Nawaunga Mkono Madaktari

Kwani kuna mtu aliyeletwa duniani kuokoa roho za watu? hawa madr ni kama ww na mm na udr kwao ni kaz kama uhasibu ama uhandis. wanafanya kaz kuendesha familia zao na wana mahitaji sawa na watu wa profsn zingine. Tuache ingiza suala la vifo na maslai yao. kwahiyo ni bora familia zao zife kwa kutujali sisi? kama ni lawama bac ziende kwa serikali yetu inayoongozwa na viziwi wanaoamini ktk karne hii bado udaktari na ualim ni wito. nilitegemea tuwashinikize waziri wa afya na katibu wake mkuu wajiuzulu kwa kushindwa kuzuia mgomo kutokea ambao unaleta madhara mengi kwa watz. Hapa serikali inatakiwa kuwajibika. MM nashindwa kuelewa watz cjui katuloga nani. hapa uchaguzi ukija kesho utaona watu hawa hawa wanaolalamika huku wametinga nguo za kijani wakikimbia barbarani na kuimba maisha bora kwa kila mtz. Kama haya ndo maisha bora we better shut our mouth as we have got nothn to discuss here

Salute.
Hata hivyo suala la kujiuzuru Tanzania ni msamiati wa kichina ndugu yangu. Walishindwa kujiuzuru wakati wa mabomu ya Mbagala na Gongo la Mboto itakuwa hii.
 
nikiwa na uchungu mwingi moyoni NAUNGA MKONO HOJA
bila madaktari kugoma tena ile kisawasawa serikali haitawatendea haki hence watatuhudumia ovyo ovyo mwisho wa siku COMPLICATED matatizo ya afya hayataisha
 
Hivi nani kawaambia kuwa tatizo ni suala la mishahara peke yake?

Katika taarifa hiyo fupi alipokuwa anaongea na waandishi wa habari nimeona amezungumzia mishahara na nyumba tu ambapo amesema kuhusu madai ya madaktari ya kutaka kujengewa nyumba karibu na vituo vyao vya kazi, serikali imepata pesa kutoka mfuko wa dunia (Global Fund) na imetoa kipaumbele kwa madaktari walioko mikoani, wilayani na vijijini ambako hali ni ngumu kulinganisha na za madaktari walioko mijini.

Taarifa hiyo ilimalizia na Dr. Mponda kuwaomba warudi makazini na kuwatibia wagonjwa ambao wengi wao ni wananchi wa hali ya chini wanaotegemea zaidi huduma za afya zzitolewazo na serikali kwani hawana uiwezo wa kuafford zile za binafsi.
 
Hivi nani kawaambia kuwa tatizo ni suala la mishahara peke yake?

Hapa ndipo tatizo lilipo, hawa wanasiasa wanadhani mishahara pekee ndio inamfanya mfanyakazi atoe huduma bora,wanawake wanapoteza maisha kisa hospitali hazina pamba, umeme hamna,usafiri taabu na wakuilizia kidogo wanahamishwa hospitali..kama ulivyosema mfumo wetu wa afya ni hovyo kuliko maelezo na wenye dhamana hawajali kisa wao wanapelekwa India..
 
Katika taarifa hiyo fupi alipokuwa anaongea na waandishi wa habari nimeona amezungumzia mishahara na nyumba tu ambapo amesema kuhusu madai ya madaktari ya kutaka kujengewa nyumba karibu na vituo vyao vya kazi, serikali imepata pesa kutoka mfuko wa dunia (Global Fund) na imetoa kipaumbele kwa madaktari walioko mikoani, wilayani na vijijini ambako hali ni ngumu kulinganisha na za madaktari walioko mijini.

Taarifa hiyo ilimalizia na Dr. Mponda kuwaomba warudi makazini na kuwatibia wagonjwa ambao wengi wao ni wananchi wa hali ya chini wanaotegemea zaidi huduma za afya zzitolewazo na serikali kwani hawana uiwezo wa kuafford zile za binafsi.


Yeah alisema wameamua kuanza na wilaya 18 kwa kujenga nyumba 8! Kwanini hawakuanza na nyumba mbili walipowajengea mawaziri?


Na hilo swala la wananchi wa chini hivi hawa wananchi wa chini wanaanda kupata huduma mbaya sasa wakati madaktari wanagoma kwa vile huko nyuma walikuwa wanapata huduma nzuri?
 
Yeah alisema wameamua kuanza na wilaya 18 kwa kujenga nyumba 8! Kwanini hawakuanza na nyumba mbili walipowajengea mawaziri?


