Nawashangaa Viongozi wa CCM kila linapotajwa kosa au tuhuma na nchi washirika wa maendeleo mnakimbilia kusema vita ya kiuchumi. Jibuni hoja kwa hoja

Naweza kusema kwa uhakika kabisa BILA KUJING'ATA ULIMI kuwa this can be the shallowest bandiko humu JF kwa 2020! Kwa nini nasema hivyo? Ni kwa sababu haingii akilini mtu kusema kuwa hizo nchi tajwa hazina shida na uchumi wa TZ! Kweli? Hata wao wakisoma hili bandiko watakushangaa. Wanahitaji malighafi karibu zote kutoka nchi zetu, ikiwemo TZ.

Wanahitaji madini yote, wanahitaji pamba yote, wanahitaji chochote atakachofikiria mtu makini humu JF. Nadhani mara ya mwisho ulipokwenda Ulaya au US au UK hukutembea na kuona how dependent they are on our raw materials and ALL CHEAP GOODS from our countries including TZ. Kama hawahitaji kitu, sasa wanahitaji nini - UTAWALA BORA NA HAKI ZA BINADAMU - for what kama siyo kutengeneza njia rahisi za kuiba malighafi zetu!?
Sio kwamba hawahitaji! Hakuna vitu essential kwamba ati wasipovipata Tanzania watakufa. Soma vizuri na uelewa maana. Acha kupayuka kwa Jumla jumla na Ds yako ya first year
 
L
Wewe bila shaka ni kijana wa juzi na haujui hali ilivyokuwa nchini baada ya vita vya Kagera. Hali ile ilitokana na wenye fedha zao kutaka zifanyike structural reforms katika mambo ya uchumi. Haukuweko wakati tunapigiwa muziki London na kwingineko ili kushinikiza mataifa ya magharibi kutusamaa madeni yaliyotokana na fedha tulizokopa wenyewe. Haukuweko wakati watu wanazungusha kibakuli Dovos kumpa Mkapa ili zimsaidie kununua vyandarua.

Wewe na wengine mnadhani hii ni mara ya kwanza sisi kujimwambafai na kusema tusiingiliwe kwenye mambo yetu. Mwaka 1999 tulipotaka kununua Radar kutoka BAE tulionywa sana na mabeberu kuwa tunauziwa kitu ambacho hakitufai na kwa bei isiyoendana na uhalisia. Tukawaambia watukome, tukanunua radar. Wote tunajua hatma ya hii hadithi. Mabeberu waliwafuatilia BAE ( kampuni ya kwao) na kugundua kuwa walitupiga sana kwenye ule mradi na kuwataka waturudishie kiasi kikubwa tu cha fedha.

Kuna mwaka tulitaka kumnunulia Rais wetu ndege. Tukaonywa sana lakini Waziri musikaali wa wakati ule akawaambia mabeberu kuwa tuko tayari kula nyasi ili Rais wetu apate ndege ya saiz yake. Wote tunajua mheshimiwa huyo aliishia wapi!

Waliotutangulia walituasa kuhusu umuhimu wa kuchagua vita tunazopigana. Nyingine, kama hii haina tija na hatuna sababu ya kuishupalia.

Amandla...
Labda nikukumbushe tena kuwa sisi ni sovereign state na tuna haki za kuamua mambo yetu wenyewe na hatuwezi kuyumbishwa na vitisho vya aina yoyote. Ngoja nikwambie kuwa mwaka 1965 - 1972 Mwalimu Nyerere alivunja UHUSIANO WA KIDIPLOMASIA na UINGEREZA (sijui unaijua UK!) narudia tena mwaka 1965 hadi 1972! Siyo kuvunja huo uhusiano tu bali pia aliwarudishia UK POUNDS 5 Milioni! Kwa vile hukuwepo, hili nalo utalibishia! Kama hiyo haitoshi, Mwalimu Nyerere kwa kulinda heshima na hadhi ya Tanzania, aliwafurusha Wajerumani mwaka 1964, wakati wa Muungano. Kama hiyo haikutosha, nao akawarudishia DM (Fedha za Kijerumani) 35 milioni! Hayo ni ya 1960s sasa wewe leo unababaika na kubabaishwa na akina Lissu na BOB eti watatuwekea vikwazo! What a HECK!
 
Sio kwamba hawahitaji! Hakuna vitu essential kwamba ati wasipovipata Tanzania watakufa. Soma vizuri na uelewa maana. Acha kupayuka kwa Jumla jumla na Ds yako ya first year
Hawa ndio ile type ya kukosa hoja na kuleta vioja na kuamua kutumia MB kiaina kwa vile unazo na uko karibu na keyboard, vinginevyo SHUT UP!
 
