Jelavic
Senior Member
- Dec 28, 2016
- 180
- 380
Yan nashangaa sana leo balozi wa ubelgiji anasema habari zinazo sambaa sio za kweli, Ndio nakubaliana nae sio za kweli lkn kuhusu hoja iliyopelekea ile habari kutokea ni yakweli au sio ya kweli.
Je, ni kweli mmebeba mapesa ya watu kwa jina la CORONA na hamjazitumia kwa lengo husika.
Je, ni kweli mliwakatalia WHO kutoa takwim na hali ya corona nchini.
Hizi ndio hoja inabidi zijibiwe kwanza kisha ndio tuangalie mambo mengine.
Hii nchi ikikosa msaada sio sabab eti vyama pinzani vimeshinikiza, wazungu sio wajinga kiasi hicho mpka wasikilize kila wanacho ambiwa kama hakina ukweli.
Jibu hoja sio kukimbilia kusema sentensi za jumla jumla ooh sijui hii ni vita ya kiuchumi, sijui mabeberu
Na kama nchi hii itapitia kipindi kigumu kimataifa basi sabab ni nyinyi CCM.
Nyinyi ndio mnawakilisha wananchi kwenye uongozi, tukifeli ni sabab nyinyi mmetufelisha.
Je, ni kweli mmebeba mapesa ya watu kwa jina la CORONA na hamjazitumia kwa lengo husika.
Je, ni kweli mliwakatalia WHO kutoa takwim na hali ya corona nchini.
Hizi ndio hoja inabidi zijibiwe kwanza kisha ndio tuangalie mambo mengine.
Hii nchi ikikosa msaada sio sabab eti vyama pinzani vimeshinikiza, wazungu sio wajinga kiasi hicho mpka wasikilize kila wanacho ambiwa kama hakina ukweli.
Jibu hoja sio kukimbilia kusema sentensi za jumla jumla ooh sijui hii ni vita ya kiuchumi, sijui mabeberu
Na kama nchi hii itapitia kipindi kigumu kimataifa basi sabab ni nyinyi CCM.
Nyinyi ndio mnawakilisha wananchi kwenye uongozi, tukifeli ni sabab nyinyi mmetufelisha.