Na hilo swala la wananchi wa chini hivi hawa wananchi wa chini wanaanda kupata huduma mbaya sasa wakati madaktari wanagoma kwa vile huko nyuma walikuwa wanapata huduma nzuri?

Hapo sasa! Tena anavyotamba kabisa kuwa wananchi wanategemea huduma zitolewazo na serikali, hivi anazijua huduma zenyewe au anahisi tu? Ni huduma gani za kuridhisha ambazo wananchi hawa wamekuwa wakizipata?
 
Naunga mkono madai ya madaktari lakini napinga mgomo wao na kama mgomo wao ukiendelea nashauri serikali kujitoa katika uendeshaji wa hospitali zote na kuziacha ziendeshwe na sekta binafsi na yenyewe ibaki kutoa ruzuku tu.

Kitendo kilichosababishwa na usaliti wa wabunge wetu kinasababisha mauaji ya madaktari dhidi ya raia masikini, sijaona ata siku moja wabunge wakipeleka mswada binafsi kuwatetea madaktari mpaka wanafikia kugoma.
 
whaat? unaunga madai ya mfungwa kutaka kuwa huru lakini asigome kufanyishwa kazi kwa nguvu? kwa vile itamletea matatizo bwana wake?

mimi napinga madai yao kuleta madhara ya vifo kwa raia masikini lakini kama wakiweza kudai bila ya madhara kwa wagonjwa masikini basi waendelee ata wakiweza wakarushe mawe ikulu au wafanye mapinduzi ya utawala wa serikali waongoze wao ni sawa lakini nitaendelea kupiga harakati zitazoacha vifo kwa masikini
 
Kweli Tanzania inaongoza kwa wajinga na bado hujui kuwa ni mjinga, KUTETEA UFISADI kisa unafanywa na kanisa,

Acha story za Muheza ukijidai as muheza ni mbali sana mimi naijua muheza in out, gharama za muheza ni kubwa kupita hospitali zote za serikali kwa gharama pamoja na kwamba wanapokea ruzuku; kujidai tu kwamba wewe ndio unaufahamu kupita wengine ndio UKILAZA wenyewe?? UFISADI wa KANISA kwako lazima utoke mapofu kwasababu unafaidi without auditing (goverment auditors)..

MoU ni sawa tu RICHMOND in making lakini hiyo ni kati ya kanisa na serikali na wanaofaidi hayo malipo wanajuana wenyewe???

Nenda ulizia bei ya diagnosis muheza halafu uliza pale mwananyamala ndio utaona UWIZI wa mwaka..

Still unawweza ku-scan hiyo risiti yako na kuiweka hapa ioneshe jinsi (mnavyotozwa) gharama kubwa. Hapo tutafanikiwa kuona ni nembo nani ipo kwenye hiyo risiti; ya serikali au ya serikali.

MAPOVU sio MAPOFU (ndio wale wakimbizi tunaowatafuta nini?). Na kwanza mpk nitoke mapovu kisa nini, ninadai msikiti ujengwe Ndanda Secondary?

Wewe kaa chini endelea kulalama kuwa kanisa linafanya ufisadi lkn sisi tutaheshimu majukumu kwa mujibu wa magawano yetu: Sisi tuzalishe wataalam na nyinyi makuli. Sioni kingine cha kukwambia
 
Siungi mkono hoja, najua wana matatizo mengi sana,lakini kitendo cha kuacha ndugu zetu wapoteze maisha si cha ungwana kabisa, kwakuwa serikali imeshaona impact yao, nawaomba wasitishe kwa mda na kuona kama matatizo yao yatapatiwa ufumbuzi, serikali isipofanya hivyo wagome tena
 
mimi napinga madai yao kuleta madhara ya vifo kwa raia masikini lakini kama wakiweza kudai bila ya madhara kwa wagonjwa masikini basi waendelee ata wakiweza wakarushe mawe ikulu au wafanye mapinduzi ya utawala wa serikali waongoze wao ni sawa lakini nitaendelea kupiga harakati zitazoacha vifo kwa masikini

Niambie ni lini uliona kitu kinadaiwa tanzania hii kwa
kuongea tu na kika fanikiwa bila mgomo?
 
Madaktari wetu wasikilizwe kwa kina, mfumo wa sekta ya afya na utibabu ufumuliwe haraka kwa faida ya wadau wake, na posho za bwerere kwa walaghai wa wananchi kule bungeni wapewe manesi wetu pamoja na walimu ambao wanafanya kazi katika mazingira magumu mno kututumikia sisi jamii ya Tanzania.
 