L

Labda nikukumbushe tena kuwa sisi ni sovereign state na tuna haki za kuamua mambo yetu wenyewe na hatuwezi kuyumbishwa na vitisho vya aina yoyote. Ngoja nikwambie kuwa mwaka 1965 - 1972 Mwalimu Nyerere alivunja UHUSIANO WA KIDIPLOMASIA na UINGEREZA (sijui unaijua UK!) narudia tena mwaka 1965 hadi 1972! Siyo kuvunja huo uhusiano tu bali pia aliwarudishia UK POUNDS 5 Milioni! Kwa vile hukuwepo, hili nalo utalibishia! Kama hiyo haitoshi, Mwalimu Nyerere kwa kulinda heshima na hadhi ya Tanzania, aliwafurusha Wajerumani mwaka 1964, wakati wa Muungano. Kama hiyo haikutosha, nao akawarudishia DM (Fedha za Kijerumani) 35 milioni! Hayo ni ya 1960s sasa wewe leo unababaika na kubabaishwa na akina Lissu na BOB eti watatuwekea vikwazo! What a HECK!
Fools die for want of wisdom.

Kwanza, uamuzi wa kukata diplomatic ties na Uingereza haukuwa wa Tanzania peke yake. Huu uamuzi ulichukuliwa na OAU ( Siku hizi ni AU) kufanya hivyo baada ya serikali ya Harold Wilson kutoichukulia hatua serikali ya Ian Smith ya Southern Rhodesia baada ya kujitangaza kuwa ni nchi huru ( Unilateral declaration of Independence) bila kushirikisha stakeholders wengine. Haukuwa uamuzi wa Nyerere peke yake kama mnavyotaka kutuaminisha bali aliunga mkono uamuzi wa OAU. Hatua hiyo ilichukuliwa tarehe 15 Desemba 1965. Kwa kufanya hivyo ali forfeit mkopo wa £7.5 million ( sio £ 5 million mnazozingumzia) uliokuwa unajadiliwa. Haukuwa msaada ambao tuliishapewa hivyo tukawaandikia cheki kuwarudishia. Mwezi Julai 1968 ( sio 1972) tukarudisha uhusiano baada ya nchi nyingine za kiafrika kufanya hivyo.

Mwaka 1964 mara baada ya Muungano Mwalimu aliwafukuza Wajerumani Magharibi ( isipokuwa watumishi wa ubalozini. Hatukufunga ubalozi wa FRG) kwa sababu wakati Tanganyika tulikuwa na mahusiano na FRG, Zanzibar walikuwa na uhusiano na GDR ( ambao waliwajengea hoteli ya Bwawani na maghorofa ya Michenzani). Sheria ya FRG ilikuwa inawakataza kuwa na uhusiano na nchi yeyote yenye uhusiano kwa sababu walikuwa maadui wakati huo wa Cold War. Hizo pesa zinazosemekana zilirudishwa sina uhakika nazo lakini sioni sababu ya kuzirudisha wakati sehemu kubwa ya misaada ilikuwa ni kwenye elimu za ufundi ( walichangia sana katika uanzishaji wa Department ya Engineering ya UDSM) ambayo ilikuwa priority ya Nyerere kwa sababu tulipopata uhuru katika wahandisi 84 waliokuweko nchini, wawili tu walikuwa waafrika wa kitanzania.

Ushauri wa bure. Achana na kiingereza maana haukiwezi. Kwa mfano, hamna kitu kama " what a heck".

Kwangu mimi sioni sababu ya kuendeleza huu mjadala maana sidhani kama uko tayari kusikia upande mwingine.
Nilikuwepo

Amandla...
 
Why awamu hii ndo iwe na hio Vita.
Wewe ni kama wale wenzako ambao hamukuiona vita ya kiuchumi ya miaka ya SITINI (1960s) aliyopigana Mwl. Nyerere. Mkielezwa hii ya sasa mnaona kama uzushi lakini with time naamini mawazo yenu na akili zenu zitayeyuka na kuuona ukweli huu na uhalisia wa vita hii ya kiuchumi. Vita hizi hazijawahi kusimama, zinaweza kutulia na kugonja vibaraka wao "waive" tayari kwa kutumiwa katika nchi husika; tumeona miaka hiyo ya sitini huko Kongo kwa kupitia kwa Mabutu. Kwa hapa kwetu kwa sasa walidhani Lissu kesha IVA tayari kwa kutumiwa baada ya kumtayarisha kwa muda, KUMBE HAJAIVA, hivyo anarudi akapikwe upya eti kwa mapambano mengine. Huyu ni tapeli wa kisiasa kama walivyo matapeli wengine na kwa Lissu huu ni mradi wa kumweka Ulaya, vingnevyo ATADANGA huko!
 
