nyumbani watasaidia kupunguza uhaba kwa kiasi fulani 😅
 
Kama Africa tunaweza tukajitosheleza tunahitaji nini ? Hata hizo dawa tunaweza kufanya kama wahindi tu au wachina mwendo mwendo wa copy and paste kwa brand names za waliowekeza mabilioni ya pesa kuweza kufanya research - Kwahio Nishati tunayo (plus gesi asilia kwenye magari) soko tunalo (sisi wenyewe)

Hata kama hatuna common currency lakini tunaweza kuuziana na kununuliana sio lazima tutumie dollar we can use our currencies accordingly wala hilo sio tatizo na kukiwa na a one common currency haimaanishi nyingine hazitumiki au zinakufa

Kufanya hivyo ni kosa kubwa sana dunia ni kijiji na huwezi kupata kila kitu ukizuia vya wengine na wao watazuia vyako....;

It is the maxim of every prudent master of a family never to attempt to make at home what it will cost him more to make than to buy. - The Wealth of Nations..
NB:
Pia haifai kabisa watu walazimishwe kununua makapi bali wazalishaji wajitahidi kuzalisha vitu quality kwenye kupenda ni rahisi mfano mavazi ni fashion (not necessarily quality) kwahio role models wakianza kuvaa made in TZ hata watoto / vijana watafuata
Good!

Unaitendea vema Id yako.

Hii nchi ianzishe kitengo cha Mshauri wa rais - vijana. Na wewe logikos uwemo👊

Na mie nikumbukwe humo 🤝
 
Mkuu sasa hivi ukipeleka benki yoyote dola zako hata 10 tu, ukamkabidhi teller, halafu dakika hiyo hiyo ubadili mawazo, umwombe akurudishie, atakwambia hana!!
Sasa sijui ni maagizo toka juu?
Au sasa hivi dola zinayeyuka zikishafika benki?!
 
Kutumia currencies zetu siyo rahisi. Kuna matatizo mengi. Kenya ikiingiwa na njaa wanaweza chapisha tu Ksh na kuja kusomba mahindi na mchele.
Biashara ya currency inapanda na kushuka.., sasa hivi nikitaka kwenda Kenya kununua bidhaa nita-exchange to Kenyan currency accordingly wala sitatumia dollar - wakiamua kuchapisha manoti yao itawatokea puani in the future as well as kuacha kuaminika; By the way wenyewe wakitaka chakula na sisi kuna kitu tutaka kule hivyo ni kuuziana na kununuliana mode of exchange will take care of itself ukishafungua milango cha maana ni kuongeza uzalishaji both quality and quantity
Angola anayezalisha mafuta atajikuta amejaza makwacha, matsh, maksh nk nk. Halafu akitaka kwenda kununua matrekta, mitambo au smartphone anakuta pesa nyingi alizonazo hazifai kitu.
Binafsi sishauri hata hayo Mafuta ya Angola tununue convert magali mengi kutumia gesi asilia punguza matumizi ya mafuta; By the way Afrika ni kubwa kama tunashindwa hata kufanya assembling ya mitambo basi tatizo sio ukosefu wa currency bali ni tegemezi na tunahitaji kuwa self reliant...
Kwenye theory, protectionism inaonekana mbaya na watu watashabikia comperative advantages. Lakini hao hao wanaotuambia mambo hayo waliendelea kwa kufuata protectionism na kupuuza comperative advantage.
Kuna kipindi duniani Protectionism ndio ilikuwa mpango mzima na dunia suffered a lot kwahio sababu kuna sehemu kuna geographical advantage hata ufanye nini huwezi kutengeneza wines kuliko South Africa au Italy (mazingira yanawa-favor) hivyo kuliko kunganganiza kufanya kila kitu ni bora tukafanya vile ambavyo we are better off na kununua kwa wengine ambao they are better off in what they do
Kwa nchi kujenga mwenyewe, hata kama ni gharama kuna faida kwa uchumi wako kuliko kununua nje kwa bei chee. Mfano tungesema tununue sukari ya bei rahisi kutoka Brazil viwanda vyetu vitakufa na ajira zake na faida zake zote.
Neno Cheapest linabeba mambo mengi sio gharama ya pesa tu bali gharama ya ajira na ujira wa watu...; Kama Brazil wanaweza kulima sukari (kwa kupeana ruzuku) ambayo ni bei nusu ambayo sisi tunaweza kufanya nasema na tuagize brazil (tufunge viwanda vya sukari) na tuwekeze hizo pesa kwenye mambo ambayo we can do better (mfano labda utalii) Nishati; Usanii (selling entertainment) Katani n.k. AU tuwaulize na tujifunze hao Brazil kwanini Sukari yao ni bei rahisi kuliko sisi ili nasi tuige..... Yaani tufanye yale ambayo we can do better /cheaper than to buy....
 
Nchi ilishachukua hatua kadhaa.
JamiiForums914827189.jpeg
 
Back
Top Bottom