Unajua tumefika mahala jamani tutazame kwanza maslahi ya wananchi. Sote hapa tunaweza kubaliana na madaktari ktk hoja yao lakini maamuzi waliyofikia kuyafanya kusema kweli binafsi siyakubali kwa sababu wanawatumia wananchi maskini ya Mungu wagonjwa kupigania haki yao. Ni sawa kabisa na Al qaeda ambao wanaenda angusha jumba la Twin Tower ili ipate kusikilizwa na serikali ya Marekani kwa madai ya kuwatakaWaamerika waondoke Saudi Arabia.

Ukiweza kunisoma mtazamno wangu nadhani hatutakuwa na ubishi mkubwa hapa. Mimi ningeomba san madaktari pamoja na asasi zote za utumishi na ajira iwe serikalini au masirika ya Umma waungane na madakatari kufanya maandamano ambayo yatakuwa ya Taifa zima kupinga na kuweka madai kama yao maana sehemu zote za utumishi zina matatizo hayo. Lakini wagonjwa wataendelea kuhudumiwa na hasa wale walioko ICU, wodi ya watoto, na wanawake wajawazito, HIV na cancer, pamoja na upasuaji.

Nasikitika tu kusema kwamba wengi ya watu hapa wanadshabikia lakini hawajui madaktari wanalipwa kiasi gani na kwa mwezi daktari anaweza kuingiza kiasi gani. Nashukuru Mungu mimi nina jamaa zangu ambao ni madaktari na najua vizuri jinsi wanavyotengeza mbali kabisa na mishahara. halafu kibaya kuliko yote ambacho kimenisikisha zaidi ni kugoimbea ongezeko la Posho!...

Jamani posho kweli unaweza ijengea hoja na kufanya mgomo au ilitakiwa usifike ktk vikao ambavyo ulitakiwa kufika na kulipwa Tsh 10,000. Yes, kama kuna dawa ya kutaka posho zaidi acha kuhudhulia vikao vya posho unless serikali inakulipa kiasi unachokitaka. Na kama swala la viongozi mkwenda India.. msiwapokee waacheni watafute safari za India hata wakiumwa mafua halafu watawajibu wananchi..

Kusema kweli nimezisoma sababu zote walizozitoa madaktari haziniridhishi kiasi cha wao kugoma kutoa huduma kwa wananchi kwa madai ya haki yao. Hivi kweli kuna mtu anaweza kunipa hesabu kamili ya Daktari anatakiwa kulipwa kiasi gani? hivi kweli tunaweza kuweka mahesabu ya fedha kwa malipo ya Madaktari au Walimu na kusema huu ndio mshahara au posho wanazotakiwa kupewa!. Mimi sidhani ila najua fika kwamba mishahara yote nchini haifai na haitoshi ktk sekta zote za utumishi na kwa ujumla wa watumishi hawa kupitia Union zao wangepanga maandamano ya pamoja na wakaomba kibali ikajulikana wazi kwamba maandamano ya madaktari yatatokea siku kadhaa wakadhaa..

Hapa Canada mgomo wa madaktari ni kinyume cha sheria. Daktari hawezi kugoma kwenda kazini na kwa kupitia union yao wana hatua kama 4 za kupitia kbala ya kufikia makubaliano... mara nyingi kama sii zote huwa hawafiki hata hatua ya 3 na kama kuna mgomo basi huenda kwa vitengo lakini zipo sehemu ambazo hawaruhusiwi kabisa kuziacha wazi bila kuhudumia. Na pengine kinachowasaidia hapa ni kwamba serikali inalipa mishahara mikubwa kuliko sehemu yoyote ya binafsi iwe udaktari au hata front desk secretary ktk ofisi ya serikali.

Madaktari wanaweza kuomba ongezeko au punguzo la kazi kulingana na masaa wanayofanya kazi. Mishahara yao imepangwa kwa saa ambazo wanakuwa kazini na the more wanavyokuwa na masaa mengi ndivyo mshahara wake unapanda kama Ma pilot wa ndege.. Hivyo pengine tubadilishe mfumo wa mishahara iwe daktari atalipwa Tsh 5,000 kwa saa, kisha wajitume wenyewe kulitumikia Taifa kwa kuweka masaa mengi saidi wanaongeza pia pato lao.


