MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
Kwani kuna mtu aliyeletwa duniani kuokoa roho za watu? hawa madr ni kama ww na mm na udr kwao ni kaz kama uhasibu ama uhandis. wanafanya kaz kuendesha familia zao na wana mahitaji sawa na watu wa profsn zingine. Tuache ingiza suala la vifo na maslai yao. kwahiyo ni bora familia zao zife kwa kutujali sisi? kama ni lawama bac ziende kwa serikali yetu inayoongozwa na viziwi wanaoamini ktk karne hii bado udaktari na ualim ni wito. nilitegemea tuwashinikize waziri wa afya na katibu wake mkuu wajiuzulu kwa kushindwa kuzuia mgomo kutokea ambao unaleta madhara mengi kwa watz. Hapa serikali inatakiwa kuwajibika. MM nashindwa kuelewa watz cjui katuloga nani. hapa uchaguzi ukija kesho utaona watu hawa hawa wanaolalamika huku wametinga nguo za kijani wakikimbia barbarani na kuimba maisha bora kwa kila mtz. Kama haya ndo maisha bora we better shut our mouth as we have got nothn to discuss here
Salute.
Hata hivyo suala la kujiuzuru Tanzania ni msamiati wa kichina ndugu yangu. Walishindwa kujiuzuru wakati wa mabomu ya Mbagala na Gongo la Mboto itakuwa hii.