N
Fools die for want of wisdom.

Kwanza, uamuzi wa kukata diplomatic ties na Uingereza haukuwa wa Tanzania peke yake. Huu uamuzi ulichukuliwa na OAU ( Siku hizi ni AU) kufanya hivyo baada ya serikali ya Harold Wilson kutoichukulia hatua serikali ya Ian Smith ya Southern Rhodesia baada ya kujitangaza kuwa ni nchi huru ( Unilateral declaration of Independence) bila kushirikisha stakeholders wengine. Haukuwa uamuzi wa Nyerere peke yake kama mnavyotaka kutuaminisha bali aliunga mkono uamuzi wa OAU. Hatua hiyo ilichukuliwa tarehe 15 Desemba 1965. Kwa kufanya hivyo ali forfeit mkopo wa £7.5 million ( sio £ 5 million mnazozingumzia) uliokuwa unajadiliwa. Haukuwa msaada ambao tuliishapewa hivyo tukawaandikia cheki kuwarudishia. Mwezi Julai 1968 ( sio 1972) tukarudisha uhusiano baada ya nchi nyingine za kiafrika kufanya hivyo.

Mwaka 1964 mara baada ya Muungano Mwalimu aliwafukuza Wajerumani Magharibi ( isipokuwa watumishi wa ubalozini. Hatukufunga ubalozi wa FRG) kwa sababu wakati Tanganyika tulikuwa na mahusiano na FRG, Zanzibar walikuwa na uhusiano na GDR ( ambao waliwajengea hoteli ya Bwawani na maghorofa ya Michenzani). Sheria ya FRG ilikuwa inawakataza kuwa na uhusiano na nchi yeyote yenye uhusiano kwa sababu walikuwa maadui wakati huo wa Cold War. Hizo pesa zinazosemekana zilirudishwa sina uhakika nazo lakini sioni sababu ya kuzirudisha wakati sehemu kubwa ya misaada ilikuwa ni kwenye elimu za ufundi ( walichangia sana katika uanzishaji wa Department ya Engineering ya UDSM) ambayo ilikuwa priority ya Nyerere kwa sababu tulipopata uhuru katika wahandisi 84 waliokuweko nchini, wawili tu walikuwa waafrika wa kitanzania.

Ushauri wa bure. Achana na kiingereza maana haukiwezi. Kwa mfano, hamna kitu kama " what a heck".

Kwangu mimi sioni sababu ya kuendeleza huu mjadala maana sidhani kama uko tayari kusikia upande mwingine.
Nilikuwepo

Amandla...
Na mimi pia nilikuwepo, bye! Kuhusu Kiingereza, ni kwamba ninyi mmekariri vile vya English Medium, kikija kingine ambacho hukukutana nacho huko au "slang" basi unapata TKO. Bye!
 
Wewe ni kama wale wenzako ambao hamukuiona vita ya kiuchumi ya miaka ya SITINI (1960s) aliyopigana Mwl. Nyerere. Mkielezwa hii ya sasa mnaona kama uzushi lakini with time naamini mawazo yenu na akili zenu zitayeyuka na kuuona ukweli huu na uhalisia wa vita hii ya kiuchumi. Vita hizi hazijawahi kusimama, zinaweza kutulia na kugonja vibaraka wao "waive" tayari kwa kutumiwa katika nchi husika; tumeona miaka hiyo ya sitini huko Kongo kwa kupitia kwa Mabutu. Kwa hapa kwetu kwa sasa walidhani Lissu kesha IVA tayari kwa kutumiwa baada ya kumtayarisha kwa muda, KUMBE HAJAIVA, hivyo anarudi akapikwe upya eti kwa mapambano mengine. Huyu ni tapeli wa kisiasa kama walivyo matapeli wengine na kwa Lissu huu ni mradi wa kumweka Ulaya, vingnevyo ATADANGA huko!

Mwafrika akishindwa kujiletea maendeleo umsingizia mzungu.
Kila kitu kipo wazi, raslimali zimejaa, soko la dunia ni kubwa tatizo sera mbovu za ujamaa kwa ulimwengu wa Sasa.
Nchi ambayo hata kujenga tu vyoo inategemea msaada ndo ipigwe Vita.
Mkiambiwa kuhusu demokrasia haki za watu zilindwe mnakimbilia Vita vya uchumi. Hivi hatuwezi fanya uchaguzi bila kumwagwa damu za watu?
Madhara ya ukosefu wa haki ndo chanzo cha Vita na ugaidi ambao uzalishaji wakimbizi duniani then mabeberu ndo uingia gharama kubwa Sana za kuhudumia wakimbizi. Watawala wa kiafrica wawezacho kwa bidii ni kuzalisha wakimbizi na sio kuhudumia wakimbizi duniani. So wanayo haki kuingilia pindi haki za wengi zinapokuwa hatari. Kumbuka afrika viongozi awaandaliwi Bali wanaokotwa yeyeto tu hata muhuni aliyekosa malezi Bora utotoni anawepewa nchi afrika na kupelekea mateso kwa wengi.
 