Kwa hiyo kufanya mjadala hu uwe mfupi, Nyie wananchi mnaowaunga mkono madakati? kwa nini hamko nao pamoja kufanya nayi mgomo kama wenzenu. Kwa nini Tanzania ya leo kila mtu anabeba msalaba wake. Ule umoja wenye nguvu umeishia wapi kiasi kwamba mnawatazama tu madaktari wakigoma na kesho wakifunkuzwa kazi mtawacheka na kuwaita wajinga, na hata wakiomba maji ya kunywa majumbani mwenu mnawafukuza..Je huu sii unafiki wa Mtanzania!
 
Unajua tumefika mahala jamani tutazame kwanza maslahi ya wananchi. Sote hapa tunaweza kubaliana na madaktari ktk hoja yao lakini maamuzi waliyofikia kuyafanya kusema kweli binafsi siyakubali kwa sababu wanawatumia wananchi maskini ya Mungu wagonjwa kupigania haki yao. Ni sawa kabisa na Al qaeda ambao wanaenda angusha jumba la Twin Tower ili ipate kusikilizwa na serikali ya Marekani kwa madai ya kuwatakaWaamerika waondoke Saudi Arabia.

Ukiweza kunisoma mtazamno wangu nadhani hatutakuwa na ubishi mkubwa hapa. Mimi ningeomba san madaktari pamoja na asasi zote za utumishi na ajira iwe serikalini au masirika ya Umma waungane na madakatari kufanya maandamano ambayo yatakuwa ya Taifa zima kupinga na kuweka madai kama yao maana sehemu zote za utumishi zina matatizo hayo. Lakini wagonjwa wataendelea kuhudumiwa na hasa wale walioko ICU, wodi ya watoto, na wanawake wajawazito, HIV na cancer, pamoja na upasuaji.

Nasikitika tu kusema kwamba wengi ya watu hapa wanadshabikia lakini hawajui madaktari wanalipwa kiasi gani na kwa mwezi daktari anaweza kuingiza kiasi gani. Nashukuru Mungu mimi nina jamaa zangu ambao ni madaktari na najua vizuri jinsi wanavyotengeza mbali kabisa na mishahara. halafu kibaya kuliko yote ambacho kimenisikisha zaidi ni kugoimbea ongezeko la Posho!...

Jamani posho kweli unaweza ijengea hoja na kufanya mgomo au ilitakiwa usifike ktk vikao ambavyo ulitakiwa kufika na kulipwa Tsh 10,000. Yes, kama kuna dawa ya kutaka posho zaidi acha kuhudhulia vikao vya posho unless serikali inakulipa kiasi unachokitaka. Na kama swala la viongozi mkwenda India.. msiwapokee waacheni watafute safari za India hata wakiumwa mafua halafu watawajibu wananchi..

Kusema kweli nimezisoma sababu zote walizozitoa madaktari haziniridhishi kiasi cha wao kugoma kutoa huduma kwa wananchi kwa madai ya haki yao. Hivi kweli kuna mtu anaweza kunipa hesabu kamili ya Daktari anatakiwa kulipwa kiasi gani? hivi kweli tunaweza kuweka mahesabu ya fedha kwa malipo ya Madaktari au Walimu na kusema huu ndio mshahara au posho wanazotakiwa kupewa!. Mimi sidhani ila najua fika kwamba mishahara yote nchini haifai na haitoshi ktk sekta zote za utumishi na kwa ujumla wa watumishi hawa kupitia Union zao wangepanga maandamano ya pamoja na wakaomba kibali ikajulikana wazi kwamba maandamano ya madaktari yatatokea siku kadhaa wakadhaa..

Hapa Canada mgomo wa madaktari ni kinyume cha sheria. Daktari hawezi kugoma kwenda kazini na kwa kupitia union yao wana hatua kama 4 za kupitia kbala ya kufikia makubaliano... mara nyingi kama sii zote huwa hawafiki hata hatua ya 3 na kama kuna mgomo basi huenda kwa vitengo lakini zipo sehemu ambazo hawaruhusiwi kabisa kuziacha wazi bila kuhudumia. Na pengine kinachowasaidia hapa ni kwamba serikali inalipa mishahara mikubwa kuliko sehemu yoyote ya binafsi iwe udaktari au hata front desk secretary ktk ofisi ya serikali.

Madaktari wanaweza kuomba ongezeko au punguzo la kazi kulingana na masaa wanayofanya kazi. Mishahara yao imepangwa kwa saa ambazo wanakuwa kazini na the more wanavyokuwa na masaa mengi ndivyo mshahara wake unapanda kama Ma pilot wa ndege.. Hivyo pengine tubadilishe mfumo wa mishahara iwe daktari atalipwa Tsh 5,000 kwa saa, kisha wajitume wenyewe kulitumikia Taifa kwa kuweka masaa mengi saidi wanaongeza pia pato lao.


