Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,700
- 9,778
Tuanze na mwanzilishi wa neno "mbususu" sijui aliwaza nini. Linafanania na mahala husika. Wanawake walitambue hili
Twende kwenye hoja. Huyu rafiki hana cha maana cha ku-share na wenzie tofauti na ulaji wa mbususu
Utaskia mara oh mama fulani nimemla, mara mtoto wa fulani ana mbususu yenye komwe, mara ooh nimekula mbususu iliyoumuka, mara kuna nyuchi mbili naziskilizia, mara binti fulani akiniona anapatwa na kwikwi, mara eti kala mbususu za wanafamilia wote, mara mke wa mtu katoka mkoani ili kuja kuonja ukuni wake!
Akijitahidi kuongea la maana utaskia "Jinsi ya kumfanya mwanamke apandwe na genye"
Ni jitu zima, lakini bichwani oppress. Na huyo huyo anakwambia kuwa ana familia mkoani, pia ana mtoto wa siri kwa mke wa mtu X
Nianze vipi kumchana ukweli wakuu?
Kwa hali hii, nitaondoka na mke wangu, niache nyumba yangu, nihamie Burundi. Kwa mwenendo huu sina rafiki wala jirani
Twende kwenye hoja. Huyu rafiki hana cha maana cha ku-share na wenzie tofauti na ulaji wa mbususu
Utaskia mara oh mama fulani nimemla, mara mtoto wa fulani ana mbususu yenye komwe, mara ooh nimekula mbususu iliyoumuka, mara kuna nyuchi mbili naziskilizia, mara binti fulani akiniona anapatwa na kwikwi, mara eti kala mbususu za wanafamilia wote, mara mke wa mtu katoka mkoani ili kuja kuonja ukuni wake!
Akijitahidi kuongea la maana utaskia "Jinsi ya kumfanya mwanamke apandwe na genye"
Ni jitu zima, lakini bichwani oppress. Na huyo huyo anakwambia kuwa ana familia mkoani, pia ana mtoto wa siri kwa mke wa mtu X
Nianze vipi kumchana ukweli wakuu?
Kwa hali hii, nitaondoka na mke wangu, niache nyumba yangu, nihamie Burundi. Kwa mwenendo huu sina rafiki wala jirani