Mwafrika akishindwa kujiletea maendeleo umsingizia mzungu.
Kila kitu kipo wazi, raslimali zimejaa, soko la dunia ni kubwa tatizo sera mbovu za ujamaa kwa ulimwengu wa Sasa.
Nchi ambayo hata kujenga tu vyoo inategemea msaada ndo ipigwe Vita.
Mkiambiwa kuhusu demokrasia haki za watu zilindwe mnakimbilia Vita vya uchumi. Hivi hatuwezi fanya uchaguzi bila kumwagwa damu za watu?
Madhara ya ukosefu wa haki ndo chanzo cha Vita na ugaidi ambao uzalishaji wakimbizi duniani then mabeberu ndo uingia gharama kubwa Sana za kuhudumia wakimbizi. Watawala wa kiafrica wawezacho kwa bidii ni kuzalisha wakimbizi na sio kuhudumia wakimbizi duniani. So wanayo haki kuingilia pindi haki za wengi zinapokuwa hatari. Kumbuka afrika viongozi awaandaliwi Bali wanaokotwa yeyeto tu hata muhuni aliyekosa malezi Bora utotoni anawepewa nchi afrika na kupelekea mateso kwa wengi.
Ni nchi gani inatayarisha viongozi wake duniani - Marekani?
 
... kahawa inapatikana kwa wingi sana Indonesia, Brazil, na maeneo mengine mengi haina hata walaji wa kuimaliza! Dunia haitasimama kisa eti wamekosa kahawa, korosho, pamba, karafuu, sijui mkonge wa Tanzania. Tunaihitaji sana EU na dunia kuliko EU na dunia wanavyoihitaji Tanzania.
Hii ndo Kweli ambayo wana propaganda wa chama kikongwe hawataki kukubali kwa makusudi au kwa kutojua
 
Zilizoendelea thus awapati watawala vimeo Kama afrika.
Mtawala unajilimbikizia Mali utadhani unaondoka nazo au aufi,unauwa watu utadhani ndo Kinga ya kutokufa.Hovyo kabisa
Taja nchi yoyote ambayo haina viongozi wenye mazongezonge kama hayo utajayo! Si mnamuona DJT asivyotaka kuachia madaraka kwa malengo yake binafsi hata kama siyo kujilimbikizia mali! Pia mmemuona Lissu asivyoamini kuwa kashindwa kwenye ballot box, nia yake na akina BOB wake ni nini, kama siyo kutaka kuiba utajiri wetu, kujilimbikizia mali!?
 
Taja nchi yoyote ambayo haina viongozi wenye mazongezonge kama hayo utajayo! Si mnamuona DJT asivyotaka kuachia madaraka kwa malengo yake binafsi hata kama siyo kujilimbikizia mali! Pia mmemuona Lissu asivyoamini kuwa kashindwa kwenye ballot box, nia yake na akina BOB wake ni nini, kama siyo kutaka kuiba utajiri wetu, kujilimbikizia mali!?

Jamii ya watu iliyoelimika uchagua viongozi bora na sio mawe.We uoni wenzio wanahaha kulazimisha viti maalumu feki.
 
Jamii ya watu iliyoelimika uchagua viongozi bora na sio mawe.We uoni wenzio wanahaha kulazimisha viti maalumu feki.
Watajua CDM wenyewe huko kwa Pilato kama viti hivyo ni feki au halali. Ngoja nikwambie kitu, kwa wabunge hawa 19 na CDM ikiendelea na lile CHANGIZO LAO la 1.5bi/= kila mwezi kwa miaka mitano ni shilingi ngapi!? Hazitoshi hizo kuwasukuma na "kuendesha CDM" hasa ukitilia maanani kuwa hicho ndicho chanzo pekee kilichobakia?
 
Watajua CDM wenyewe huko kwa Pilato kama viti hivyo ni feki au halali. Ngoja nikwambie kitu, kwa wabunge hawa 19 na CDM ikiendelea na lile CHANGIZO LAO la 1.5bi/= kila mwezi kwa miaka mitano ni shilingi ngapi!? Hazitoshi hizo kuwasukuma na "kuendesha CDM" hasa ukitilia maanani kuwa hicho ndicho chanzo pekee kilichobakia?
Chama akitegemei ruzuku
 
Back
Top Bottom