Kwa hiyo kufanya mjadala hu uwe mfupi, Nyie wananchi mnaowaunga mkono madakati? kwa nini hamko nao pamoja kufanya nayi mgomo kama wenzenu. Kwa nini Tanzania ya leo kila mtu anabeba msalaba wake. Ule umoja wenye nguvu umeishia wapi kiasi kwamba mnawatazama tu madaktari wakigoma na kesho wakifunkuzwa kazi mtawacheka na kuwaita wajinga, na hata wakiomba maji ya kunywa majumbani mwenu mnawafukuza..Je huu sii unafiki wa Mtanzania!
kuna vitu vya msingi ambavyo wewe huvioni
kimoja ni kutokuwepo kwa vifaa, hivyo kudumaza huduma yao ya kitaalamu kwa hao unaowatete raia maskini na hapa unaweza kuweka katika makundi mawili moja vitendea kazi pili mazingira safi kama vitanda vya wagonjwa nk
pili viongozi au baadhi ya watu ambao ni sehemu ya raia kutotilia maanani matatizo ya madaktari na wagonjwa kisa wao wanaweza kwenda apollo, na mtu huyo unamuomba awasikilize yeye anaona anaweza kwenda pale ukerewe akapiga filimba madaktari mia wakapatikana, kuja kujaza nafasi ya huyu mwenye kukuomba umsikilize, tatu hoja ya msingi ni kipato wewe mwenyewe uliamua kuondoka bongo ili ukapate maisha yaliyo bora kwako na familia yako iwe kipato, huduma za kijamii na starehe vile vile maana disko la mbowe lilikuwa si la kiwango chako? any bongo siku hizi imebadilika? sasa na hawa madaktari nao wangependa maisha mazuri baada ya kusoma kwa miaka mingi ya kusoma nk na pia furaha ya mwana taaluma yoyote ni kutumia ujuzi na kuona unafaa na unathaminiwa, sasa bila vitendea kazi at achieve vipi optimal utilization ya elimu yake, na wakati huo huo anapojitolea kuna mafisadi wanafanya watakavyo ili kumkosesha huyu daktari na raia wengine huduma bora ya hospitali na nyinginezo
 
mimi napinga madai yao kuleta madhara ya vifo kwa raia masikini lakini kama wakiweza kudai bila ya madhara kwa wagonjwa masikini basi waendelee ata wakiweza wakarushe mawe ikulu au wafanye mapinduzi ya utawala wa serikali waongoze wao ni sawa lakini nitaendelea kupiga harakati zitazoacha vifo kwa masikini

Mwenye kiapo cha kulinda uhai wa raia wa Tanzania na mali zao siyo madaktari bali ni Raisi wa nchi na serikali yake. Madaktari wanakula kiapo cha kuokoa maisha ya wagonjwa na kuwapunguzia maumivu. Hata hivyo maisha yao ni priority ya kwanza.

Kama tunataka madaktari waweke mkazo kwa wagonjwa basi ni jukumu la mwajiri wao kuhakikisha hawana pressure za mambo ya kawaida ya maisha.

Kama mtu anaweza kupiga porojo (bila kujali amekaa darasani miaka mingapi) na mwisho mwisho wa siku akaondoka na net 200K per day (6mil per month) na mshahara karibu ya 10mil (total 18mil per month). This is clean money without any trash like tax!!

Wakati huo, daktari mwenye super-specialization analipwa kama 3mil na tax yake ni zaidi ya laki 8 (take home ni <2mil).....Halafu tunasema aendelee kucheka cheka na watu wasiojua maana ya uhai wa wenzao (wagonjwa na madaktari wenyewe)!! No No please!!

Hata kama ni siku 100, mgomo huu uendelee tu!!

Niambie ni lini uliona kitu kinadaiwa tanzania hii kwa
kuongea tu na kika fanikiwa bila mgomo?

Umenikumbusha mbali sana mkuu,

Chuo nilichosoma (hapa hapa bongo), maji yalikuwa yanaweza kukatika kwa muda wa karibia siku 4 hadi tunaingia mtaani na ndoo kwenda kutafuta maji ya kuoga na kutumia vyooni...Ila mkigoma asubuhi tu, jioni maji yanaanza kutoka tena kwa pressure ya hali ya juu!!

Kwa Tanzania, lugha ambayo siku zote inasomeka ni hiyo tu...!!
 
Back
Top Bottom